Oman yapiga Marufuku abiria yeyote kutoka Tanzania asikanyage kwao

Oman yapiga Marufuku abiria yeyote kutoka Tanzania asikanyage kwao

Yeye ni mtanzania ameamua kuizungumzia nchi yake sasa kuna tatizo gani?Halafu Tanzania kuwekwa kundi moja na nchi kama South Africa ni hatari sana maana hilo Taifa limeathiriwa pakubwa.

Mpaka Oman kufikia kuiwekea vikwazo vya safari Tz basi ujue kuna tatizo kubwa ndani ya serikali hawalifanyii kazi.

Point ya maana. South Africa na Nigeria zina strain ya corona inayotisha zaidi na imeshaonekana kwa wasafiri toka Tanzania na nchi zingine. Tatizo zaidi ni kuwa Tanzania kuna blackout ya taarifa za Covid-19, hivyo hakuna namna ya kujua status ikoje. Wasiotaka shida wanatupiga blanket ban tu.
 
Kasema kabisa kuwa zipo nchi nyingine ikiwemo Tz, yeye ni Mtanzania na yuko Tz hivyo kaandika kuhusu Tz, kwanini na wew usiandike kuhusu hizo nchi nyingine? So ukiambiwa kwa mfano na Malawi wamepigwa ban so akili yako ita justify ujinga wako kwa sababu mjinga siyo wew pekee au?. Idiot
Mkuu, piga kazi ustake kuiona siku mbaya asubuhiasubuhi!
 
Wewe umeona ni Tanzania pekee iliyozuwiwa watu wake kuingia Oman?

Au na wewe ni walewale Watanzania mwili Ila mioyo Yao ni mabeberu?
Mkuu mimi pia ni beberu, je wew ni kinyume na beberu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Beberu??
Kwetu huku mabeberu tunawaita wapumbavu na wezi wa rasilimali zetu
Na watalii ni hao hao mabeberu au watalii wanatoka nchi tofauti na mabeberu. Inaonekana mabeberu no watu wabaya sana lakini tumenunua dreamliner kuwaleta watalii wasipate shida kabisa. Ebu tuelimishe mkuu
 
I am very pleased with the decision of the Ministry of Justice to change the use of English in court to bring it to our beloved Kiswahili language.

Meaning For most Tanzanians they do not know English like this relative

Use only Swahili
I meant that a leaders should always strusggle to be unique and excell in whatsoever she/he does not mimicing what others do.


I know English my dear more than your eloquent English from SAUT
 
I meant that a leaders should always strusggle to be unique and excell in whatsoever she/he does not mimicing what others do.


I know English my dear more than your eloquent English from SAUT
Ha ha hujui lugha ya malkia ila endelea kujipima hapa jf mradi hoja inaeleweka
 
Kwa hiyo ukikuta mlevi anajisaidia haja kubwa barabarani na ww unajisaidia hapo, afu ukikamatwa unajitetea kuwa siyo ww pekee umefanya kosa?!!!

Suala la Tanzania kupigwa pini ndo mjadala hapa. Hayo ya sudan, sijui Nigeria nk waachie wenyewe, hayatuhusu
Mkuu antimatter nilichotaka kufafanua hapo ni kuondoa atmosphere kwamba only Tanzania imepigwa pini, kuna kitu kinatengenezwa as if ni Tanzania tu, jambo ambalo sio sahihi,

Hali kama hii iliwahi kutokea kwa uingereza, kuzuia wasafiri kutoka Tanzania , DRC na nchi nyingine , lakini ajabu watu na western media walishadadia sana Tanzania kuliko hata DRC, sasa hapa unapata ukakasi kuna nini nyuma ya agenda hii, kwanini vyombo vya habari vishadadie Tanzania tu nakuacha nchi nyingine?!
 
Hakika sikufurahi hata BBC walivyo present hii taarifa, heading ilisema "Tanzania na nchi nyingine sijui 10 raia wake wazuiwa kuingia Omani "nikajiuliza kwanini waitaje Tanzania upfront kwanini wasieeme "Nchi 11 raia wake wazuiwa kuingia Omani "baadae kwenye ufafanuzi ndio waitaje hiyo TZ na wenzake?
Naanza kuamini kuna Vita zaidi ya vita dhidi ya Corona
Mkuu kwa akili yako ndogo tu, kama unaongelea/kuandika suala la Corona kati ya Tz na Malawi, heading yako utahusisha Malawi au Tz, ndiyo maana hata vichaa wawili kuna mmoja ni kichaa zaidi.
 
Na watalii ni hao hao mabeberu au watalii wanatoka nchi tofauti na mabeberu. Inaonekana mabeberu no watu wabaya sana lakini tumenunua dreamliner kuwaleta watalii wasipate shida kabisa. Ebu tuelimishe mkuu
Mkuu, tafadhari bhana!!
Beberu ni beberu, na ndicho nimeandika, wewe umeona nimeandika mtalii au dreamliner hapo?

Punguza mahaba
 
Huko wanakochukua hizo tahadhari mbona wanakufa kwa wingi tu? Wasitulushie jumba bovu! Dunia ingekuwa na akili mlipuko ulipotokea China wangefunga mipaka na China, sasa wamesubili korona imesambaa dunia nzima, ndo wanakomaaa! Watuache kila mmoja apambane kivyake tusilazimishane
Nikusaidie tu ndugu Mataga, hujalazimishwa ila umepigwa ban ili upambane kivyako, nani kakulazimisha? Sijui umeelewa au ndiyo yale mambo ya kukabidhi bongo
 
Kama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo.

Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana.

Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious kupambana na janga la Corona kama mataifa mengine.

Chanzo: BBC
Kuwa serious kupambana na corona ndo kukoje
 
Siku mwanao akija na kukuonyesha matokeo amescore 7% ukamuhoji na akakwambia “tupo wengi tumepata 7% na wengine wamepata 3%”. nadhani wewe unaweza kuwa happy tu kwa kuwa “wapo wengi na hivyo sio shida” na life likasonga as if hakuna lililotokea

Two wrongs don’t make it a right. Look at the big picture!
Umetumia akili nyingi kulielimisha taga na bado halitaelewa
 
Mkuu, tafadhari bhana!!
Beberu ni beberu, na ndicho nimeandika, wewe umeona nimeandika mtalii au dreamliner hapo?

Punguza mahaba
Sawa mahaba sipunguzi, ila bado mnaotumia msamiati wa mabeberu hamtaki kututoa ujinga sisi wenzenu ili tuwatambue pia, wanaokuja TZ wengi ni watalii hao mabeberu wanatoka nchi hizo hizo wanazotoka watalii au tofauti. Mbona mnakuwa wagumu kujibu hoja nyepesi namna hii au na wewe hujui beberu ni nani ?
 
Sawa mahaba sipunguzi, ila bado mnaotumia msamiati wa mabeberu hamtaki kututoa ujinga sisi wenzenu ili tuwatambue pia, wanaokuja TZ wengi ni watalii hao mabeberu wanatoka nchi hizo hizo wanazotoka watalii au tofauti. Mbona mnakuwa wagumu kujibu hoja nyepesi namna hii au na wewe hujui beberu ni nani ?
Anzisha Uzi ujibiwe
 
Back
Top Bottom