Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Wapo wengine walikamatwa kabla yake na wengine baada yake.[emoji106]
Mkuu masheikh waliopo jela wanafamilia na ndugu zao.Nina taka mimi hapa utoe ushahidi wa hicho unachoseme na si porojo poroja na hisia zako binafsi, hao viongozi kuenda chato sio ushahidi wa kuwa eti ndio walikwenda kuleka hilo ombi...
Of course walikamatwa na shein kule zanzibar sio kikwete lakini kesi zao zilikua zinaendelea mahakamani.Waislam wenzao kikwete na shein ndo wamewaweka ndani.
Na ijumaa wanakwenda kuswali[emoji19][emoji19][emoji19]
Daah haki ya Mungu watanzania tunamatatizo sana.Mkuu baadhi ya hawa masheikh walikamatwa na SMZ kabla ya yeye kua Rais lakini walikua wanapelekwa mahakamani kujibu kesi zao na ilikua wapo katika hatua za mwisho kufikia uamuzi....
Huyu ndugu yetu hapa anasema kesi yao ilikuwa inasikilizwa ila Magu ndio kaja kuizuia ili mashekhe waozee mahabusu kisa yeye ana chuki na waislam.Waislam wenzao kikwete na shein ndo wamewaweka ndani.
Na ijumaa wanakwenda kuswali[emoji19][emoji19][emoji19]
Mkuu sio rahisi kuamini lakini ni kweli.Daah haki ya Mungu watanzania tunamatatizo sana.
Huko juu kinacho lalamikiwa ni kwakwamba mashekhe wamekamatwa na kuweka mahabusu bila kufunguliwa mashitaka...
Huu ndio ushahidi nilio kuuliza au??Mkuu masheikh waliopo jela wanafamilia na ndugu zao
Kabla ya wao kwenda kupiga magoti kwa mfalme wa Chato viongozi hao walikutana na baadhi ya jamaa wa Wahanga hao Msikiti wa kikwajuni akiwemo Mufti na wakaambiwa swala hilo sio la Simu nendeni mkaongee nae uso kwa uso maana jamii ya Wazanzibari haina raha
Tena sio waachiwe Bali kesi zao zirudi mahakamani kama kitambo
Huyu ndugu yetu hapa anasema kesi yao ilikuwa inasikilizwa ila Magu ndio kaja kuizuia ili mashekhe waozee mahabusu kisa yeye ana chuki na waislam.
Kesu ya ugaidi haina dhamana wala muda gani inasikilizwa kesi za magaidi waliopelekwa gwantanamo nyingi hadi wengine walifia magerezani!!!
Hao mashehe kesi yao ugaidi sio ushehe!!! hakuna mtu yeyote mwenye kesi ya ushehe popote Tanzania!!!
Hapa sasa nimeelewa wewe kinacho kusumbua ni hili tatizo la udini ulilo nalo na chuki kubwa iliyo sababishwa na namna mbayo ulivyo yapokea mafundisho ya dini yako, watu Kama nyinyi ndio mnao uchafua uislam kwasababu ya mawazo yenu ya namna hii.Mkuu sio rahisi kuamini lakini ni kweli
Ebu jaribu kufuatilia ni lini mara yao ya mwisho kufikishwa mahakamani
Na ni kweli mimi namchukia sana huyu kafiri jinsi anavyotesa waislamu kwa sababu tu ya imani yao
Mkuu dini ya kiislamu na ya kikristo zimeletwa. Na wazungu na waarabu wala sio kigezo Cha kupenda au kuchukia mtu ila huyu kafiri anatesa sana waislamu na hawezi kumaliza waislamu
Kwa hio wewe unataka video ya mazungumzo yao?Huu ndio ushahidi nilio kuuliza au??
Nani kakataa kuwa hao mashekhe hawana familia??
Rudi happy juu kisha ujibu nilicho kuuliza usiniletee hadithi zako hapa mimi, unataka kutuaminisha vitu ambavyo huna ushahidi navyo.
Of course walikamatwa na shein kule zanzibar sio kikwete lakini kesi zao zilikua zinaendelea mahakamani...
Wamefanya ugaidi gani?Kesi ya ugaidi haina dhamana wala muda gani inasikilizwa kesi za magaidi waliopelekwa gwantanamo nyingi hadi wengine walifia magerezani!!!
Hao mashehe kesi yao ugaidi sio ushehe!!! hakuna mtu yeyote mwenye kesi ya ushehe popote Tanzania!!!
Walikuwa wakichoma makanisa hao na kuua viongozi wa Kikristo wakiwemo mapadri ZanzibarWamefanya ugaidi gani
Walikuwa wakichoma makanisa hao na kuua viongozi wa Kikristo wakiwemo mapadri Zanzibar
watalii walikuwa wakimwagiwa tindikali nao hadi wazungu wakagoma kutokanyaga zanzibar hadi hao wakamatwe baada ya vyombo vya kijasusi ya kimataifa kuwabaini
Kweli baada ya kuwakamata Zanzibar ni shwari hadi leo Hakuna ugaidi tena
Mkuu kuna watu wanaoozea jela za Tanzania kwa sababu ni waislamu.Hapa sasa nimeelewa wewe kinacho kusumbua ni hili tatizo la udini ulilo nalo na chuki kubwa iliyo sababishwa na namna mbayo ulivyo yapokea mafundisho ya dini yako, watu Kama nyinyi ndio mnao uchafua uislam kwasababu ya mawazo yenu ya namna hii.
Mbona waislamu wenzao waliowashika Akina Shein Mbona waliwashilia hadi kumaliza utawala wao? Kikwete muislamu mwenzao aliwaacha hivyo hivyo mbona hakuwapandisha mahakamani kesi zianze?Wamefanya ugaidi gani?
Hakuna mtu anasema wapewe dhamana au waachiwe wanasema wapelekwe mahakamani na ushahidi uelewe wahukumiwe sio kwa sababu mtu fulani anachuki na waislamu basi wafie mahabusu
Namimi nakwambia hivi hao viongozi kuenda chato wewe unapata uhakika upi kuwa ndio walikwenda kuomba kuhusu mashekhe??Kwa hio wewe unataka video ya mazungumzo yao?...
Hizo zinaitwa tuhuma kiutaalamu.Walikuwa wakichoma makanisa hao na kuua viongozi wa Kikristo wakiwemo mapadri Zanzibar...