UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Basi ni ubaguzi.May be Yes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ni ubaguzi.May be Yes
Nakuombea uwe rais ajae utunyoshee izi gaidikwa taarifa yako hiyo migaidi iko ndani chini ya uongozi wa maraisi watatu hadi sasa iliwekwa ndani mara ya kwanza na Muislamu mwenzao Shein ikakaa ndani weeee baadaye ikakabidhiwa kwa Kikwete Raisi mwenzao mwislamu mwenzao akaiacha ndani wee hadi anaondoka sasa iko chini ya magufuli kaiacha ndani kapokea kijiti akiondoka nakuja mimi itanikoma
Ni magaidi kweli na nyie mnaowatetea wangekata vichwa vyenu. Ukiona muislamu kaambiwa gaidi huwa kuna ukweli kwa asilimia kubwa maana mbona baadhi hawaambiwi magaidi?Mkuu baadhi ya hawa masheikh walikamatwa na SMZ kabla ya yeye kua Rais lakini walikua wanapelekwa mahakamani kujibu kesi zao na ilikua wapo katika hatua za mwisho kufikia uamuzi.
Sasa jiwe alipoingia akaamrisha kesi zote ziache kusikilizwa na kila kukicha kuna viongozi wa kiislamu wanakamatwa kwa tuhuma za ugaidi kuanzia arusha. Mbeya. Tanga. Mwanza nk.
Anyways hakuna mtu anasema waachiwe lakini kwa sababu nchi hii Kuna mahakama je kwa nini hawapekekwi mahakamani?
Huyu mtu katili sana.
Mkuu, vijana wa leo ni wapumbavu kwel kwel hiki kizazi sijui itakuaje, hakitumii akili kabisa kuchakata mambo... inatishaSasa kwani yeye ndio aliwakamata hadi uanze kuzushia tuhuma za kidini, hao si walikamatwa na ndugu yao wenyewe kwenye imani, sasa magufuli yeye kwenye hizo dini kaingiaje hapo? Kuna mkono wa Magu ulihusika wakati wa kukamatwa kwao?
Ni kweli ana mapungufu ila haya mengine mnazidisha sasa.
Sio maneno Ndio yanawafanya wakae jela isipokua wao na mheshimiwa wapo dini tofauti.
Hapa ni chuki binafsi kwa watu wa dini tofauti sio kitu kingine.
Anyways dhulma ipo nyingi sana haswa kwa waumini wa dini historia inaonyesha jinsi walivyoteswa na viongozi makatili
Of course walikamatwa na shein kule zanzibar sio kikwete lakini kesi zao zilikua zinaendelea mahakamani.
Hata kwa sasa hatusemi waachiwe tunasema kwa nini hataki kesi zao ziendelee mahakamani?
Pia Kumbuka mashekh wanaoozea jela sio wa uamsho tu bali kuna masheikh wengi wapo karibu kila Mkoa bila kesi waliokamatwa wakati wake.
Huyu kafiri ni mdini na katili sana
Sabab akili huna.Uharifu gani mpaka leo hakuna kesi mahakamani? ingekuwa baba ako yupo ndani mpk leo bila kufungwa wala kufikishwa mahakani ungejisikiaje mpuuzi wewe? mimi siyo muislam lakini nachukia sn waislam kuonewa
Tulia na bwana akoSabab akili huna.
Tatizo ni moja tu kwamba siku hizi ugaidi umenasibishwa na uislamu kwamba ili mtu aitwe gaidi sharti awe muislamu,yani mtu hata afanyaje lakini ukisikia anaitwa gaidi halafu si muislamu lazima utaona ni kinyume tushazoea kwamba ili mtu aitwe gaidi lazima awe muislamu,tukisikia tu watu wamevamia sehemu na kuuwa watu halafu tukajua ni waislamu basi akili zetu moja kwa moja zinatupeleka kwenye ugaidi ila tukijua si waislamu akili zetu hazitupeleki kwenye ugaidi maana ni kama tumelipa maana mpya neno "ugaidi" kuwa ni uhalifu unaofanywa na waislamu tu kwa ajili ya dini yao.Ni magaidi kweli na nyie mnaowatetea wangekata vichwa vyenu. Ukiona muislamu kaambiwa gaidi huwa kuna ukweli kwa asilimia kubwa maana mbona baadhi hawaambiwi magaidi?
Wanaendekeza ugaid halaf wanataka waachwe tu..sio dunia ya sasaHayo maneno yenu ya kingese hayo ndio yanayowafanya hao wapigwa mi.ti wapo ndani mpaka leo
Kwani mafunzo ya kupigana ni tatizo mkuu au tatizo ni kufanyiwa msikitini?Acha wakamatwe tu maana mmezidi sana yani Msikitini mnafundisha watoto kupigana sasa hapo mnawajengea nini na mnawalisha vitu vya kijinga.
Kwani Jiwe ndo aliwapeleka Jela? Au aliyewapeleka alikuwa Mkristo? Mbona unazusha???Sio maneno Ndio yanawafanya wakae jela isipokua wao na mheshimiwa wapo dini tofauti.
Hapa ni chuki binafsi kwa watu wa dini tofauti sio kitu kingine.
Anyways dhulma ipo nyingi sana haswa kwa waumini wa dini historia inaonyesha jinsi walivyoteswa na viongozi makatili
Hilo ndio linatakiwa lifanyiwe uchunguzi,kwa sababu inawezekana kuna watu walitumia mgongo wa hao masheikh wa uamsho kufanya hayo matukio sasa hao masheikh walivyokamatwa nao wakaacha kufanya hayo matukio,au pia ni kweli hao masheikh ndio wahusika yote yanawezekana ndio maana watu wanataka wapelekwe mahakamani ili ijulikane.Ingawa watu wanalalamika hapa ila wajiulize tu swali moja dogo;
Baada ya hawa jamaa kukamatwa mbona hatusikii tena habari za kuchoma makanisa.