Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Mungu habagui bara au taifa, Wote tupo sawa mbele ya Mungu sio wazungu au waafrika pekeyaoMungu mwenyewe atawahukumu kwasababu yeye ndiye anayejua wapi ni watakatifu nawapi wabaya.Mambo ya Mungu uku afrika tunajipa tu umuhimu tusio kua nao.