kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Sasa tumechukua mkopo tunajenga vyoo.Magu hatarii🥲🥲
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania
28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe
29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.
30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu
31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.
32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.
33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.
34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).
35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.
37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.
38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.
39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.
40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo
41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.
42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.
43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..
Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..
[emoji419][emoji419]Hayati Magufuli hakuwaji kwenda kuomba mikopo na wawekezaji ulaya.
"Mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye."Mama anazingua sana Sasa hivi.
Anatuuza mchana kweupe, Hapo ametumia Tu lugha ya staha Ila kinacholengwa ni wild animals.
Now, nimeelewa sasa kwanini ilisemwa mwanamke ni kiumbe dhaifu even if amesoma Ila Bado haiondoi udhaifu wake wa kiasili.
Pamoja na mazuri yake Ila kwa haya yanayoendelea mama anatuangusha sana.
Namuombea kwa Mungu apate kuamshwa kwenye usingizi wa fikra.
Badala ya kujenga viwanda vya kuongeza thamani ya wanyama wetu, ati wasafirishwe hai, du!!!!Kufanya nini huko wakati kila kitu kipo hapa??
Nyerere aliwajaza fikra potofu za Ujamaa. Wawekezaji mnawaita mabeberu na kuwaogopa. Ndiyo maana baada ya miaka 60 ya uhuru uchumi uko hovyo.
Hata wewe ni mtoto!! Hicho kipindi kigumu tulichokutana nacho Tanzania si matokeo ya siasa ya ujamaa na kujitegemea ila ni matokeo ya hali ngumu baada ya vita ya Kagera. Kabla ya vita ya kagera uchumi wa Tanzania ulikuwa juu sana. Mwaka 1961 USD 1 = Tsh7.14, mwaka 1970 USD 1= 7.14, mwaka 1975 USD 1= Tsh7.37, mwaka 1978 (mwaka ambao vita vya kagera vilianza) USD 1 = Tsh7.71, mwaka 1980 (mwaka ambao vita vya kagera viliisha) USD 1 = Tsh 8.2, mwaka 1985 (mwaka ambao Nyerere aliachia uongozi), USD 1 = Tsh17.47, mwaka 1990 (mwaka wa tano wa Mwinyi) USD 1 = Tsh 195.6, mwaka 1995 (Mwaka wa mwisho wa Mwinyi) USD 1 = Tsh 574, mwaka 2000 (mwaka wa tano wa Mkapa) USD 1 = Tsh 800.41, mwaka 2005 (mwaka wa mwisho wa Mkapa) USD 1 = Tsh 1128.95, mwaka 2010 (mwaka wa tano wa Kikwete) USD 1 = 1395.63), mwaka 2015 (mwaka wa mwisho wa Kikwete) USD 1 = Tsh 1991.39, mwaka 2000 (mwaka wa tano wa Magufuli) USD 1 = Tsh 2294. Wakati wa Nyerere tulikuwa na viwanda vingi sana!! Vingi vilikufa kipindi cha Mwinyi na Mkapa akaja kuvimalizia kwa kuviuza (kubinafisisha) na yeye mwenyewe akajiuzia kiwanda cha chuma cha Mchuchuma!!Umezaliwa lini lakini? Kama ulikuwepo enzi za Nyerere ungekumbuka tulikuwa tunaenda kununua dawa za mswaki na sabuni za Omo Kenya maana huku zilikuwa adimu. Ukienda Nairobi unaonekana kama umeenda Ulaya enzi zile. Kama ulikuwepo enzi za Ujamaa wa Nyerere huwezi kusahau hali ngumu ya uchumi iliyokuwepo.
Bibi wa kazimkazi kashachukua chakeAkina Tembo lazima iwe meli
Hao ndio watu watano waliyouliwa na Magu?1: Mh Lissu
2: Wafanyakazi wa serikali
3: Wakazi wa kimara
4: Mbowe
5: Wafanyabiashara wa Korosho.
Hata wewe ni mtoto!! Hicho kipindi kigumu tulichokutana nacho Tanzania si matokeo ya siasa ya ujamaa na kujitegemea ila ni matokeo ya hali ngumu baada ya vita ya Kagera. Kabla ya vita ya kagera uchumi wa Tanzania ulikuwa juu sana. Mwaka 1961 USD 1 = Tsh7.14, mwaka 1970 USD 1= 7.14, mwaka 1975 USD 1= Tsh7.37, mwaka 1978 (mwaka ambao vita vya kagera vilianza) USD 1 = Tsh7.71, mwaka 1980 (mwaka ambao vita vya kagera viliisha) USD 1 = Tsh 8.2, mwaka 1985 (mwaka ambao Nyerere aliachia uongozi), USD 1 = Tsh17.47, mwaka 1990 (mwaka wa tano wa Mwinyi) USD 1 = Tsh 195.6, mwaka 1995 (Mwaka wa mwisho wa Mwinyi) USD 1 = Tsh 574, mwaka 2000 (mwaka wa tano wa Mkapa) USD 1 = Tsh 800.41, mwaka 2005 (mwaka wa mwisho wa Mkapa) USD 1 = Tsh 1128.95, mwaka 2010 (mwaka wa tano wa Kikwete) USD 1 = 1395.63), mwaka 2015 (mwaka wa mwisho wa Kikwete) USD 1 = Tsh 1991.39, mwaka 2000 (mwaka wa tano wa Magufuli) USD 1 = Tsh 2294. Wakati wa Nyerere tulikuwa na viwanda vingi sana!! Vingi vilikufa kipindi cha Mwinyi na Mkapa akaja kuvimalizia kwa kuviuza (kubinafisisha) na yeye mwenyewe akajiuzia kiwanda cha chuma cha Mchuchuma!!
