Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Siku ingine uangalie kwa makini. Ungeona huyo aliyepanda huyo kiumbe mwenye mabawa kesho ungeenda kulipua Olympic ya Paris.Aisee, sikuona hii...
Hawa jamaa kweli wana uadui mkubwa na watu wa Imani, na naamini wana lengo kuu zaidi ya kufanya mockery tu
Mwandaaji wa yote haya ni Thomas Jolly ambaye ni shoga (ameolewa tayari)