Oman yapiga Marufuku abiria yeyote kutoka Tanzania asikanyage kwao

Oman yapiga Marufuku abiria yeyote kutoka Tanzania asikanyage kwao

Kama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo.

Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana.

Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious kupambana na janga la Corona kama mataifa mengine.

Chanzo: BBC


Imezua abiria kutoka nchi Kumi, zikiwemo Tanzania, Afrika Kusini na Nigeria.

Sio Tanzania pekee!
 
Yaan wew jamaa sijui mzalamo?[emoji23][emoji23]
Sijui unakula mmea[emoji23]
Mwanangu unaonekana mchesh mweny masikhara sana [emoji23][emoji23]



By the way me ni followers wako mzee[emoji23][emoji23]
Mkuu, hii nchi ilivyo sasa hivi, haihitaji hasira unaweza ukafa kabla ya siku zako walai tena, maana kila siku ni kituko cha kutia hasira.

Mi imefikia hatua naiogopa hata simu kupokea ikiita, sio kwasababu ya madeni, ila kuogopa taarifa na michango ya msiba. Simu ikiita presha inapanda. Tutatoana roho kwa presha hizi.

Halafu juzi waziri analeta masihara eti amesema, kuanzia jumatatu (Yaani jana) uki "UKI-POST AU HATA UKI-LIKE" kitu ambacho hauna uhakika nacho, ukamatwe. Hata ku like mzee duh. Huu si wehu wa kiwango cha lami!!!
 
Kama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo.

Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana.

Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious kupambana na janga la Corona kama mataifa mengine.

Chanzo: BBC
Hatuhitaji kwenda kwao. Kuna corona nyingi huko twende kutafuta nini?
 
Kwahiyo hayo mataifa nayo hayafuati kanuni za WHO kam tz?

Bavicha hili suala la corona hakitawafikisha popote. Muulizeni Mbowe mwaka jana baada ya kujaribu ili ajipatia kiki akaishia kutimuana chamani
Corona iliyomuua kijazi imeletwa na bavicha? Acha kusaka uteuzi kwa kuwasingizia uongo Bavicha, CCM wenye Ubongo wamezindika sasa ndiyo wanaupinga unyama wenu wa kuacha watanzania wasalimiane wakumbatiane kwa mikono pasipo kuwakemea hata siku moja
 
Mkuu, hii nchi ilivyo sasa hivi, haihitaji hasira unaweza ukafa kabla ya siku zako walai tena, maana kila siku ni kituko cha kutia hasira.

Mi imefikia hatua naiogopa hata simu kupokea ikiita, sio kwasababu ya madeni, ila kuogopa taarifa na michango ya msiba. Simu ikiita presha inapanda. Tutatoana roho kwa presha hizi.

Halafu juzi waziri analeta masihara eti amesema, kuanzia jumatatu (Yaani jana) uki "UKI-POST AU HATA UKI-LIKE" kitu ambacho hauna uhakika nacho, ukamatwe. Hata ku like mzee duh. Huu si wehu wa kiwango cha lami!!!
Huu uonevu wa kutumia corona kuwabambikia kesi watu kisa wamepost picha video au habari za corona ndiyo kitu cha hovyo kupita kiasi.
 
Kama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo.

Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana.

Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious kupambana na janga la Corona kama mataifa mengine.

Chanzo: BBC
Itatuathiri kwasaba tumeoleana Sana na Oman we kiumbe are you serious? Kuoleana kunaathiri Nini zanzibar kiuchumi?
 
Hakika sikufurahi hata BBC walivyo present hii taarifa, heading ilisema "Tanzania na nchi nyingine sijui 10 raia wake wazuiwa kuingia Omani "nikajiuliza kwanini waitaje Tanzania upfront kwanini wasieeme "Nchi 11 raia wake wazuiwa kuingia Omani "baadae kwenye ufafanuzi ndio waitaje hiyo TZ na wenzake?
Naanza kuamini kuna Vita zaidi ya vita dhidi ya Corona
 
Kama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo.

Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana.

Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious kupambana na janga la Corona kama mataifa mengine.

Chanzo: BBC
Duh !! Eee bhana eee !
 
JF bwana, zamani ndiyo ilikuwa chanzo changu pekee cha habari.....
Mleta mada amaeishiwa wino wa kuandika nchi nyingine ambazo pamoja na Tanzania watu wake wamezuiwa kuingia Oman..
Aibu yako mleta mada!
Nikumbushe jambo moja Alexander The Great kuwenye mwili wako kuna kitu kinaitwa "subconscious mind" kwa kiswahili wanaita mawazo ya kina....sehemu ambapo vitu vyote vinafanyika bila utashi wako mfano kkupiga kope, kupumua, mapigo ya moyo, nk kuna kitu unaongeza ambacho kitakuwa kinafanyika bila utashi wako....yaani umekitengeneza au kwa kujua au bila kujua na kitakuwa kinafanyika automatically bila utashi wako maana "subconscious mind" huwa hajali unaigiza au unatania....yaani hata ikitokea fursa ya kukunufaisha kale ka element ka KUPOTOSHA mambo katakuwa kanajirudia bila wewe kujua....!
Mkuu stick kwenye mada iliyopo

Acha kuandika porojo na ngonjera ambazo mleta uzi hajaongelea

Kama huna la kuongea kaa kimya au lala

Kuna mahusiano gani kati ya hii mada quote ya "Alexander
 
Imezuia abiria kutoka nchi Kumi, zikiwemo Tanzania, Afrika Kusini na Nigeria.

