USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Wakuu huyu dogo ndio alikuwa kinara wa Yamoto Band na kuushtua mji kwa ngoma baada ya ngoma kabla ya story za wambea wa mujini kusema kamali itammaliza maana anajua kuweka mzigo haswaa .
Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .
Kwa sasa hatoi ngoma amepotea kama upepo hawezi kudaidika arudi town tena na mangoma yake
Kwa kuwa mzee wetu Kikwete amesaidia wasanii hasa wa ukanda wa Pwani na pia yeye hupita humu JF tumuombe amsaidie hata sober house aende Kisha arejee asiwe kama kina Feruuzi, Twenty percent , Daz baba na Chid Benz wasanii wa Pwani ni majanga sana.
USSR
Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .
Kwa sasa hatoi ngoma amepotea kama upepo hawezi kudaidika arudi town tena na mangoma yake
Kwa kuwa mzee wetu Kikwete amesaidia wasanii hasa wa ukanda wa Pwani na pia yeye hupita humu JF tumuombe amsaidie hata sober house aende Kisha arejee asiwe kama kina Feruuzi, Twenty percent , Daz baba na Chid Benz wasanii wa Pwani ni majanga sana.
USSR