Oman Wafanyakazi wa Ndani Toka Afrika Wapitia Magumu

Juzi tu hapa huko Nigeria dhehebu la kikristo,limeua watu wengi tu,wacha hapo Kenya waliouawa na dhehebu la kikristo,na nyuzi zimo humu.Mwanafunzi ni juzi tu huko Moshi,ameuliwa na waalimu,kwa kuchelewa namba,na nyuzi zimo humu,lakini matukio haya yqngetokea maeneo yenye uislamu,au maeneo ya waarabu,ungetukanwa uislamu.
 
We huoni tu waraabu wana roho mbaya juice tu wakamyima chama juice ya buku 😂
 
Mwa

MWarabu ni yule yule hajawahi na hatakaa abadilike, ni katili na mbaguzi. Bado kuna wapumbavu wanaamini waarabu ni ndugu zao.

Ndivyo mnavyofundishwa kanisani kwenu ?? Kwani mwafrika kabadilika lini ??
 
Oman hamna ujinga huo, wahindi, wafilipini,wasirilanka,wabangladeshi miaka wako huko hutukusikia ujinga huo ila walipo wafungulia milango wafrika ndio tumesikia hayo tatizo mianamke ya kifrika mingi haijatulia ikikataliwa kupewa ruhusa kila week inanza maneno.
 
Matthew 19:10-12
New International Version
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given. 12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”

👆 Kwa hiyo acha porojo za kipumbavu kama hujui maana ya neno "Eunuch" uliza kwa sababu wengine hamna elimu dunia ni ya madrasat tu.
 
Halafu waarabu wenye dini yao hutukana sana hawa wamatumbi ambao hung'ang'ania kwenye dini

Huyo Sheikh namfahamu vizuri hawezi kuongea ujinga huo, hizo ni propoganda zenu wakristo.

Uislam haubagui rangi au kabila wafrika wemejazana Saud Arabia na wanafanya kazi wengine wamepewa mpa uraia.

Acheni uwongo
 

Kwa hivyo aya hii ni uongo

 
Huyo Sheikh namfahamu vizuri hawezi kuongea ujinga huo, hizo ni propoganda zenu wakristo.

Uislam haubagui rangi au kabila wafrika wemejazana Saud Arabia na wanafanya kazi wengine wamepewa mpa uraia.

Acheni uwongo

Amewachoka sana ving'ang'anizi kwenye dini yao hadi anawaita mbwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…