Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeon swal uliloulizwa? Au unakurupuka kujibu?Daah,we kweli unaishi dunia gani?Uwe na followers milion 1 wa nini kama huingizi pesa?
Aliyeniuliza atakuwa kanielewa!Kama wewe hujaelewa unaweza kuuliza!Umeon swal uliloulizwa? Au unakurupuka kujibu?
Kwaiyo mtandao ukirudi tutakuta maflaiova nchi nzima,
Huyu si ndio KUB mpya !Lilia Tanzania lakini isiwe ile style ya Mama Tanzania wa NCCR
sawaBado tuweke akiba ya maneno au tujipe moyo wabunge wakishaapishwa.
Katika dunia ya leo wakati wewe unajua hili kuna wengine wanajua lile , tulitoa taarifa mapema sana hapa na kwingineko kwamba viongozi wa Tanzania wamefikia muafaka wa kijinga wa kuzima mtandao moja kwa moja , wako waliotubishia na wengine wakafuta maandiko yetu wakituhisi kwamba ni wazushi , huku wakijipa matumaini kwamba baada ya uchaguzi na kuapishana labda mitandao itarejeshwa .
Lakini sasa imedhihirika kwamba hoja zetu zilikuwa na mashiko , baada ya sasa kuthibitika kwamba nchi yetu imerejeshwa rasmi kwenye mfumo wa ujima ambao unaipeleka nchi kuzimu .
Nakulilia Tanzania , Mwana kulitafuta mwana kulipata .
Wewe si wa kwanza kuleta matumainisio moja kwa moja mwisho ni 11th november
asante Moderator kwa kutumia VPN ili kuunga uzi huu , ubarikiwe sanaKatika dunia ya leo wakati wewe unajua hili kuna wengine wanajua lile , tulitoa taarifa mapema sana hapa na kwingineko kwamba viongozi wa Tanzania wamefikia muafaka wa kijinga wa kuzima mtandao moja kwa moja , wako waliotubishia na wengine wakafuta maandiko yetu wakituhisi kwamba ni wazushi , huku wakijipa matumaini kwamba baada ya uchaguzi na kuapishana labda mitandao itarejeshwa ....
Wewe si wa kwanza kuleta matumaini
Jiwe ana mafuasi mengi mazuzu yanayoshangilia kila kitu mitandaoni!!
Haya mazuzu mengi yao hayawezi ku-afford premium VPN, na mengine hata huko ku-download hizo free vpn hayawezi hata pa kuanzia!
Kwahiyo aendelee tu kuifungia mizuzu yake manake wale wanaompiga vitofa wengi wao uwezo wa ku-afford premium vpn wanao na hata wale wasio na huo uwezo, wengi wapo smarter na wana uwezo wa ku-accesss free vpn!
So, again, liacheni Jiwe liyakere misukule yake mwenyewe iliyojazana Instagram...
Najiona sio zuzu Msukule mpiga makofi wa Jiwe...kwahio unajiona mjanja weeee au sio?