Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
 
Dogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?

Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
 
Hakika hawa machawa wa Bibi wa Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi! Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Jomba sio watanzania tumepigwa, wewe ndio una ujinga wa kutoelewa na kuchanganua mambo..una elimu gani jomba?? Kwa hili lihoja uko peke yako
 
Dogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?

Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
Yote sawa ,hebu sasa tusaidie!
 
Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!

Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!

Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.

Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!

Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?

Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?

Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Ina maana ametoka USA akaenda Cuba akarudi TZ na kurudi South America
 
Siku bdege hiyo ikipata shida ndo utajua idadi na aina ya watu wanaoambatana na mh kwenye hizo ziara.
Kuna wajukuu wanakwenda kufanya shopping...
Ila kusema ukweli, kuna jamii flani hapa Tanzania wakilata uRais wanaifanya kama kazi ya familia kuanzia watoto hadi wajukuu na hadi wajomba.
Chunguzeni kwa viongozi waliopata kutuongoza.
 
Dogo point yako ni ipi?
a) Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
b) Hasara iliyopata ATC baada ya Rais kutumia Dreamliner badala ya Gulfstream?
c) Idadi ya watu walioambatana na Rais Brazil?
d) Kuna faida gani Tanzania tutapata kwenye huo mkutano?

Ebu eleza vizuri tukusaidie Dogo!
Wee 🐷 toa majibu ya yote uliyoorodhesha!
 
$ 5000 kwa gharama zipi? Kula, kulala, kusafiri bure. Bado per diem 5000! Naomba utaalamu hapa
Analipwa kwa kulala nje ya kituo chake cha kazi! Hata kwenye mikutano ya kawaida ya wataalam wanalipwa per diem na bado wanapata breakfast, lunch na viburudisho vya jioni bure! Kwa hiyo ni kawaida.
 
Back
Top Bottom