Ombi la kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi

Ombi la kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi

OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa kushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

38. Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. https://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S294989102300310X

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. ๆฆ‚ๅฟตใ‚ฌใ‚น็”ฐใฎใƒ—ใƒฉใƒˆใƒผ้€Ÿๅบฆใ‚’ๆ‹กๅคงใ™ใ‚‹ใŸใ‚ใฎๅคฉ็„ถใ‚ฌใ‚น็”Ÿ็”ฃใ‚ทใ‚นใƒ†ใƒ ๅˆถ็ด„ใฎๆœ€้ฉๅŒ–ใซ้–ขใ™ใ‚‹ใƒŽใƒผใƒ‰ใŠใ‚ˆใณๆœ€ๅฐใ‚ณใ‚นใƒˆ่งฃๆžใ€JSTใƒปไบฌๅคงๆฉŸๆขฐ็ฟป่จณใ€‘ | ๆ–‡็Œฎๆƒ…ๅ ฑ | J-GLOBAL ็ง‘ๅญฆๆŠ€่ก“็ทๅˆใƒชใƒณใ‚ฏใ‚ปใƒณใ‚ฟใƒผ
Weka namba yako ya simu tuangalie jinsi ya kukusaidia.
 
OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa kushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

38. Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. https://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S294989102300310X

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. ๆฆ‚ๅฟตใ‚ฌใ‚น็”ฐใฎใƒ—ใƒฉใƒˆใƒผ้€Ÿๅบฆใ‚’ๆ‹กๅคงใ™ใ‚‹ใŸใ‚ใฎๅคฉ็„ถใ‚ฌใ‚น็”Ÿ็”ฃใ‚ทใ‚นใƒ†ใƒ ๅˆถ็ด„ใฎๆœ€้ฉๅŒ–ใซ้–ขใ™ใ‚‹ใƒŽใƒผใƒ‰ใŠใ‚ˆใณๆœ€ๅฐใ‚ณใ‚นใƒˆ่งฃๆžใ€JSTใƒปไบฌๅคงๆฉŸๆขฐ็ฟป่จณใ€‘ | ๆ–‡็Œฎๆƒ…ๅ ฑ | J-GLOBAL ็ง‘ๅญฆๆŠ€่ก“็ทๅˆใƒชใƒณใ‚ฏใ‚ปใƒณใ‚ฟใƒผ
Mimi nimeongea na mama akaniambia anahitaji namba ya mtuma maombi
 
Wewe si ulisema utagombea ubunge Songwe huko 2025 kupitia chama cha kijani?

Sasa unatuombaje humu si upenyeze kimemo kwa chief Manyama kama mnavyofanya umuambie wewe ni mzalendo uliyepiga chini scholarship ya kwenda kusoma China ili ujitengenezee barabara ya kuingia bunge la kijani 2025.

Mmeichezea sana nchi kiasi kwamba hata Kingwendu anaweza kuwa mkurugenzi wa hiyo taasisi ili mradi tu awe na kadi ya kijani na kujitoa akili tayari kwa kupokea maelekezo toka juu.
Hii nchi tutafika kwa Mungu tumedhoofika
 
Hongera mkuu kwa kujitoa kimasomaso kuitaka hiyo nafasi iliyo wazi.
Kwa rais Samia huwa anapitia humu mara kwa mara, kama alivyotamka yeye mwenyewe, basi naamini ataliona ombi lako na kulifanyia kazi.
Kusema kweli una uelewa mpana sana wa masuala ya gesi na mafuta. Hongera.
Uvccm mwenzako huyo
 
Mkuu maneno yako makali ngoja nijaribu kuwa hivyo.
Huo ndio uhalisia mzee, chunguza aina ya viongozi wetu, yupi unasema yes huyu timamu kabisa, ana mipango swaafi kichwani, akili zinachaji.
Utashangaa wanatangaza nafasi za ajira kumbe ni ualimu na udaktari tu ๐Ÿ˜‚
 
Hii nchi tutafika kwa Mungu tumedhoofika
Mkuu biblia katika kitabu cha ufunuo inasema mbinguni hakitaingia kinyonge.

