Ombi kwa Rais Mwinyi: Wakumbuke Masheikh wa Uamsho ambao wanateseka huku familia zao zikiishi kwa shida

Ombi kwa Rais Mwinyi: Wakumbuke Masheikh wa Uamsho ambao wanateseka huku familia zao zikiishi kwa shida

Hizo ni tuhuma nyingi ni propaganda mimi nipo uguja na hakuna kanisa limechomwa
Wewe umepata Habari kwenye TV gani
Nenda pale Kariaokoo sokoni zanzibar jirani tu hapo kuna kanisa la Tanzania Assemblies of God nenda kaulize hata wenyeji kama liliwahi kuchomwa na magaidi kuanzia jengo hadi magati yao au la?
 
Jibu swali watu wangapi wamefanya mauaji na wamehukumiwa????kinachowaponza kila mwenye akili timamu anakijua yote jwa yote hakuna atakaeishi milele hata ajitie mwamba ipo cku atasimama mbele ya Allah,haijalishi alikuwa nan????
Watuhumiwa wa ugaidi wakamatwa

Kasisi aliyeshambuliwa kwa tindikali Zanzibar aendelea kupokea matibabu

Kasisi aliyeshambuliwa kwa tindikali Zanzibar akiendelea kupokea matibabu
Polisi visiwani Zanzibar, wamewakamata watu 15 wanaoshukiwa kuhusika na mashambulizi ya tindikali visiwani humo.
Mkuu wa polisi nchini humo, Mussa Ali Mussa, alidai kuwa baadhi ya washukiwa wana uhusiano na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia.


Wiki jana kasisi wa kanisa katoliki alishambuliwa kwa kumwagiwa tindi kali katika mji wa kale.
Shambulizi hilo linakuja baada ya wasichana wawili wa uingereza kushambuliwa mwezi jana.
Kirstie Trup na Katie Gee, wote wenye umri wa miaka 18, walimwagiwa tindi kali wakiwa wanatembea mjini humo.
Maafisa nchini Zanzibari, wametangaza kumzawadi mtu atayetoa taarifa kuhusu shambulizi hilo.
Katika shambulizi lililofanyika siku ya Ijumaa, kasisi Joseph Anselmo Mwangamba alimwagiwa tindi kali alipokuwa anaondoka kwenye duka la huduma za internet katika mji wa kale.
Shambulizi hilo ni la tano la aina yake visiwani humo tangu Novemba mwaka jana.

Bwana Mussa alisema kuwa polisi walinasa mitungi iliyokuwa na lita 29 za Tindi kali wakati wa msako wao.
Kwa mujibu wa polisi, washukiwa walikamatwa wakiwa katika harakati za kujiandaa kwa mapigano kwengineko nje ya Tanzania.


Hadi sasa polisi wanakamilisha uchunguzi wao kabla ya kuwafungulia mashtaka washukiwa watatu waliowashambulia wasichana wawili raia wa Uingereza.
Hata hivyo haijulikani ikiwa washukiwa hao 15 waliokamatwa wamehusishwa na shambulizi walilofanyiwa wasichana hao wawili au ikiwa ni wao waliomshambulia kasisi Mwangamba.


Visiwa vya Zanzibar hupokea watalii wengi na wenyeji wansema kuwa mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni sio jambo la kawaida.
 
Nenda pale Kariaokoo sokoni zanzibar jirani tu hapo kuna kanisa la Tanzania Assemblies of God nenda kaulize hata wenyeji kama liliwahi kuchomwa na magaidi kuanzia jengo hadi magati yao au la?
Haya mambo yametokea jana?
 
Jibu swali watu wangapi wamefanya mauaji na wamehukumiwa????kinachowaponza kila mwenye akili timamu anakijua yote jwa yote hakuna atakaeishi milele hata ajitie mwamba ipo cku atasimama mbele ya Allah,haijalishi alikuwa nan????
kwa taarifa yako hiyo migaidi iko ndani chini ya uongozi wa maraisi watatu hadi sasa iliwekwa ndani mara ya kwanza na Muislamu mwenzao Shein ikakaa ndani weeee baadaye ikakabidhiwa kwa Kikwete Raisi mwenzao mwislamu mwenzao akaiacha ndani wee hadi anaondoka sasa iko chini ya magufuli kaiacha ndani kapokea kijiti akiondoka nakuja mimi itanikoma
 
