Hakuna mfumo dume wala nini! hapa! mtu ukiwa na integrity ndogo ni ndogo tu!
Hivi mnajua huyu ni binti yake yule aliyeingia mkataba wa loliondo yule ruksa aliyeruhusu kuuza loliondo na mwandishi mmoja stan katabalo akalogwa akafa kwa kufuatilia!?
Hivi mnajua huyu amezaa mtoto na yule rais aliyeifundisha tanzania ufisadi na hasa kusafirisha wanyama pori hai kupeleka arabuni? Amemzaa Rit1 mwanae ambaye sasa amempa uwaziri wa ardhi yetu? Twafwaaa!
Fikiria sasa- Samia mwanae Mwinyi, Samia mamaye Ritz1, Ritz1 wa jakaya----Tutapona???
Serious hakuna uchama hapa ila ndugai na uzuzu wake alituamsha kidogo tukamzodoa akapigwa na kitu kizito.