Ufunuo wa Yohana 21:27
Na ndani yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho kinyonge.
Bado bibilia ikagongelea msumari kwenye kitabu cha Mathayo

Mathayo 11:12
Tangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wauteka.

Kama huna nguvu huwezi kuuteka ufalme wowote duniani.

Kitu kinyonge sikuzote ni kitu kisichokuwa na nguvu ya kustahimili mtikisiko fulani aidha mapigano, ugonjwa, Dhoruba, mateso n.k.
 
Watu wenye qualifications kama zako wako wengi hapa Tanzania na nafasi ya kamishna ni moja, what is special about you mpaka upewe wewe?

Mali kubwa kwa sasa ni uzoefu na ni kitu naona hauna. Unaweza kubeza suala la uzoefu lakini siku ukija kuingia kazini utaona tofauti ya experienced people and inexperienced ones kwenye utendaji.

All in all, malizia masomo kwanza then jijengee uzoefu wa wa atleast five years with atleast two in management ndio ufikirie nafasi ya ukamishana. Otherwise wapo wengi waliokuzidi sifa.
 
Watu wenye qualifications kama zako wako wengi hapa Tanzania na nafasi ya kamishna ni moja, what is special about you mpaka upewe wewe?

Mali kubwa kwa sasa ni uzoefu na ni kitu naona hauna. Unaweza kubeza suala la uzoefu lakini siku ukija kuingia kazini utaona tofauti ya experienced people and inexperienced ones kwenye utendaji.

All in all, malizia masomo kwanza then jijengee uzoefu wa wa atleast five years with atleast two in management ndio ufikirie nafasi ya ukamishana. Otherwise wapo wengi waliokuzidi sifa.
Ahsante sana kwa mchango wako mzuri mkuu wangu. Ni kweli hata mimi natambua umuhimu wa kuwa na uzoefu kazini. Uzoefu ni jambo la muhimu sana katika kazi. Uzoefu unaongeza ufanisi katika kazi. Lakini kuwa na uzoefu kwa wengine kisiwe kigezo cha kusema wengine hawana uzoefu. Na tambua mahali pakuupatia uzoefu ni kazini na kazi zenyewe ndio kama hizo.

Lakini tukirudi kwenye katiba yetu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuna kifungu chochote kwenye katiba kimesema ili mtu apewe hiyo nafasi lazima awe na uzoefu wa hiyo kazi??

Mimi nafikiri sisi kama taifa huru tujitahidi sana kufuata haki katika kuajiri na kuteua. Tunaposema hana experience sasa tunataka mtu huyo aipatie wapi hiyo experience. Mtu anaweza kuwa na experience lakini kuna sifa zingine hana.
 
Ahsante sana kwa mchango wako mzuri mkuu wangu. Ni kweli hata mimi natambua umuhimu wa kuwa na uzoefu kazini. Uzoefu ni jambo la muhimu sana katika kazi. Uzoefu unaongeza ufanisi katika kazi. Lakini kuwa na uzoefu kwa wengine kisiwe kigezo cha kusema wengine hawana uzoefu. Na tambua mahali pakuupatia uzoefu ni kazini na kazi zenyewe ndio kama hizo.

Lakini tukirudi kwenye katiba yetu ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuna kifungu chochote kwenye katiba kimesema ili mtu apewe hiyo nafasi lazima awe na uzoefu wa hiyo kazi??

Mimi nafikiri sisi kama taifa huru tujitahidi sana kufuata haki katika kuajiri na kuteua. Tunaposema hana experience sasa tunataka mtu huyo aipatie wapi hiyo experience. Mtu anaweza kuwa na experience lakini kuna sifa zingine hana.
Ni kweli hakuna sheria inayozuia mamlaka za uteuzi kukuajiri na nina amini kama mtanzania una haki ya kuajiriwa na serikali.
Ila huoni kama ni sahihi zaidi kabla ya uteuzi wa mtu kushika nafasi za juu serikalini washindanishwe watanzania wenye nia na vigezo na yule mwenye kuwazidi wengine ndiye apewe nafasi hiyo? Je, unadhani wewe una vigezo vya kuwashinda watanzania wote wenye nia ya kushika hiyo nafasi kama wewe?