kwa taarifa yako hiyo migaidi iko ndani chini ya uongozi wa maraisi watatu hadi sasa iliwekwa ndani mara ya kwanza na Muislamu mwenzao Shein ikakaa ndani weeee baadaye ikakabidhiwa kwa Kikwete Raisi mwenzao mwislamu mwenzao akaiacha ndani wee hadi anaondoka sasa iko chini ya magufuli kaiacha ndani kapokea kijiti akiondoka nakuja mimi itanikoma
Wale marais wengine kesi zao zilikua zipo mahakamani
Na wewe kufurahia eti kwa sababu wanaoteswa ni waislamu wala haikuzidishii kitu
Chuki mwisho wake upo
Huyu kafiri mwisho wakr upo
Hao masheikh mwisho wao pia upo
Na wewe furaha yako kuona wanateswa pia inamwisho wake
 
Kama wamevunja amani wapekeke mahakamani na lete ushahidi sio eti kwa sababu wao ni waislamu na kiongozi ni kafiri basi wamevunja amani
Lete ushahidi mahakaman mbele ya hakimu sio bla bla tu
subiri nawe tukuweke gerezani
 
Nenda pale Kariaokoo sokoni zanzibar jirani tu hapo kuna kanisa la Tanzania Assemblies of God nenda kaulize hata wenyeji kama liliwahi kuchomwa na magaidi kuanzia jengo hadi magati yao au la?
Kariakoo sokoni Zanzibar ndio wapi hapo?
 
Wale marais wengine kesi zao zilikua zipo mahakamani
Na wewe kufurahia eti kwa sababu wanaoteswa ni waislamu wala haikuzidishii kitu
Chuki mwisho wake upo
Huyu kafiri mwisho wakr upo
Hao masheikh mwisho wao pia upo
Na wewe furaha yako kuona wanateswa pia inamwisho wake
Nao wai furaha yao ya kumwagia tindikali watu na kufurahia makanisa kuchomwa na kuuawa viongozi wa kikiristo imejatishwa kwa wao kuwa ndani haeana tena cha kuchekelea kuona wakristo wanateseka!!! Kicheko chao kimegeuka kilio wengine hadi wake zao wamewakimbia na kuolewa kwingine kwa kukosa matunzo!!
 
48 nipo hapa sasa Hivi nauliza kuna kanisa lolote limechomwa Jana watu wananishangaa!!
Nenda Mwabakwerekwe ukifika pale soko la nwanakwerekwe uliza Kanisa la Tanzania Assemblies of God lililpo sio mbali .Kaulize kama lilishawahi lipuliwa na magaidi kwa kuchoma kanisa na magari ya kanisa au la
 
Nenda Mwabakwerekwe ukifika pale soko la nwanakwerekwe uliza Kanisa la Tanzania Assemblies of God lililpo sio mbali .Kaulize kama lilishawahi lipuliwa na magaidi kwa kuchoma kanisa na magari ya kanisa au la
Ndio umekusudia Mwanakwerekwe!?

Mwaka gani?
 
Nenda Mwabakwerekwe ukifika pale soko la nwanakwerekwe uliza Kanisa la Tanzania Assemblies of God lililpo sio mbali .Kaulize kama lilishawahi lipuliwa na magaidi kwa kuchoma kanisa na magari ya kanisa au la
Nenda Songwe Tunduma uliza Msikiti wa kusimani je ulishawahi kushambuliwa na imamu wake kujeruhuwa vibaya?
Halafu uliza nini kilitokea baada yake
 
Nao wai furaha yao ya kumwagia tindikali watu na kufurahia makanisa kuchomwa na kuuawa viongozi wa kikiristo imejatishwa kwa wao kuwa ndani haeana tena cha kuchekelea kuona wakristo wanateseka!!! Kicheko chao kimegeuka kilio wengine hadi wake zao wamewakimbia na kuolewa kwingine kwa kukosa matunzo!!
Kama ni kweli sawa lakini kama ni visingizio hamna shida
Wafuasi wa dini wameteswa milele hata farao alikua kama jiwe
Hata wafuasi wa Issa waliteswa kwa kusingiziwa hata Yusuf alikaa jela kwa kusingiziwa kwa hio hilo sio jambo geni kwa watu wa mungu
 
Back
Top Bottom