Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu

Imewahi nitokea wakati nipo shule ya msingi nilibanwa nikajitahidi kutembea kwa kubana miguu lakini wapi vitu vikataka anza penya , kuona hivyo nikaongia choo cha watu basi kilikuwa na mlango wa gunia uswazi, yule mama bila aibu akaja funua gunia mimi nafanya yangu yeye ananihoji maswali , nikawa namjibu huku nanya akasepa zake.

Pia niliwahi banwa nikiwa safarini wakati wa ukubwani nikitoka Mbeya to Dar, nilikatisha safari Iringa nikachukua guest bila kupenda ,kesho yake ndo nikaendelea na safari ya Dar.Siku hizi kama nasafiri nakuwa makini sana vyakula vya kula siku moja kabla ya safari
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwana, U hav maDe ma Day I say
 
2015 natoka Dar naenda Iringa TP ndani ya Otta high class tunakaribia kufika Moro hv tumbo Lima an a mambo yake... Tumbo linauma linaachia uzuri nilikuwa Na flagyn nikapiga kama 5 Mara moja tumetoka msamvu likazidi sasa mbele kidogo wanapaita nyama choma tukasimama mwanaume nikashuka Kwa speed ya light mpk Toilet yaani ilikuwa pyeeeeeeeh sampuli ya Pora... aseeeh mpaka machozi yakatoka huku nawaswas gari itaniacha... Namshukuru Mungu baada ya hapo kidogo hali ikaanza kuwa Pouwaa....
 
Nakumbuka kipindi ni mdogo alikuja nyumbani pacha mwenzake na mama sasa mzee akanunua kondoo dume kubwa kwa ajili ya mgeni (nilikuwa na miaka kama 8-9 hivi).

Basi kwa vile mgeni alifika usiku na mambo yakafanyika usiku, nilishtushwa na sauti AMKA ULE nikaamka mwanaume nikapiga mkia wa kondoo bila kula ugali wala nini, baada ya mlo nikaenda zangu kitandani kuwazua maisha ya utoto maana nilikuwa nawaza sana enzi hizo.

Kiukweli sikujua kinachoendelea usiku ule nilishtukia kumekucha na nikavaa nguo za shule kwenda masomoni (shule) bila kunawa uso wala miguu.

Ile nafika mlangoni nikasikia mzee "Naombeni mmsaidie huyo tafadhali".

Kichwa kizima,miguu,mikono,shingo, ni uharo mtupu yaani nzi wako nyuma kama vile kuna maandamano.

Niliogeshwa na ndoo mbili za maji, kwenda kitandani walichokiona hakiwezi elezeka kwa awamu hii ya Tano.
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
hiyo kitu ni hatari nilisha wahi muachia konda Elf 10,yule bahati nzuri ile narudi ghetto nikajikuta nimepanda kwenye gari ile ile!
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
Ahahhaahaaaa
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
Pole sana
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
[emoji14] [emoji14] [emoji15] [emoji14] duuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji13]
 
Back
Top Bottom