Ombi la kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi

Ombi la kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi

Halfa ya teuzi tutakutana Pale Richie Richie Inn.

Ukiwa Vwawa jitahidi uwe unapata wasaa unaonana na wakina Mzee Zambi(Mbunge Mstaafu) ni watu poa na wanaweza kukuonyesha njia za kupita au kubadilishana magazine.
Mzee Zambi nilimpigia kampeni sana. Bibi mkubwa alisoma naye na ndiye alikua kampeni meneja wake. Nilijikuta kupitia bibi mkubwa tunampigia kampeni Mzee Zambi. Mzee Zambi ukimwuuliza Matrida Dulle anamfahamu vizuri.
 
OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa kushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. Redirecting

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. 概念ガス田のプラトー速度を拡大するための天然ガス生産システム制約の最適化に関するノードおよび最小コスト解析【JST・京大機械翻訳】 | 文献情報 | J-GLOBAL 科学技術総合リンクセンター
Napita maana sijui kwa nini kamishna katenguliwa kama kuna anajua atujuze. Ila kabla sijaishia nikuulize wewe unayeomba kazi hiyo kwa nini nchi isifufue au kujenga upya kiwanda cha refinery. Halafu kwa nini mpango wa kutumia gesi yetu asili kwa matumizi ya nyumbani na kuuza nje unasuasua utekelezaji wake. Kwani haiwezekani kudambaza gesi hoyo kwa mitungi kama hizi za LPG.
 
Napita maana sijui kwa nini kamishna katenguliwa kama kuna anajua atujuze. Ila kabla sijaishia nikuulize wewe unayeomba kazi hiyo kwa nini nchi isifufue au kujenga upya kiwanda cha refinery. Halafu kwa nini mpango wa kutumia gesi yetu asili kwa matumizi ya nyumbani na kuuza nje unasuasua.
Kufufua kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi ya petroli (petroleum refinery) na kukuza matumizi ya gesi asilia kwa matumizi ya ndani na kuuza nje ni mambo muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kwanza, kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi ya petroli kingeweza kuchangia kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji wa bidhaa za mafuta (dizeli, petroli, mafuta ya ndege, vilainishi) kupunguza gharama za kuagiza nje, na kutoa fursa za ajira kwa watanzania.

Kuhusu matumizi ya gesi asilia, kuongeza matumizi ya gesi majumbani kunaweza kuwa na manufaa kwa kuwa ni nishati safi na endelevu. Hata hivyo, kufanikisha hilo kunahitaji mikakati thabiti ya kuboresha miundombinu, kutoa elimu kwa umma, na kuvutia uwekezaji katika sekta hiyo. Pia, kuimarisha uuzaji wa gesi nje kunahitaji mikataba bora, miundombinu ya usafirishaji, na ufanisi wa kusimamia rasilmali hiyo.

Katika nafasi hii, nitajitahidi kuleta mabadiliko chanya na kuweka mikakati madhubuti ili kufufua kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi ya petroli (petroleum refinery) na kukuza matumizi ya gesi asilia kwa manufaa ya wananchi na uchumi wa nchi.
 
Kufufua kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi ya petroli (petroleum refinery) na kukuza matumizi ya gesi asilia kwa matumizi ya ndani na kuuza nje ni mambo muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kwanza, kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi ya petroli kingeweza kuchangia kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji wa bidhaa za mafuta (dizeli, petroli, mafuta ya ndege, vilainishi) kupunguza gharama za kuagiza nje, na kutoa fursa za ajira kwa watanzania.

Kuhusu matumizi ya gesi asilia, kuongeza matumizi ya gesi majumbani kunaweza kuwa na manufaa kwa kuwa ni nishati safi na endelevu. Hata hivyo, kufanikisha hilo kunahitaji mikakati thabiti ya kuboresha miundombinu, kutoa elimu kwa umma, na kuvutia uwekezaji katika sekta hiyo. Pia, kuimarisha uuzaji wa gesi nje kunahitaji mikataba bora, miundombinu ya usafirishaji, na ufanisi wa kusimamia rasilmali hiyo.

