[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mbona pipa la maji.
Ha ha ha kile kijasho lazma kikutoke aisee sjui ni hofu Ama ni nn?Kila anaesimulia anaongelea kijasho, kuna uhusiano mkubwa wa kijasho na uharo.
Saana!Lol! Kijasho chembamba kwa kuhofia kuadhirika lol!
Tumbo la kuharisha ni nomaa sana.
AbeeeehShunie
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Leo aibu eeh! lakini siku ile aibu tupa kuleee mie nakojoa mbele yao atayenuna atajijua lol!
hivi nimesema nn kwaniHa ha hanha shunie umesemaaa dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hiyo swaga ya kutokusimamisha gari waliniletea wa shabiby, nikatulia hali ilivyokuwa mbaya nikamfuata dereva nikamwambia kwa nguvuuuu "najikojoleaaa simamisha gari" walicheka gari zima.
Duuh pole mkuungoja nihadithie kidogo tunatoka arusha kwanza ile alfajiri tunaondoka pale home nikapiga chai nzito naambiwa kunywa chai kavu tu mm tena cha uroho acha ninywe mpk nimeshiba
tumepanda bus letu mchana kufika kwenye mgahawa wa dar express acha nile manyama na chips niliekua nae ananiangalia tu ananiambia sijui kama utafika salama hahahhah
kufika mlandizi tumbo silielewi kabisa linaanza kuvuruga nakiona kijasho mwenzangu ananiambia unakumbuka asbh haya ndio majibu yake na uroho wako
tumbo limechachamaa kwenda kilimanjaro bus halisimami hovyo naona najiharishia hivi
kufika kibaha bus halijakaa sana limeondoka nakumbuka nilivaa pedo ya jens ngumu kwa kweli uzalendo ulinishinda [emoji23][emoji23] watu kwenye wananishangaa mm wala ujue hata aibu huon
kufika ubungo tukashuka kuingia home moja kwa moja kuoga toka siku hiyo mm tena nimekoma na uroho wangu wa kula kula mm ni mroho
hahahhah Daby hayo mambo uyasikie tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shunie ukajiharishia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo utakuwa uoga.Ha ha ha kile kijasho lazma kikutoke aisee sjui ni hofu Ama ni nn?
Mharisho Acha kabisa mi cku ya naffunga ndoa ukumbini sitaki kuendelea zaidi ya hapo ila ukumbini cjakaa ni noma
[emoji23][emoji23][emoji23]Ulikuwa hujabanwa vizuri. Toilet paper ungeiona kama pipa la maji
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Nakumbuka nilikuwa nasafiri kutoka Dar kuelekea Dodoma. Tulipofika Kisasa tumbo likanivuruga. Yaani nilikuwa ninatoka jasho mwili mzima, bus likitikisika kidogo mimi taaani. Ile kufika bus stand pale Dom nikatoka nduki kuelekea kwenye vyoo vya pale stand. Kufika pale pa kutolea pesa wala sikutaka kukawia wala nini nikatupa bag la laptop kwa yule anayekusanya pesa nikazama chooni ile kuinama tu huo uharo ulikuwa unatoa mlio kama tarumbeta. Baada ya kumaliza nikaenda kutoa tsh 200 yao, yule mhudumu alikufa kwa kicheko. Mimi wala sikujali nikasepa zangu.
Hahahaha nimecheka kinoma...sasa gari zima si lilinuka lolhahahhah Daby hayo mambo uyasikie tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yaani acha kabisa, aibu zilikata zoote yani ile gari inasimama tu nikaruka nikainama hapo hapo nikalimwaga.
kuna uhusiano mkubwa sanaKila anaesimulia anaongelea kijasho, kuna uhusiano mkubwa wa kijasho na uharo.
Hahaha! Pole sana!!!Hii yangu ni tofauti kidogo.
Ilikuwa ni siku ya Presentation, nipo zangu mbele kabisa natoa semina yangu mbele ya Wanafunzi wasiopungua 500.
Wakati nafika pale mbele, nikaanza kusikia hali ya tumboni inabadilika. Nikaendelea zangu kushusha madude, nafika katikati ya presentation naona kama vile nikiongea dude linashuka. Ikabidi nipunguze sauti ya kuongea, lecturer akadai niongeze sauti maana watu hawasikii. Nilipojaribu kuongeza sauti Salaleeh, naona kitu kabisa inaanza kutoka.
Nilipoona hivyo, nikanyamaza kimya kwa sekunde kadhaa huku nimeduwaa. Nikapiga mahesabu chap chap, nikasema ngoja nishuke taratibu.
Kushuka kwenyewe natembea taratibu, kama mtu ambaye mguu mmoja haujakaa sawa. Ile nafika mlangoni nikakimbia puuh! Haa, kitu kinanifata kabisa. Ikabidi nishikilie kwa mkono.
Nafika toilet, watu wamejaa. Ikanilazimu kumwaga uharo sehemu ya kukojoa. Nisingeweza kusubiri tena.
Huku Class watu wanakufa kwa vicheko wakati mwenzio naangamia.
Omba isikukute.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Yaani acha kabisa, aibu zilikata zoote yani ile gari inasimama tu nikaruka nikainama hapo hapo nikalimwaga.