Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Dr. was the best of the best! Ile combination yake na Mbowe iliwaumiza sana CCMHakika mkuu.nakumbuka ile siku mzee slaa anang’atuka alisema “sijawahi kutofautiana na mwenyekiti wangu lakini kwa hili la lowasa tumevutana sana.”””mzee ana msimamo sana yule
Yawezekana asiwe candidate mzuri wa urais lakini mchango wake ni muhimu sana kwenye muelekeo wa kuindoa ccm 2025, kwa Sasa ccm pamoja na Hangaya hawana chochote cha kufanya kuinusuru nchi wameamua kwa makusudi kuyazika mema yote ya JPM ni wakati muafaka wa kuvuna pando laoDr. was the best of the best! Ile combination yake na Mbowe iliwaumiza sana CCM
Ni ukweli kabisa na falsafa za Dr. Slaa ndio falsafa za Magufuli nadhani hata ndio sababu za yeye kuumunga mkono
Kiukweli walio karibu wamuombee mzee afanye hilo jambo mapema mafisadi yamekuja na speed kali sana tusipojidhatiti mapema tutapoteza pambano.
Magufuli na Slaa wote mrengo wao ni mmoja uongozi kwa manufaa ya uma, usimamizi wa rasilimali tulizojaliwa pamoja na udhibiti wa rushwa na matumizi mabaya ya rasilimali.
Kikubwa nakiona kwa Dr. Slaa ni kuiamini vijana katika kupiga hatua ndio maana hata alipokuwa chadema kwa wakati wake aliweza kuwainuia vijana wengi sana zito,mnyika, mdee ni mifano hai
Mema yepi ya JPM waliyoyazika Chief?Yawezekana asiwe candidate mzuri wa urais lakini mchango wake ni muhimu sana kwenye muelekeo wa kuindoa ccm 2025, kwa Sasa ccm pamoja na Hangaya hawana chochote cha kufanya kuinusuru nchi wameamua kwa makusudi kuyazika mema yote ya JPM ni wakati muafaka wa kuvuna pando lao
Kama ulikuwepo Tanzania na hujayaona hata nitumie siku nzima kukushawishi sitafanikiwa hilo. Nadhani itoshe kusema maombi ya mtoa mada kwa Dr. Slaa yapokelewe kwa faida ya Tanzania ya sasa na baadaeMema yepi ya JPM waliyoyazika Chief?
Chief orodhesha hata mema 3 tu ya JPM ambayo hayaendelezwi awamu hii, kushindwa kufanya hivyo ina maana wewe ni muongo na una chuki zako binafsi tuKama ulikuwepo Tanzania na hujayaona hata nitumie siku nzima kukushawishi sitafanikiwa hilo. Nadhani itoshe kusema maombi ya mtoa mada kwa Dr. Slaa yapokelewe kwa faida ya Tanzania ya sasa na baadae
Ni ideology ya chama wala siyo sura ya mtu itakayoleta wafuasiHapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.
Maoni yako sio msaafu hivyo sitapinga unachoaminiWafuasi wa Magufuli msiokubaliana na CCM kubalini kuwa nje ya CCM hamna chenu. Ndivyo Tanzania ilivyo. Hata Magufuli ile jeuri na kibri alikuwa navyo kwa kushika rungu la CCM. Nje ya CCM hakuwa na tofauti na Cheyo.
Slaa ndio kabisaa. Hana chake. CHADEMA ndiyo ilikuwa nguvu yake hapo awali.
Halafu baada ya kuvutana na Mbowe, Dr. Slaa akarudi CCM na akawa mpiga debe wa CCM dhidi ya upinzani.Hakika mkuu.nakumbuka ile siku mzee slaa anang’atuka alisema “sijawahi kutofautiana na mwenyekiti wangu lakini kwa hili la lowasa tumevutana sana.”””mzee ana msimamo sana yule
Ideology ya chama bila watu wenye dhamiri ya dhati kutekeleza hayo yanabaki kuwa maandiko tu.Ni ideology ya chama wala siyo sura ya mtu itakayoleta wafuasi
Hapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.
Mkuu lile genge lillohamia chadema ambalo lilimfanya Slaa akaicha kazi alioisimamia zaidi ya miaka 20 nitajie ni nani bado yupo chadema. Dr aliliona hilo na hakutaka kuwa sehemu ya upuuzi ule ndio maana aligoma kata kata kuinajisi dhamira yake.Halafu baada ya kuvutana na Mbowe, Dr. Slaa akarudi CCM na akawa mpiga debe wa CCM dhidi ya upinzani.
Huyo mtu atakuwa ana akili timamu kweli?
Yaani mtu aliyekuwa kwenye upinzani kwa miaka 20, akizunguka nchi nzima kuhakikisha CCM inaondolewa madarakani, ghafla anatofautiana na Mbowe kwa suala la Lowassa kuhamia CHADEMA na hapo hapo anahamia CCM kinyemela na kuhakikisha inapata ushindi.
Bora Yuda aliyemsaliti Yesu (maana usaliti wake ulizaa wokovu kwa wakristo) kuliko Slaa, mtu mpuuzi aliyehakikisha watanzania wanabakia kwenye utumwa wa CCM huku yeye akitafuna vitu vinono kwenye hoteli ya kifahari na kutunzwa Canada kwa pesa za wavuja jasho la watanzania.
Kuna uwezekano mkubwa sana kile kilichomkuta Yuda ipo siku kitamkuta Dr. Slaa, otherwise Dr. Slaa azunguke nchi nzima kuwaomba radhi watanzania kwa uovu wa kisaliti aliowafanyia watanzania kuanzia 2015.
Utitiri wa vyama utaleta unafuu zaidi kwa ccm.Hapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.
Ni lazima wawe CHADEMA?Kwa nini usiwashauri CHAUSTA?Chadema hawapendi kuusikia huu ushauri!
Ndio viherehere!Ni lazima wawe CHADEMA?Kwa nini usiwashauri CHAUSTA?
Upinzani sio chademaChadema hawapendi kuusikia huu ushauri!
Hamna haja ya kuhangaika, si mpeni chama kimojawapo kati ya vile vyenu ambavyo wenyeviti wao weshajichokea; TLP au UDPHapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.