Kuhusu uzoefu unadhani ni sahihi mtu kwenda kujifunza kazi kwenye nafasi ya juu serikalini (ambayo maamuzi yake yana repurcussions kubwa kwa stability na uchumi wa nchi) wakati zipo nafasi za chini zipo (ambazo maamuzi yake yana madhara madogo hivyo makosa yanavumilika wakati mtu anajifunza)? Unadhani ni sahihi mtu asiye na uzoefu wa kazi akaenda kuajiriwa nafasi ya juu serikalini hali ya kuwa anaoenda kuwaongoza wanamzidi elimu na uzoefu wa hiyo kazi (unaenda kusimamia watu ambao ndio watakufundisha kazi)?

Mimi naona haya mambo huwa yanafanyika kwa nepotism tu ila kama una nia njema na nchi yetu kama unavyojinasibu, basi jijengee uwezo kwanza. Najua vijana tuna haraka ya kutimiza malengo yetu ila ukweli ni kwamba mambo mazuri yanataka subira.
 
Hizi, njaa hizi, hizo, nafasi wanapewa watu waliofsnya makubwa kwenye industry zao, sasa wewe hufahamiki, zaidi ya, kuwa mwandishi, tu hapa JF, ukiona unajipigia debe, wewe hufahi,nafasi kama hizo, watu hupendekezwa, hutafutwa, sasa, wewe unajipendekeza,
Kwanini wakupe wewe, na sio mmoja wa wafanyabiashara wa mafuta kama Shabiby nk,?
 
Ni kweli hakuna sheria inayozuia mamlaka za uteuzi kukuajiri na nina amini kama mtanzania una haki ya kuajiriwa na serikali.
Ila huoni kama ni sahihi zaidi kabla ya uteuzi wa mtu kushika nafasi za juu serikalini washindanishwe watanzania wenye nia na vigezo na yule mwenye kuwazidi wengine ndiye apewe nafasi hiyo? Je, unadhani wewe una vigezo vya kuwashinda watanzania wote wenye nia ya kushika hiyo nafasi kama wewe?

Kuhusu uzoefu unadhani ni sahihi mtu kwenda kujifunza kazi kwenye nafasi ya juu serikalini (ambayo maamuzi yake yana repurcussions kubwa kwa stability na uchumi wa nchi) wakati zipo nafasi za chini zipo (ambazo maamuzi yake yana madhara madogo hivyo makosa yanavumilika wakati mtu anajifunza)? Unadhani ni sahihi mtu asiye na uzoefu wa kazi akaenda kuajiriwa nafasi ya juu serikalini hali ya kuwa anaoenda kuwaongoza wanamzidi elimu na uzoefu wa hiyo kazi (unaenda kusimamia watu ambao ndio watakufundisha kazi)?

Mimi naona haya mambo huwa yanafanyika kwa nepotism tu ila kama una nia njema na nchi yetu kama unavyojinasibu, basi jijengee uwezo kwanza. Najua vijana tuna haraka ya kutimiza malengo yetu ila ukweli ni kwamba mambo mazuri yanataka subira.
Mkuu wangu najua unauheshimu sana uzoefu lakini nakuhakikishia kwamba kila kazi ina kanuni na taratibu zake.

Ukiwa mwerevu unaweza kufanya kazi yoyote kwa kufuata kanuni na taratibu za kazi hiyo.

Hivyo mkuu wangu ondoa uoga jiamini na nakuhakikishia mkuu wangu uzalendo unaweza kuwa ni zaidi ya uzoefu unaouzungumzia.

Weka KANUNI NA TARATIBU ZA KAZI ndio uwe mwongozo wako wa kufanya kazi.
 
