Oman yapiga Marufuku abiria yeyote kutoka Tanzania asikanyage kwao

Oman yapiga Marufuku abiria yeyote kutoka Tanzania asikanyage kwao

Mkuu kwa akili yako ndogo tu, kama unaongelea/kuandika suala la Corona kati ya Tz na Malawi, heading yako utahusisha Malawi au Tz, ndiyo maana hata vichaa wawili kuna mmoja ni kichaa zaidi.
Na kwanini ihusishe nchi moja kati ya hizi kama hiyo habari haiko biased?kwanini nisiseme Raia wa Tanzania na nchi nyingine 1 ya Afrika wazuiwa kuingia UK badala ya kusema Raia wa Tanzania na Malawi wazuiwa kuingia UK?anyway naweza kuwa sijui ila ile heading imekaa kishabiki shabiki!yaani aliyeiandaa hayuko "neutral"km mwanahabari anatakiwa awe imekuwa km headings za magazeti ya Udaku.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kila kona tumekua kichekesho kwani tatizo liko wapi taifa kama taifa tukifanya jitiada kama zilizofanyika mwaka jana? Kwanini viongozi wamekua wazito sana juu ya hili? Sawa hatutaki chanjo kama wanavyojinasibu vipi hatu za kujirinda mbona nazo hazifanyiki? Kipi hasa kinakwamisha kuamasisha watu kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano isio ya lazima kama mwaka jana tu.. kunanini hapa kati mbona taifa kama taifa tunafanya vituko vya kijinga sana
Kuna mtu aliwahi danganya dunia sasa anaona aibu na wafuasi wake wanajaribu kulificha pembe la ng'ombe
 
Anzisha Uzi ujibiwe
Sianzishi. Nimetoka kuangalia video ya Dr. Mpango youtube sasa hivi, nimeona wacha niache ku comment mambo ya covid sababu Ft 6 na kile chumba cha ndani ya ft 6 kila mtu anaenda peke yake.

Ndg yangu jichunge. Dr. Mpango hata kuongea anaonekana anafanya jitihada.

Fikra zangu zimeenda kwenye familia yake na nimekosa amani sana

Tumwombe Mungu hili balaa litoke.

Ila nadhani kama ile " coctail " mixer angeitaja angetusaidia wengi, naona ameamua kutumia tiba inayoeleweka sio nyungu na mavitunguu
 
Na kwanini ihusishe nchi moja kati ya hizi kama hiyo habari haiko biased?kwanini nisiseme Raia wa Tanzania na nchi nyingine 1 ya Afrika wazuiwa kuingia UK badala ya kusema Raia wa Tanzania na Malawi wazuiwa kuingia UK?anyway naweza kuwa sijui ila ile heading imekaa kishabiki shabiki!yaani aliyeiandaa hayuko "neutral"km mwanahabari anatakiwa awe imekuwa km headings za magazeti ya Udaku.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Basi sawa uko sahihi
 
Back
Top Bottom