Sio Tanzania pekee!
Kwa hiyo ukikuta mlevi anajisaidia haja kubwa barabarani na ww unajisaidia hapo, afu ukikamatwa unajitetea kuwa siyo ww pekee umefanya kosa?!!!

Suala la Tanzania kupigwa pini ndo mjadala hapa. Hayo ya sudan, sijui Nigeria nk waachie wenyewe, hayatuhusu
 
Dunia nzima sasa inatuona Tanzania kama "NUKSI a.k.a MWAJUMA NDALA NDEFU". Mataifa yote duniani huko yanatu "NG'ONG'A NA KUTUSENGENYA".

Juzi African Union ilitoa tamko kwamba Tanzania tujichunge, tunahatarisha bara zima la Africa kwa ukaidi wetu wa kuchukua tahadhari dhidi ya hili janga la Covid-19.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani unataka kusema Mwajuma Ndala Ndefu alivyo kwa Kinondoni ndio kama Tanzania kwa Afrika

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
JF bwana, zamani ndiyo ilikuwa chanzo changu pekee cha habari.....
Mleta mada amaeishiwa wino wa kuandika nchi nyingine ambazo pamoja na Tanzania watu wake wamezuiwa kuingia Oman..
Aibu yako mleta mada!
Nikumbushe jambo moja Alexander The Great kuwenye mwili wako kuna kitu kinaitwa "subconscious mind" kwa kiswahili wanaita mawazo ya kina....sehemu ambapo vitu vyote vinafanyika bila utashi wako mfano kkupiga kope, kupumua, mapigo ya moyo, nk kuna kitu unaongeza ambacho kitakuwa kinafanyika bila utashi wako....yaani umekitengeneza au kwa kujua au bila kujua na kitakuwa kinafanyika automatically bila utashi wako maana "subconscious mind" huwa hajali unaigiza au unatania....yaani hata ikitokea fursa ya kukunufaisha kale ka element ka KUPOTOSHA mambo katakuwa kanajirudia bila wewe kujua....!
Umeandika nini sasa
 
Dunia nzima sasa inatuona Tanzania kama "NUKSI a.k.a MWAJUMA NDALA NDEFU". Mataifa yote duniani huko yanatu "NG'ONG'A NA KUTUSENGENYA".

Juzi African Union ilitoa tamko kwamba Tanzania tujichunge, tunahatarisha bara zima la Africa kwa ukaidi wetu wa kuchukua tahadhari dhidi ya hili janga la Covid-19.

Ivi wanataka tufanyeje ili ionekane tunachukua tahadhari?
Wanataka tutoe takwimu za vifo na wagonjwa?
Kwani watu hatuvai barakoa? Hatutumii sanitizers? Hatuepuki mikusanyiko?
Tatizo ninaloona mimi watu wanatamani measures za USA zifanane na Tanzania, sisi hatuna uchumi wa kustahimili kuweka watu lockdown tuambiane ukweli lockdown hatuwezi na tukijaribu watu watakao kufa kwa njaa watakuwa wengi kuliko vifo vya Corona.

Wenzetu Uganda hapo walijaribu cha moto walikiona, askari badala ya kulinda usalama wa raia wao wakapata kazi ya kupiga raia wao maana ndani hapakaliki njaa kali
 
Dunia nzima sasa inatuona Tanzania kama "NUKSI a.k.a MWAJUMA NDALA NDEFU". Mataifa yote duniani huko yanatu "NG'ONG'A NA KUTUSENGENYA".

Juzi African Union ilitoa tamko kwamba Tanzania tujichunge, tunahatarisha bara zima la Africa kwa ukaidi wetu wa kuchukua tahadhari dhidi ya hili janga la Covid-19.
Huko wanakochukua hizo tahadhari mbona wanakufa kwa wingi tu? Wasitulushie jumba bovu! Dunia ingekuwa na akili mlipuko ulipotokea China wangefunga mipaka na China, sasa wamesubili korona imesambaa dunia nzima, ndo wanakomaaa! Watuache kila mmoja apambane kivyake tusilazimishane
 
Kila anayeandika usichokipenda wewe tayari anakuwa BAVICHA? Kwamba ukiwa TAGA huwezi kufikiri tofauti? Try to act as if you are a GT for once

Sisi tunaongelea Nchi yetu. SSudan, Guinea, Nigeria and the rest is none of our business. Kwanza Oman hawajasema kuwa wanatuzuia kwa kuwa hatufuati kanuni za WHO. Wao wanasema uamuzi wao ni “wa kupambana na maambukizi ya corona”
Kiazi
 
Back
Top Bottom