Mjenga ni balozi wa Tanzania Dubai licha ya kufanya kazi katika hicho chuo cha kijeshi.Nakuletea wasifu wa Mjenga halafu utueleze huo U-Major General aliupata wapi. Huyo aliyetaka kupangisha eneo lako siyo huyu au ni tapeli!
Mjenga is a career diplomat having joined the Tanzanian Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation as a Foreign Service Officer in 2002. Since then he has climbed up the ranks and served in different capacities throughout his career at home and key duty stations abroad.
Mjenga’s former roles include being an Assistant Lecturer and Researcher at the University of Dar es Salaam, and Tutor and Instructor at the 411KJ Military Secondary Academy in Songea, Tanzania.
Mjenga holds a Master’s Degree (Distinction) in Security and Strategic Studies from the Tanzania National Defence College (NDC) 2016. A Master’s Degree (Distinction) in Political Science with a specialization in International Relations and Public Administration, 2002, and a BA (Honors) Degree in Social Sciences with a specialization in Political Science, International Relations and Public Administration. He is also a recipient of the prestigious ‘NDC’ award, from the National Defence College of Tanzania, July 2016.
Mjenga has published in various journals including the article, ‘Participation of Tanzania in Peacekeeping Operations: An Analysis of Its Contribution to National Security,’ published by the National Defence College of Tanzania Journal, 2016.
Tumia akili yako ya kuvukia barabaraWewe baada ya kutumia akili yako umeelewa nini? Ahahahahaha!!!
Wanamdanganya mama na kumharibia kwa maslahi binafsiHakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!
Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!
Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.
Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!
Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?
Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?
Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Kikwete alitumia Gulsfteram kuzunguka dunia nzima, kwa hiyoi Kikwete alikuwa ni mfujaji? Kuna wakati Kikwete alikwenda Brazili na Gulfstream hiyo, baada ya kurudi nyumbani, Mama Salma alisema alikuwa bado na hamu ya kuiona Brazili; hivyo First Lady akachukua Gulfstream hiyo tena kurudi Brazili lakini safari hii kwa ajili ya "kutangaza utalii" kama kwamba alikuwa wazir wa utalii.Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana!
Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara kwa hoja kuwa angetumia ndege ya Rais aina ya Gulfstream gharama ingekuwa mara 7 zaidi!
Amesema hayo wakati akihojiwa na Farhia Middle kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV. Bw. Omary amejenga hoja kuwa Rais anasafiri na ujumbe wa watu wengi wakiwemo walinzi na wasaidizi kadhaa mbali na wataalam! Ameongeza kusema angesafiri kwa Gulfstream ingelazimu wajumbe wengine kusafiri kwa ndege za kibiashara.
Bw. Omary anatakiwa atueleze je kuna umuhimu wa Rais kusafiri na watu zaidi ya 100 katika ziara zake nchi za nje? Uzoefu wetu unaonyesha huwa anasafiri na machawa wake wakiwemo wasanii ambao hawana mchango wo wote katika mazungumzo ya kiserikali na wafanyabiashara ambao wanatumika kuhujumu na kufisadi mali za umma!
Bw. Omary atueleze ni hasara kiasi gani ATC inapata kwa ndege kutofanya biashara kipindi chote cha ziara za Rais?
Bw. Omary atueleze ni faida gani tutapata kutokana na mwaliko wa Rais kuhudhuria mkutano wa G20 akiambatana na watu zaidi ya 100 na kitu gani tungekosa kama angesafiri na watu wachache?
Maswali ni mengi lakini kwa kweli Watanzania tumepigwa!
Uchawa kazi unaibadili akili kutoka kufikiri kwa kutumia kichwa hadi kutumia vikalio.Mpuuzi wewe, kaa na wadau wanaofanya biashara za bandarini wakupe shule pana ya kinachofanyika.
Alikuwa balozi wa heshima huko Dubai kati ya 2013 na 2016 na wala siyo balozi wa Tanzania. Balozi wa heshima hana mamlaka yo yote ni sawa na mkuu wa kitengo wa wizara.Mjenga ni balozi wa Tanzania Dubai licha ya kufanya kazi katika hicho chuo cha kijeshi.
