Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Umri wako tafadhali!!Hizo ni tuhuma nyingi ni propaganda mimi nipo uguja na hakuna kanisa limechomwa
Wewe umepata Habari kwenye TV gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wako tafadhali!!Hizo ni tuhuma nyingi ni propaganda mimi nipo uguja na hakuna kanisa limechomwa
Wewe umepata Habari kwenye TV gani
Nenda pale Kariaokoo sokoni zanzibar jirani tu hapo kuna kanisa la Tanzania Assemblies of God nenda kaulize hata wenyeji kama liliwahi kuchomwa na magaidi kuanzia jengo hadi magati yao au la?Hizo ni tuhuma nyingi ni propaganda mimi nipo uguja na hakuna kanisa limechomwa
Wewe umepata Habari kwenye TV gani
Watuhumiwa wa ugaidi wakamatwa
Kasisi aliyeshambuliwa kwa tindikali Zanzibar aendelea kupokea matibabu
Kasisi aliyeshambuliwa kwa tindikali Zanzibar akiendelea kupokea matibabu
Polisi visiwani Zanzibar, wamewakamata watu 15 wanaoshukiwa kuhusika na mashambulizi ya tindikali visiwani humo.
Mkuu wa polisi nchini humo, Mussa Ali Mussa, alidai kuwa baadhi ya washukiwa wana uhusiano na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia.
Wiki jana kasisi wa kanisa katoliki alishambuliwa kwa kumwagiwa tindi kali katika mji wa kale.
Shambulizi hilo linakuja baada ya wasichana wawili wa uingereza kushambuliwa mwezi jana.
Kirstie Trup na Katie Gee, wote wenye umri wa miaka 18, walimwagiwa tindi kali wakiwa wanatembea mjini humo.
Maafisa nchini Zanzibari, wametangaza kumzawadi mtu atayetoa taarifa kuhusu shambulizi hilo.
Katika shambulizi lililofanyika siku ya Ijumaa, kasisi Joseph Anselmo Mwangamba alimwagiwa tindi kali alipokuwa anaondoka kwenye duka la huduma za internet katika mji wa kale.
Shambulizi hilo ni la tano la aina yake visiwani humo tangu Novemba mwaka jana.
Bwana Mussa alisema kuwa polisi walinasa mitungi iliyokuwa na lita 29 za Tindi kali wakati wa msako wao.
Kwa mujibu wa polisi, washukiwa walikamatwa wakiwa katika harakati za kujiandaa kwa mapigano kwengineko nje ya Tanzania.
Hadi sasa polisi wanakamilisha uchunguzi wao kabla ya kuwafungulia mashtaka washukiwa watatu waliowashambulia wasichana wawili raia wa Uingereza.
Hata hivyo haijulikani ikiwa washukiwa hao 15 waliokamatwa wamehusishwa na shambulizi walilofanyiwa wasichana hao wawili au ikiwa ni wao waliomshambulia kasisi Mwangamba.
Visiwa vya Zanzibar hupokea watalii wengi na wenyeji wansema kuwa mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni sio jambo la kawaida.
Haya mambo yametokea jana?Nenda pale Kariaokoo sokoni zanzibar jirani tu hapo kuna kanisa la Tanzania Assemblies of God nenda kaulize hata wenyeji kama liliwahi kuchomwa na magaidi kuanzia jengo hadi magati yao au la?
48 nipo hapa sasa Hivi nauliza kuna kanisa lolote limechomwa Jana watu wananishangaa!!Umri wako tafadhali!!
Sema hukujua nchi hii inaongozwa na mtu mwenye chuki na watu wenye imani tofautiDuuh, samahani mkuu nisamehe bure tu sikujua kama najadili na mtu wa namna gani.
kwa taarifa yako hiyo migaidi iko ndani chini ya uongozi wa maraisi watatu hadi sasa iliwekwa ndani mara ya kwanza na Muislamu mwenzao Shein ikakaa ndani weeee baadaye ikakabidhiwa kwa Kikwete Raisi mwenzao mwislamu mwenzao akaiacha ndani wee hadi anaondoka sasa iko chini ya magufuli kaiacha ndani kapokea kijiti akiondoka nakuja mimi itanikomaJibu swali watu wangapi wamefanya mauaji na wamehukumiwa????kinachowaponza kila mwenye akili timamu anakijua yote jwa yote hakuna atakaeishi milele hata ajitie mwamba ipo cku atasimama mbele ya Allah,haijalishi alikuwa nan????
