Ombi kwa Injinia Hersi Said: Chonde chonde naomba msimuache Musonda

Ombi kwa Injinia Hersi Said: Chonde chonde naomba msimuache Musonda

Mchezaji wa kuachwa ni moloko, skudu na konkon.. Moloko ni winga wa kizaman sana na huyo skudu ni ball dancer tu hakuna mchezaji pale.

Musonda apewe muda naamini ana kitu

Yanga ilete winga mbunifu itapendeza zaid anayetumia mguu wa kushoto acheze upande wa kulia, winga anayelifata box akiwa na mpira, winga anayemfata beki na kulazimisha kuingia kwenye box. Moloko winga wa kizaman sana aondoke.

Asajiliwe Holding midfielder halisi ili aucho asogee acheze kama Central midfielder kutokana na uwezo mkubwa wa pasi sahihi wa aucho anapaswa kucheza Central midfielder
Skudu hapana. Bado tunamuhitaji
 
Nimeshtushwa na kichwa cha habari cha gazeti la Mwanaspoti la leo kwamba eti kwa sababu ya ujio wa Okra basi Moloko na Musonda hatma zao ndani ya Yanga zipo mashakani.

Please Mr. President , do anything in ur power to make sure that Musonda doesn't go anywhere.

I beg you by five books of Moses please don't let Musonda go.

Am saying this from a spiritual perspective.

Anga la sasa katika ulimwengu wa kiroho kwenye mashindano ya mchezo wa mpira wa miguu nchini Tanzania na barani Afrika kwa ujumla, linalazimisha Musonda lazima aendelee kuwepo ndani ya kikosi cha Yanga no matter what.

Am saying this because I know what Musonda' s aura represents in the realm of the spirit.

Ningekuwa mkuu wa benchi la ufundi la Yanga ningeshauri Musonda ndio awe wa kwanza kuingia na kutoka ndani ya pitch.

Please my brother. Take this advice serious
musondo is here to stay
 
Ni kweli yule jamaa yupo vizur sana kwenye pitch namkubali sana! I like the guy. Hizi taarifa hazitakua nzuri kama ni kweli..
Musonda is my third player in my list ukianza na Pacome, aziz Ki, Musonda, Lomalisa, kibabage, Aucho....e.t.c
 
Mimi nilikuwa mmoja wa ambao sikutaka kabisa Musonda aendelee kubaki, lakini mechi ya hapa nyumbani Vs Medeama ilinibadili.

Alipokosa goli la wazi aliumia sana, nilikuwa karibu nae niliyaona maumivu na mfadhaiko alioupata. Ana moyo wa upambanaji, na zaidi namkubali sana kwenye magoli ya vichwa pale kikosini hana mpinzani.
Vipi hauna ubuyu wake?😀😃😄😁😆😅🤣
 
Mimi nilikuwa mmoja wa ambao sikutaka kabisa Musonda aendelee kubaki, lakini mechi ya hapa nyumbani Vs Medeama ilinibadili.

Alipokosa goli la wazi aliumia sana, nilikuwa karibu nae niliyaona maumivu na mfadhaiko alioupata. Ana moyo wa upambanaji, na zaidi namkubali sana kwenye magoli ya vichwa pale kikosini hana mpinzani.
Itabidi nirudie kuucheza tena ile video kuweka msisitizo sehemu ile Musonda anasikitikia kukosa goli ili niwachunguze majirani yake...naweza kupata picha ya Nifah
 
Itabidi nirudie kuucheza tena ile video kuweka msisitizo sehemu ile Musonda anasikitikia kukosa goli ili niwachunguze majirani yake...naweza kupata picha ya Nifah
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kama Azam walirecord vizur,,, au ingekuwa ulaya record na video nyingi ni raisi kumjua nifah,
 
Waondoke ngushi , Konkoni, nkane na mauya .

Gift Fred ni beki haifai kuachwa , siku bacca akiwa na kadi na mwamnyeto majeruhi Nani atacheza na job centre ?
 
Musonda nae ameshindwa kubadilika
Hatujaona makali yake
Musonda ana weakness moja tu kwenye driblling, lakini Yuko vizuri tu hasa kwenye vichwa na shooting.

Tatizo mashabiki wengi wa bongo akili ndogo.

Hata kina Shalulile na Mayele timu zao kila siku zinapata draw ya zero zero.
 
Mimi nilikuwa mmoja wa ambao sikutaka kabisa Musonda aendelee kubaki, lakini mechi ya hapa nyumbani Vs Medeama ilinibadili.

Alipokosa goli la wazi aliumia sana, nilikuwa karibu nae niliyaona maumivu na mfadhaiko alioupata. Ana moyo wa upambanaji, na zaidi namkubali sana kwenye magoli ya vichwa pale kikosini hana mpinzani.
Musonda ana weakness moja. Akijua ku-driblle atakuwa hakamatiki
 
Back
Top Bottom