Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Duuh pole mkuu
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
halaf nilisahau bada ya kuharibu hali ya hewa [emoji23][emoji23] niliekua nae kaanza kunitenga uwiiiiiii mpk tunashuka ubungo hatuongeleshani jamaan haya mambo ya uharo ya ghafla uyasikie tu kwa mwenzio

kama hivi usikie yalivyomtokea shunie
 
Hahaha! Pole sana!!!
Hiyo kitu ikukute chuo alafu ile unakimbilia chooni unakuta majangili washaharibu vyoo vyootee!!! Kudadeki... Huoni ajabu kuachia mzigo juu ya mzigo wa mwingine. I salute uharo aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…