Kama wamevunja amani wapekeke mahakamani na lete ushahidi sio eti kwa sababu wao ni waislamu na kiongozi ni kafiri basi wamevunja amaniwavunja amani unawaita mashekhe ?
Wale marais wengine kesi zao zilikua zipo mahakamanikwa taarifa yako hiyo migaidi iko ndani chini ya uongozi wa maraisi watatu hadi sasa iliwekwa ndani mara ya kwanza na Muislamu mwenzao Shein ikakaa ndani weeee baadaye ikakabidhiwa kwa Kikwete Raisi mwenzao mwislamu mwenzao akaiacha ndani wee hadi anaondoka sasa iko chini ya magufuli kaiacha ndani kapokea kijiti akiondoka nakuja mimi itanikoma
subiri nawe tukuweke gerezaniKama wamevunja amani wapekeke mahakamani na lete ushahidi sio eti kwa sababu wao ni waislamu na kiongozi ni kafiri basi wamevunja amani
Lete ushahidi mahakaman mbele ya hakimu sio bla bla tu
It's finesubiri nawe tukuweke gerezani
Kariakoo sokoni Zanzibar ndio wapi hapo?Nenda pale Kariaokoo sokoni zanzibar jirani tu hapo kuna kanisa la Tanzania Assemblies of God nenda kaulize hata wenyeji kama liliwahi kuchomwa na magaidi kuanzia jengo hadi magati yao au la?
Nao wai furaha yao ya kumwagia tindikali watu na kufurahia makanisa kuchomwa na kuuawa viongozi wa kikiristo imejatishwa kwa wao kuwa ndani haeana tena cha kuchekelea kuona wakristo wanateseka!!! Kicheko chao kimegeuka kilio wengine hadi wake zao wamewakimbia na kuolewa kwingine kwa kukosa matunzo!!Wale marais wengine kesi zao zilikua zipo mahakamani
Na wewe kufurahia eti kwa sababu wanaoteswa ni waislamu wala haikuzidishii kitu
Chuki mwisho wake upo
Huyu kafiri mwisho wakr upo
Hao masheikh mwisho wao pia upo
Na wewe furaha yako kuona wanateswa pia inamwisho wake
Iile eneo la kariakoo kuna soko kubwa tu nimeshapeleka bidhaa kibao pale jirani hapo opposite na hilo soko watu wa bara huleta mazao ndipo kanisa lililochomwa lipoKariakoo sokoni Zanzibar ndio wapi hapo?
Nenda Mwabakwerekwe ukifika pale soko la nwanakwerekwe uliza Kanisa la Tanzania Assemblies of God lililpo sio mbali .Kaulize kama lilishawahi lipuliwa na magaidi kwa kuchoma kanisa na magari ya kanisa au la48 nipo hapa sasa Hivi nauliza kuna kanisa lolote limechomwa Jana watu wananishangaa!!
sokoni mwanakwerekweKariakoo sokoni Zanzibar ndio wapi hapo?
Ndio umekusudia Mwanakwerekwe!?Nenda Mwabakwerekwe ukifika pale soko la nwanakwerekwe uliza Kanisa la Tanzania Assemblies of God lililpo sio mbali .Kaulize kama lilishawahi lipuliwa na magaidi kwa kuchoma kanisa na magari ya kanisa au la
Nenda Songwe Tunduma uliza Msikiti wa kusimani je ulishawahi kushambuliwa na imamu wake kujeruhuwa vibaya?Nenda Mwabakwerekwe ukifika pale soko la nwanakwerekwe uliza Kanisa la Tanzania Assemblies of God lililpo sio mbali .Kaulize kama lilishawahi lipuliwa na magaidi kwa kuchoma kanisa na magari ya kanisa au la
Kama ni kweli sawa lakini kama ni visingizio hamna shidaNao wai furaha yao ya kumwagia tindikali watu na kufurahia makanisa kuchomwa na kuuawa viongozi wa kikiristo imejatishwa kwa wao kuwa ndani haeana tena cha kuchekelea kuona wakristo wanateseka!!! Kicheko chao kimegeuka kilio wengine hadi wake zao wamewakimbia na kuolewa kwingine kwa kukosa matunzo!!