Kwa taarifa yako hadi mwaka 1978 shilingi nya Tanzania ndiyo ilikuwa na nguvu kuliko zote hapa afrika ya mashariki!! Watoto inabidi mtoe heshima tu kwa Nyerere!
Una habari deni la taifa limefika wapi au nyie ndo sukumaganG mnaropoka tu. Kanywe uji ulale!Magu hatarii🥲🥲
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA
.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Mwanza, Dar es Salaam nk
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutibiwa Tanzania
28. JPM amejenga Vivuko vya Majini sehemu mbalimbali kama Mafia, Kilwa, Ukerewe
29. JPM amejenga Barabara za Lami za adabu miji mingi sana, Barabara zina mifereji, Taa, na Taa za kuongozea magari.
30. JPM amejenga Shule za Msingi na Sekondari na kukarabati za zamani zikawa Bora kama Vyuo vikuu
31. JPM ametengeneza Vitanda kwenye mahospitali watu hawalali chini.
32. JPM ametengeneza Madawati karibia shule nyingi sana wanakaa kwenye Madawati.
33. JPM kajenga Hostel pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) uhaba wa vyumba umepungua.
34. JPM akasimamia mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu, na boom likawa linatoka kwa wakati (Migomo Vyuoni imeisha).
35. JPM aliamua kutusomeshea Watoto bila kulipa ADA ya Shule (Msingi na Sekondari)
36. JPM kafufua reli ya Kati na reli ya kwenda Moshi hadi Arusha.
37. JPM alikuwa anajenga kiwanda cha Sukari cha Magereza Morogoro.
38. JPM amejenga Kiwanda cha Viatu vya Jeshi – Lukaranga Moshi viatu haviagizwi tena nje ya nchi.
39. JPM anajenga Kiwanda cha Vifaa Tiba na Dawa huko Njombe.
40. JPM anajenga Barabara za Mwendo Kasi Mbagara hadi Gerezani Kariakoo
41. JPM amejenga FlyOvers pale Veta na Uhasibu Dar es Salaam.
42. JPM amejenga Vituo Vya Polisi, Nyumba za Askari Polisi na Magereza.
43. JPM amejenga yale Magorofa ya pale Magomeni na aliruhusu watu wakae bure kwa Miaka 5..
Hongera kwa jembe JPM.
Watu waache maneno ya ajabu, watu wafanye Yao tuyaone.
wasikae kutwa kumuongelea Hayati.. Rose Muhando aliimba Jifunze kwa waliofanikiwa..
📌📌Hayati Magufuli hakuwaji kwenda kuomba mikopo na wawekezaji ulaya.
Tatizo mtu yule amewaingiza watu ujinga mwingi sana. Kila move ya mama wanafikiri mama nnauza nchi. Mwachie mama anajielewa.Nchi kama Somali wanasafirisha Mbuzi na Kondoo huko Oman,Australia wanasafirisha Kondoo huko Oman,
Naona badala ya kuchangamkia fursa mmekimbili sijui Twiga mara Tembo!
Bila kubadili hizi fixed mind mentality mtu atajikuta yupo pale pale tu miaka na miaka.
Kiumbe dhaifu? Kuweni na lugha za staha? Kwani failure inahusiana nini na Jinsia?! Hao Marais wanaume wa Tanzania mfano Mwinyi alifanya nini la maana? Miaka 60 Bado maskini wa kutupwa ilihali tumeongozwa na wanaume then Leo hii fialure ya Rais wa awamu ya 6 eti kisa mwanamke??Mama anazingua sana Sasa hivi.
Anatuuza mchana kweupe, Hapo ametumia Tu lugha ya staha Ila kinacholengwa ni wild animals.
Now, nimeelewa sasa kwanini ilisemwa mwanamke ni kiumbe dhaifu even if amesoma Ila Bado haiondoi udhaifu wake wa kiasili.
Pamoja na mazuri yake Ila kwa haya yanayoendelea mama anatuangusha sana.
Namuombea kwa Mungu apate kuamshwa kwenye usingizi wa fikra.