Skudu hapana. Bado tunamuhitajiMchezaji wa kuachwa ni moloko, skudu na konkon.. Moloko ni winga wa kizaman sana na huyo skudu ni ball dancer tu hakuna mchezaji pale.
Musonda apewe muda naamini ana kitu
Yanga ilete winga mbunifu itapendeza zaid anayetumia mguu wa kushoto acheze upande wa kulia, winga anayelifata box akiwa na mpira, winga anayemfata beki na kulazimisha kuingia kwenye box. Moloko winga wa kizaman sana aondoke.
Asajiliwe Holding midfielder halisi ili aucho asogee acheze kama Central midfielder kutokana na uwezo mkubwa wa pasi sahihi wa aucho anapaswa kucheza Central midfielder
musondo is here to stayNimeshtushwa na kichwa cha habari cha gazeti la Mwanaspoti la leo kwamba eti kwa sababu ya ujio wa Okra basi Moloko na Musonda hatma zao ndani ya Yanga zipo mashakani.
Please Mr. President , do anything in ur power to make sure that Musonda doesn't go anywhere.
I beg you by five books of Moses please don't let Musonda go.
Am saying this from a spiritual perspective.
Anga la sasa katika ulimwengu wa kiroho kwenye mashindano ya mchezo wa mpira wa miguu nchini Tanzania na barani Afrika kwa ujumla, linalazimisha Musonda lazima aendelee kuwepo ndani ya kikosi cha Yanga no matter what.
Am saying this because I know what Musonda' s aura represents in the realm of the spirit.
Ningekuwa mkuu wa benchi la ufundi la Yanga ningeshauri Musonda ndio awe wa kwanza kuingia na kutoka ndani ya pitch.
Please my brother. Take this advice serious
Uzi ufungweKinachotutesa Yanga ni kutaka kila striker awe kama Mayele,hilo haliwezekani,aondoke Konkoni,Musonda bado anaweza kuisaidia timu
Binafsi Moloko bado anafaa yule konkoni ndie aondoke walete top striker mmojaMoloko asiondoke,Moloko Kila akiingia anabadilusha matokeo
Vipi hauna ubuyu wake?ππππππ π€£Mimi nilikuwa mmoja wa ambao sikutaka kabisa Musonda aendelee kubaki, lakini mechi ya hapa nyumbani Vs Medeama ilinibadili.
Alipokosa goli la wazi aliumia sana, nilikuwa karibu nae niliyaona maumivu na mfadhaiko alioupata. Ana moyo wa upambanaji, na zaidi namkubali sana kwenye magoli ya vichwa pale kikosini hana mpinzani.
Umemaliza kila kitu mchambuzi wetu.Kinachotutesa Yanga ni kutaka kila striker awe kama Mayele,hilo haliwezekani,aondoke Konkoni,Musonda bado anaweza kuisaidia timu
Itabidi nirudie kuucheza tena ile video kuweka msisitizo sehemu ile Musonda anasikitikia kukosa goli ili niwachunguze majirani yake...naweza kupata picha ya NifahMimi nilikuwa mmoja wa ambao sikutaka kabisa Musonda aendelee kubaki, lakini mechi ya hapa nyumbani Vs Medeama ilinibadili.
Alipokosa goli la wazi aliumia sana, nilikuwa karibu nae niliyaona maumivu na mfadhaiko alioupata. Ana moyo wa upambanaji, na zaidi namkubali sana kwenye magoli ya vichwa pale kikosini hana mpinzani.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kama Azam walirecord vizur,,, au ingekuwa ulaya record na video nyingi ni raisi kumjua nifah,Itabidi nirudie kuucheza tena ile video kuweka msisitizo sehemu ile Musonda anasikitikia kukosa goli ili niwachunguze majirani yake...naweza kupata picha ya Nifah
Nimeishia hapa, mlioendelea na uzi hadi mwisho mtanisimuliaAnga la sasa katika ulimwengu wa kiroho
Musonda ana weakness moja tu kwenye driblling, lakini Yuko vizuri tu hasa kwenye vichwa na shooting.Musonda nae ameshindwa kubadilika
Hatujaona makali yake
Musonda ana weakness moja. Akijua ku-driblle atakuwa hakamatikiMimi nilikuwa mmoja wa ambao sikutaka kabisa Musonda aendelee kubaki, lakini mechi ya hapa nyumbani Vs Medeama ilinibadili.
Alipokosa goli la wazi aliumia sana, nilikuwa karibu nae niliyaona maumivu na mfadhaiko alioupata. Ana moyo wa upambanaji, na zaidi namkubali sana kwenye magoli ya vichwa pale kikosini hana mpinzani.