Katika nafasi hii, nitajitahidi kuleta mabadiliko chanya na kuweka mikakati madhubuti ili kufufua kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi ya petroli (petroleum refinery) na kukuza matumizi ya gesi asilia kwa manufaa ya wananchi na uchumi wa nchi.
Kabla ya kuomba kazi hakikisha kwanza unafanya research ya role and responsibility ya nafasi unayoomba na kuonyesha walau transferable skills za nafasi unayoomba kama huna first hand experience.

EWURA ni market regulator wa energy, hana uhusiano wowote na uzalishaji wa umeme, gas wala maji zaidi ya kutunga kanuni za soko na kusimamia au kusimamia sheria za soko kutoka bungeni.

345687AB-A38A-4F9E-AB5B-1C0014C837CE.jpeg


Majukumu ya EWURA it has nothing to do na andika lako hata moja.

3417AB20-7901-4D16-8856-60905F352733.jpeg



Ufahamu hata EWURA mkurugenzi wa mafuta na mkurugenzi wa gas ni watu wawili tofauti (ni regulators tu). Let alone PURA ndio ina majukumu ya upstream na midstream kwenye ‘oil and gas’; whereas TPDC ndio wana role ya downstream.

Halafu mkitoka hapo private ikijaza wageni ohoo, sisi tuna wasomi wa hayo maswala lakini tuna kuwa overlooked.

Uwezi hata kujiuza mwajiri nani atakupa kazi private if you haven’t even researched the role. Halafu unatangaza una biashara ya kuwaandikia watu CV wakati wewe mwenyewe sidhani kama unaweza jiandikia yako.
 
Ombi lako ni gumu sana kueleweka maana kusoma na kufanyia kazi ni vitu viwili tofauti! Unaweza kusoma lakini kutumia elimu kwa manufaa mapana ya umma ni mtihani mwingine na wasomi wengi kufanyia kazi taaluma waliyosomea ni mtihani mkubwa zaidi zimebaki nadharia tu!! Kupewa Mamlaka kwa Wasomi wetu ni mtihani mwingine mkubwa zaidi! Ushauri wangu omba ukafanye kazi hapo ili uone nadharia ulizonazo zinafanya kazi!! Maana mengi uliyonayo ni nadharia!! Hujawahi fanya kazi kwenye nchi za Kiafrika zenye changamoto nyingi za Mabeberu wa Kimagharibi na Mashariki!! Hujawahi jua changamoto iliyopo kwenye kazi hiyo ya usimamizi ukizingatia wanaofanya biashara hizo walishaondoka siku nyingi kupigania mlo wa siku na kupunguziwa nauli!! Hivyo omba upatiwe hata ajira na Kisha utembelee nyingi za Kiafrika zenye mafuta na gesi ndipo uone unastahili kuomba hiyo nafasi au kuwa mbali nayo kama mbingu na ardhi ikiwa nia ya kutumikia umma wa Watanzania na sio kupigania maisha binafsi!!
 
Kabla ya kuomba kazi hakikisha kwanza unafanya research ya role and responsibility ya nafasi unayoomba na kuonyesha walau transferable skills za nafasi unayoomba kama huna first hand experience.

EWURA ni market regulator wa energy, hana uhusiano wowote na uzalishaji wa umeme, gas wala maji zaidi ya kutunga kanuni za soko na kusimamia au kusimamia sheria za soko kutoka bungeni.

View attachment 2863074

Majukumu ya EWURA it has nothing to do na andika lako hata moja.

View attachment 2863076


Ufahamu hata EWURA mkurugenzi wa mafuta na mkurugenzi wa gas ni watu wawili tofauti (ni regulators tu). Let alone PURA ndio ina majukumu ya upstream na midstream kwenye ‘oil and gas’; whereas TPDC ndio wana role ya downstream.

Halafu mkitoka hapo private ikijaza wageni ohoo, sisi tuna wasomi wa hayo maswala lakini tuna kuwa overlooked.

