Kabla ya kuomba kazi hakikisha kwanza unafanya research ya role and responsibility ya nafasi unayoomba na kuonyesha walau transferable skills za nafasi unayoomba kama huna first hand experience.
EWURA ni market regulator wa energy, hana uhusiano wowote na uzalishaji wa umeme, gas wala maji zaidi ya kutunga kanuni za soko na kusimamia au kusimamia sheria za soko kutoka bungeni.
View attachment 2863074
Majukumu ya EWURA it has nothing to do na andika lako hata moja.
View attachment 2863076
Ufahamu hata EWURA mkurugenzi wa mafuta na mkurugenzi wa gas ni watu wawili tofauti (ni regulators tu). Let alone PURA ndio ina majukumu ya upstream na midstream kwenye ‘oil and gas’; whereas TPDC ndio wana role ya downstream.
Halafu mkitoka hapo private ikijaza wageni ohoo, sisi tuna wasomi wa hayo maswala lakini tuna kuwa overlooked.
Uwezi hata kujiuza mwajiri nani atakupa kazi private if you haven’t even researched the role. Halafu unatangaza una biashara ya kuwaandikia watu CV wakati wewe mwenyewe sidhani kama unaweza jiandikia yako.