Hizi, njaa hizi, hizo, nafasi wanapewa watu waliofsnya makubwa kwenye industry zao, sasa wewe hufahamiki, zaidi ya, kuwa mwandishi, tu hapa JF, ukiona unajipigia debe, wewe hufahi,nafasi kama hizo, watu hupendekezwa, hutafutwa, sasa, wewe unajipendekeza,
Kwanini wakupe wewe, na sio mmoja wa wafanyabiashara wa mafuta kama Shabiby nk,?
Ni kweli mkuu wangu tuna njaa sana ya kuwatumikia watanzania wenzetu ili kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu. Tuna kiu kubwa ya kuleta maendeleo katika taifa letu.

Usiogope mkuu wangu jiamini kila jambo linawezekana ukisema unaweza usiogope. Shika kitu hichohicho ulichonacho mkononi sema naweza songa mbele.
 
OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa kushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

38. Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. https://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S294989102300310X

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. ๆฆ‚ๅฟตใ‚ฌใ‚น็”ฐใฎใƒ—ใƒฉใƒˆใƒผ้€Ÿๅบฆใ‚’ๆ‹กๅคงใ™ใ‚‹ใŸใ‚ใฎๅคฉ็„ถใ‚ฌใ‚น็”Ÿ็”ฃใ‚ทใ‚นใƒ†ใƒ ๅˆถ็ด„ใฎๆœ€้ฉๅŒ–ใซ้–ขใ™ใ‚‹ใƒŽใƒผใƒ‰ใŠใ‚ˆใณๆœ€ๅฐใ‚ณใ‚นใƒˆ่งฃๆžใ€JSTใƒปไบฌๅคงๆฉŸๆขฐ็ฟป่จณใ€‘ | ๆ–‡็Œฎๆƒ…ๅ ฑ | J-GLOBAL ็ง‘ๅญฆๆŠ€่ก“็ทๅˆใƒชใƒณใ‚ฏใ‚ปใƒณใ‚ฟใƒผ
Weka namba ya simu na email address.
 
Mkuu wangu najua unauheshimu sana uzoefu lakini nakuhakikishia kwamba kila kazi ina kanuni na taratibu zake.

Ukiwa mwerevu unaweza kufanya kazi yoyote kwa kufuata kanuni na taratibu za kazi hiyo.

Hivyo mkuu wangu ondoa uoga jiamini na nakuhakikishia mkuu wangu uzalendo unaweza kuwa ni zaidi ya uzoefu unaouzungumzia.

Weka KANUNI NA TARATIBU ZA KAZI ndio uwe mwongozo wako wa kufanya kazi.
Haya mkuu. Nikutakie kila la kheri katika kazi yako hiyo.
 
Huyu kijana haijui CCM vizuri.

CCM inataka counterfeit intellectuals , ukiingia na expertise na integrity kwao sio kigezo muhimu.

Kigezo muhimu ni kwanza ukubali kuacha kutumia akili zako na pili ukubali kupokea maelekezo kwa yoyote hata asiye mtaalam katika eneo ulilobobea.

Kijana nilimshauri angeenda shule akiweza abakie hukohuko kinyume na hapo akirudi afungue firm yake kwa ajili ya mambo ya consultations .
Mkuu kwanza hongera kwa kuandika jambo ambalo unalifahamu. Lakini mimi sina hakika kama CCM huchukua watu wasio na uwezo.

Kwa ninavyojua ili CCM wakuamini kuwa miongoni mwa viongozi wa serikali yao lazima uwe na kitu cha tofauti. Nikiwaangalia viongozi wote waliopata uongozi kwenye serikali ya CCM wanasifa ambazo pengine watanzania waliowengi wamezikosa.

Mtu mwenye akili ni yule tu mwenye uwezo wa kumtawala mwingine. Viongozi wa CCM wanakuongoza kwasababu wamekuzidi akili.

Hivyo ndugu yangu viongozi hao unaowasema bado wanatumia akili zao vilevile ndio maana wanatuongoza.
 
Back
Top Bottom