Chapa na mpesa bas [emoji23]Chapaaaaa!!
hahhaahahhEbu simulia kwanza buana...au ulikuwa unayarusha magun shot nini....puuuupuuu fyuuupuuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu sasa ukiwa unaanza kuumwa jasho linakumiminka hatar sanaHuu ndiyo ulikuwa mwendo wako kimya kimya
[emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549]lol!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nakumbuka nilikuwa nasafiri kutoka Dar kuelekea Dodoma. Tulipofika Kisasa tumbo likanivuruga. Yaani nilikuwa ninatoka jasho mwili mzima, bus likitikisika kidogo mimi taaani. Ile kufika bus stand pale Dom nikatoka nduki kuelekea kwenye vyoo vya pale stand. Kufika pale pa kutolea pesa wala sikutaka kukawia wala nini nikatupa bag la laptop kwa yule anayekusanya pesa nikazama chooni ile kuinama tu huo uharo ulikuwa unatoa mlio kama tarumbeta. Baada ya kumaliza nikaenda kutoa tsh 200 yao, yule mhudumu alikufa kwa kicheko. Mimi wala sikujali nikasepa zangu.
mpesa tu ili niwape story kitu kimeanzia mlandizi aisee sitaki ata kukumbukaMpesa kisa uharo shunie mungu anakuona
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mpesa kisa uharo shunie mungu anakuona
Mie safarini chakula changu kikuu huwa ni biskuti za digestive na maji baaaas, hivyo haja ndogo ndio huwa inanisumbua.
HahahahaNakumbuka kipindi ni mdogo alikuja nyumbani pacha mwenzake na mama sasa mzee akanunua kondoo dume kubwa kwa ajili ya mgeni (nilikuwa na miaka kama 8-9 hivi).
Basi kwa vile mgeni alifika usiku na mambo yakafanyika usiku, nilishtushwa na sauti AMKA ULE nikaamka mwanaume nikapiga mkia wa kondoo bila kula ugali wala nini, baada ya mlo nikaenda zangu kitandani kuwazua maisha ya utoto maana nilikuwa nawaza sana enzi hizo.
Kiukweli sikujua kinachoendelea usiku ule nilishtukia kumekucha na nikavaa nguo za shule kwenda masomoni (shule) bila kunawa uso wala miguu.
Ile nafika mlangoni nikasikia mzee "Naombeni mmsaidie huyo tafadhali".
Kichwa kizima,miguu,mikono,shingo, ni uharo mtupu yaani nzi wako nyuma kama vile kuna maandamano.
Niliogeshwa na ndoo mbili za maji, kwenda kitandani walichokiona hakiwezi elezeka kwa awamu hii ya Tano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu sasa ukiwa unaanza kuumwa jasho linakumiminka hatar sana
Kama uko kwenye buss likipita kwwnye tuta unasimama nalo
Ukiwa umemaliza saa Ndio unaanza kujishtukia
Acha roho Mbaya bas shunie share the experience bashahahhah we kula tu popcorn zako hadithi imeishia hapo
We vipi, hayajawahi kukukuta?Hahaha...maana kuna watu wana germanic machines au complex machine wengine wana simple machine
Hahaha....mmh kuna namna hapa mbona umekuwa mkali gafla lolWe vipi, hayajawahi kukukuta?
Hebu tuambie bwana maana hizi habari zikikukuta na aibu zinaisha, mie nilikojoa mbele ya wanaume bila hata aibu daaah!!!hongera sana
mpesa tu ili niwape story kitu kimeanzia mlandizi aisee sitaki ata kukumbuka
Huuu uharo wako ulihara pesa?Chapa na mpesa bas [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] huu uzi jamaan hurumieni mbavu zanguHahaha...maana kuna watu wana germanic machines au complex machine wengine wana simple machine
Yaani shemeji nimekionea hicho kikojoleo huruma jinsi ulivyokiaibisha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hebu tuambie bwana maana hizi habari zikikukuta na aibu zinaisha, mie nilikojoa mbele ya wanaume bila hata aibu daaah!!!
Enheee enhee e twende mdogo mdogompesa tu ili niwape story kitu kimeanzia mlandizi aisee sitaki ata kukumbuka