Uwezi hata kujiuza mwajiri nani atakupa kazi private if you haven’t even researched the role. Halafu unatangaza una biashara ya kuwaandikia watu CV wakati wewe mwenyewe sidhani kama unaweza jiandikia yako.
Kwanza nikupongeze kwa kuandika mambo mengi yenye umuhimu mkubwa katika sekta yetu ya mafuta na gesi katika taifa letu.

Hayo yote uliyo yaandika wala sio majukumu magumu na kutisha mpaka uanze kuogopa kutekeleza majukumu utakayo pangiwa pindi unapoteuliwa. Na wala kwenye hizo taasisi ulizoorodhesha yaani TPDC, EWURA, na PURA hakuna majukumu magumu ya kutisha mpaka uanze kuogopa mkuu wangu. Jiamini kila kazi inakua na kanuni na taratibu acha kuogopa.

Sio kila kazi unayopangiwa kuifanya huwa unakua ulisha ifanya kabla. Nazungumzia kazi ya kuteuliwa. Jambo lakukushauri kuwa mwepesi wa kujifunza, jishushe na kufuata kanuni na taratibu zinazo zunguka kazi yako mpya. Jivunie ubunifu sio majukumu ya kazi uliyokariri kabla.

Hivyo ndugu yangu swala la kusema kwamba ili ufanye kazi fulani lazima uwe uliifanya hiyo kazi kabla sio mtazamo mzuri. Yaani kwamba ili uwe makamu wa Rais lazima uwe ulishawahi kuwa makamu wa Rais.

Mwisho kabisa mimi nipo tayari kuifanya kazi hiyo kama endapo nitateuliwa. Nitafuata kanuni na taratibu za kazi hiyo ili nitimize majukumu yangu kama yalivyo ainishwa kwenye sheria ya petroli.
 
Ombi lako ni gumu sana kueleweka maana kusoma na kufanyia kazi ni vitu viwili tofauti! Unaweza kusoma lakini kutumia elimu kwa manufaa mapana ya umma ni mtihani mwingine na wasomi wengi kufanyia kazi taaluma waliyosomea ni mtihani mkubwa zaidi zimebaki nadharia tu!! Kupewa Mamlaka kwa Wasomi wetu ni mtihani mwingine mkubwa zaidi! Ushauri wangu omba ukafanye kazi hapo ili uone nadharia ulizonazo zinafanya kazi!! Maana mengi uliyonayo ni nadharia!! Hujawahi fanya kazi kwenye nchi za Kiafrika zenye changamoto nyingi za Mabeberu wa Kimagharibi na Mashariki!! Hujawahi jua changamoto iliyopo kwenye kazi hiyo ya usimamizi ukizingatia wanaofanya biashara hizo walishaondoka siku nyingi kupigania mlo wa siku na kupunguziwa nauli!! Hivyo omba upatiwe hata ajira na Kisha utembelee nyingi za Kiafrika zenye mafuta na gesi ndipo uone unastahili kuomba hiyo nafasi au kuwa mbali nayo kama mbingu na ardhi ikiwa nia ya kutumikia umma wa Watanzania na sio kupigania maisha binafsi!!
Nashukuru kwa maoni yako na ufahamu wako mzuri kuhusu changamoto za kufanya kazi katika nafasi za usimamizi, hasa katika mazingira ya Kiafrika na katika sekta ya mafuta na gesi. Ninaelewa umuhimu wa kufanya kazi halisi na kuona jinsi nadharia inavyoweza kutumika katika muktadha wa vitendo.

Kupata uzoefu wa moja kwa moja katika mazingira hayo ni muhimu, na ninaamini kuwa kujifunza kutokana na uzoefu wa kazi ni njia bora ya kuboresha na kutekeleza elimu na maarifa ya nadharia.

Ninaichukua ushauri wako kwa uzito na nitajitahidi kutafuta fursa za kupata uzoefu wa kufanya kazi katika mazingira tofauti ikiwemo na nafasi hii niliyo omba kuteuliwa.

Kuelewa umuhimu wa nafasi hiyo niliyoomba katika kutoa mchango wa kudumu na wa maana kwa umma wa Watanzania ni kipaumbele changu. Asante kwa mwongozo wako na kushirikisha maoni yako kwa uwazi katika jukwaa hili.