Niliongea nae miezi kama minne iliyopita akaniambia yupo bado Dubai.Alikuwa balozi wa heshima huko Dubai kati ya 2013 na 2016 na wala siyo balozi wa Tanzania. Balozi wa heshima hana mamlaka yo yote ni sawa na mkuu wa kitengo wa wizara.
Usipokuwa chawa unakuwa na akili za kipuuzi na za kitoto kama hizi za kwako.Uchawa kazi unaibadili akili kutoka kufikiri kwa kutumia kichwa hadi kutumia vikalio.
Mimi Nimemsikiliza katika kipindi cha dakika 45 jumatatu hakutamka kuwa yupo Dubai bali yupo Chuo cha jeshi hapo Dar!Niliongea nae miezi kama minne iliyopita akaniambia yupo bado Dubai.
Mpaka muda huu ni balozi kule Dubai, usalama wa taifa huyo mzee.Mimi Nimemsikiliza katika kipindi cha dakika 45 jumatatu hakutamka kuwa yupo Dubai bali yupo Chuo cha jeshi hapo Dar!
Mara mwanajeshi mara usalama wa Taifa! Itoshe kusema ni mwanadiplomasia! Watu wengine hutumia neno usalama wa Taifa kutishia watu kitu ambacho ni upuuzi mtupu! Kila mwananchi ni mwana usalama wa Taifa lakini pia ana shughuli yake inayomuingizia kipato!Mpaka muda huu ni balozi kule Dubai, usalama wa taifa huyo mzee.
Sio kila mwananchi ni mwana usalama wa taifa tusidanganye watu humu ndani.Mara mwanajeshi mara usalama wa Taifa! Itoshe kusema ni mwanadiplomasia! Watu wengine hutumia neno usalama wa Taifa kutishia watu kitu ambacho ni upuuzi mtupu! Kila mwananchi ni mwana usalama wa Taifa lakini pia ana shughuli yake inayomuingizia kipato!
Matapeli wengi hujifanya usalama wa Taifa! Na hakuna mtu ambaye anafahamu siri za kila idara au kila kitu nchini! Hata Rais wa nchi hafahamu kila kitu ndani ya serikali. Usalama wa Taifa hawafahamu kila kitu kilichopo jeshini au polisi au uhamiaji au hata magereza na ndiyo sababu viongozi hupenyeza informers ambao hata wao hawapati kila kitu! Kwa hiyo hao unaowasema wewe ni waratibu tu.Sio kila mwananchi ni mwana usalama wa taifa tusidanganye watu humu ndani.
Sio kila mtu anazifahamu siri za nchi na mipango ya ndani ya kiulinzi na kiusalama. Ni kweli tusitishane lakini kuwa nyoka ni kazi ya wachache.
Ninamfahamu ndio maana nasema ni mtu wa usalama.Matapeli wengi hujifanya usalama wa Taifa! Na hakuna mtu ambaye anafahamu siri za kila idara au kila kitu nchini! Hata Rais wa nchi hafahamu kila kitu ndani ya serikali. Usalama wa Taifa hawafahamu kila kitu kilichopo jeshini au polisi au uhamiaji au hata magereza na ndiyo sababu viongozi hupenyeza informers ambao hata wao hawapati kila kitu! Kwa hiyo hao unaowasema wewe ni waratibu tu.
Bw. Omary siyo usalama wa Taifa ila wewe unamkweza kuliko yeye binafsi alivyo! Omary ni mwanadiplomasia ingawa anaweza kutumika kama informer kama ambavyo wewe, mimi au mtu mwingine ye yote anaweza kutumika!
Usimsemee! Fuata anachosema mwenyewe au na wewe unataka kujifanya mwana usalama wa Taifa!Ninamfahamu ndio maana nasema ni mtu wa usalama.
Hunijui mkuu, ungepunguza ujuaji.Usimsemee! Fuata anachosema mwenyewe au na wewe unataka kujifanya mwana usalama wa Taifa!
Tapeli! 🚮🚮🚮Hunijui mkuu, ungepunguza ujuaji.
Sema wewe jamaa na yule choice variables huwa ni waongo waongo sanaMeja Jenerali Mjenga ndio cheo chake. Huyo namfahamu vyema, alitaka kupangisha eneo langu hapa mbezi beach.