Oman Wafanyakazi wa Ndani Toka Afrika Wapitia Magumu

Waarabu na uislam ni kama maji na samaki. Na ndio maana mnawaita vijukuu wa mtume Muhammad
 
Kwani nani anawalazimisha kwenda uarabuni??

Hapa Zanzibar mumejazana kama kumbi wengine mnalala kwenye mapaa ya Nyumba za michezani. Si mkimbilie huko Italy na Vatican kwa mashoga mkatafute hizo kazi ??
Wao wanauzwa kupitia upliners wao kama wale waliofungiwa kule Arusha na jamaa wa online marketing... Viongozi wao wanalipwa wanawachukua hapa Africa


Malipo wanapata kiduchu kwa vile wanaowapeleka wanapata asilimia fulani ,kikubwa kukamatwa hao jamaa maana wanawauza
 
Kuna watu mnashindwa kutofautisha kati ya uislamu na uarabu mnaishia kutukana dini bila sababu .

Mkae mkijua kwamba si kila muarabu ni muislamu waarabu wana dini zao nyingi tu na pia matendo ya mtu binafsi hawa reflect dini nzima kwa ujumla MUWE MNATUMIA AKILI JAPO KIDOGO.
 
Kujaribu kuutenganisha uislamu na uarabu ni sawa na kutenganisha kichwa na kiwiliwili.
 
Labda Uingereza imeamua kuitungia Oman uwongo wa kijinga sababu ilikataa ndege za vita za uingereza kutumia anga lake kwenda kupiga Yemen.
BBC hao hao wakileta habari za TB Joshua unaamini ila wakileta za ndugu zako Waarab unasema wanatunga uongo...😂😂
 

HISIA TOFAUTI ZAIBUKA JUU YA KIFO CHA MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEUAWA NA MWAJIRI WAKE ARUSHA.​

HISIA TOFAUTI ZAIBUKA JUU YA KIFO CHA MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEUAWA NA MWAJIRI WAKE ARUSHA.​


Usije kushangaa huyu Paulo kamua cristina
 
Mwa
MWarabu ni yule yule hajawahi na hatakaa abadilike, ni katili na mbaguzi. Bado kuna wapumbavu wanaamini waarabu ni ndugu zao.
 
Waislam wanaamini ni nduga zao wa damu, lugha yao ni lugha ya mwenyenzi Mungu
 
ndiyo sawa lakini mimi nazungumzia yule mtangazaji aliyesema kuwa watoto arubaini wamechinjwa. Kwenye vita tunasema havichagui maana anaekufa atakuwa ni kizee au mtoto, kwa hivyo hata watoto nao wamekufa.

Halafu kama unasema hivyo wale waliochukuliwa mateka ambao wengine hawajapatikana mpaka leo unadhani walipatikana kivipi? Vita vina siri nyingi lakini kwa vile Israel ndiyo ina vyombo vya propaganda ndiyo maana tunasikia upande mmoja tu.
 
Mwa

MWarabu ni yule yule hajawahi na hatakaa abadilike, ni katili na mbaguzi. Bado kuna wapumbavu wanaamini waarabu ni ndugu zao.
wewe mwenyewe muafrika huko mbali na hapo kwa muarabu kwa ukatili na ubaguzi. Mfano huko Congo au kwa wale watusi na wahutu, lakini bado unassema waafrika wote ni ndugu zako.

Hodari sana wa kusema ya wenzako lakini yako mwenyewe huyaoni.
 
Sahihi kabsa
 
Kuna demu nilikua napona sahivi yupo uko. Sema ndio na namba amechange
 
Habari hi ni uwongo mtupu huyo anasema aliambiwa anaenda Dubai na kapelekwa Oman kwani alipo ondoka hakuona ticket yake na visa kuwa anaenda Oman? Hakusoma? Air port ya Malawi hawajui tofouti ya Dubai na Oman? Mkiambiwa wafrika ni wajinga mnabisha
Huu ndio ukweli.
 
Hii video ya uchunguzi mnaikubali, ila ya yule Mshenzy TB Joshua mnaikataa? Dark countinent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…