Lakini naomba nikutoe wasiwasi kwamba nina imani kubwa katika uwezo wangu wa kubeba majukumu ya nafasi hiyo na kutoa mchango wangu kwa ufanisi.

Uzoefu wangu katika kujifunza na kutatua changamoto, pamoja na uwezo wangu wa kubuni na kutekeleza mikakati madhubuti, ni rasilimali ambazo ninaamini zitachangia katika kufanikisha majukumu ya nafasi hiyo.

Nina hamu ya kujifunza zaidi, kufanya kazi kwa karibu na wenzangu, na kutoa mchango wangu kwa maendeleo ya sekta ya mafuta na gesi nchini. Nitajitahidi kwa juhudi na nidhamu kufikia malengo yaliyowekwa na kuleta mabadiliko chanya.

Ninaamini kuwa naweza kuimudu nafasi hiyo kwa ufanisi na kuchangia katika kuendeleza rasilimali za nishati kwa manufaa ya taifa letu.

Ahsante
 
Kwanza nikupongeze kwa kuandika mambo mengi yenye umuhimu mkubwa katika sekta yetu ya mafuta na gesi katika taifa letu.

Hayo yote uliyo yaandika wala sio majukumu magumu na kutisha mpaka uanze kuogopa kutekeleza majukumu utakayo pangiwa pindi unapoteuliwa. Na wala kwenye hizo taasisi ulizoorodhesha yaani TPDC, EWURA, na PURA hakuna majukumu magumu ya kutisha mpaka uanze kuogopa mkuu wangu. Jiamini kila kazi inakua na kanuni na taratibu acha kuogopa.

Sio kila kazi unayopangiwa kuifanya huwa unakua ulisha ifanya kabla. Nazungumzia kazi ya kuteuliwa. Jambo lakukushauri kuwa mwepesi wa kujifunza, jishushe na kufuata kanuni na taratibu zinazo zunguka kazi yako mpya. Jivunie ubunifu sio majukumu ya kazi uliyokariri kabla.

Hivyo ndugu yangu swala la kusema kwamba ili ufanye kazi fulani lazima uwe uliifanya hiyo kazi kabla sio mtazamo mzuri. Yaani kwamba ili uwe makamu wa Rais lazima uwe ulishawahi kuwa makamu wa Rais.

Mwisho kabisa mimi nipo tayari kuifanya kazi hiyo kama endapo nitateuliwa. Nitafuata kanuni na taratibu za kazi hiyo ili nitimize majukumu yangu kama yalivyo ainishwa kwenye sheria ya petroli.
Kwa hiyo unaenda kujifunza kazi at senior management position.

Kama tunaokota makatibu wakuu nje ya senior civil servants wa wizara (wakati hizo ni very sensitive posts) kwanini ishindikane mtu yeyote kushika nafasi za mashirika bila ya uwezo.

Matter of fact January Makamba kila siku alikuwa anapeleka rafiki zake wasio na skills wala knowledge za sector kushika nafasi. Why not you walau una basics za oil and gas.

Swali kwako how much is storage capacity ya mafuta kwa sasa Tanzania na sera za inventory control ya nchi inasemaje kuhusu minimum reserves.

Wapi tunanunua mafuta kwa wingi, supply risks zilizopo na mitigation strategy unayopendekeza kuhakikisha nchi aina uhaba watu wakianza kuparurana huko kwenye vyanzo vya mafuta. Mambo unayoandika na nafasi unayoomba ni vitu viwili tofauti.
 
OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa kushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. Redirecting

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. 概念ガス田のプラトー速度を拡大するための天然ガス生産システム制約の最適化に関するノードおよび最小コスト解析【JST・京大機械翻訳】 | 文献情報 | J-GLOBAL 科学技術総合リンクセンター
Nimwomba aniteue niwe waziri wa fedha tangu anaapishwa lakini bado hajanijibu. Nakutakia kila la kheri.
 
Back
Top Bottom