heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Kwa hiyo niahirishe kumfikishia ujumbe Kikwete kulingana na coment zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngada tena?....nani anawadanganya hawa vijana mpaka anawaingiza kwenye uraibu huu ?Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .
Bangi itoe hapo mkuuBange, unga, kamari, havijawahi kumwacha mtu salama
Oneni hii takatakaMmmmmh ila huu uzi lol, nimekumbuka sakata lake la utapeli kwa shoga mtanzania anayeishi Marekani,. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mbwehaa acha kunifatilia, mie sikutaki, khaaah kwani kukataliwa hujui? Nipotezeeeee mxxxieeeeewwOneni hii takataka
Vanessa hakuwahi shindana na WCB, tafadhari usitake kuleta uongo wako hapa, na hapo unataka kusema alikua anashindana na zuchu, yaan chawa mnalazimisha sana mambo lol.Vita ya WCB ilimshinda vanessa dogo aslay ni mdogo sana kwenye vita hyo sasa hvi wanamtafuta marioo maana anawasumbua sana WCB hawataki kuona msanii anafanya vizuri nje ya lebel yao.
Hafananii kama ni mtumiaji wa unga.Bange, unga, kamari, havijawahi kumwacha mtu salama
Ushapumuliwa na wangapi mkuu ?Wabongo kujifanya mnawajua watu ndani nje... Kijana wa watu yupo mjini bize na biashara zake nyie mpo bize kumjadiri uongo. Mnapenda kufuatilia maisha ya wanaume ndio maana tuna wapumulia
Vita ya WCB ilimshinda Vanessa dogo Aslay ni mdogo sana kwenye vita hyo sasa hvi wanamtafuta Marioo maana anawasumbua sana WCB hawataki kuona msanii anafanya vizuri nje ya lebel yao.
Subiri kidogo..Kwaiyo niahirishe kumfikishia ujumbe Kikwete kulingana na coment zenu
Hela zake mwenyewe kalia starehe sisi tumsaidie nini,labda kumtunzia mzazi mwenzakeWakuu huyu dogo ndio alikuwa kinara wa Yamoto Band na kuushtua mji kwa ngoma baada ya ngoma kabla ya story za wambea wa mujini kusema kamali itammaliza maana anajua kuweka mzigo haswaa .
Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .
Kwa sasa hatoi ngoma amepotea kama upepo hawezi kudaidika arudi town tena na mangoma yake
Kwa kuwa mzee wetu Kikwete amesaidia wasanii hasa wa ukanda wa Pwani na pia yeye hupita humu JF tumuombe amsaidie hata sober house aende Kisha arejee asiwe kama kina Feruuzi, Twenty percent , Daz baba na Chid Benz wasanii wa Pwani ni majanga sana.
USSR
Watu waache kusaidia wagonjwa, walemavu nk wakaanze kusaidia wacheza kamariWakuu huyu dogo ndio alikuwa kinara wa Yamoto Band na kuushtua mji kwa ngoma baada ya ngoma kabla ya story za wambea wa mujini kusema kamali itammaliza maana anajua kuweka mzigo haswaa .
Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .
Kwa sasa hatoi ngoma amepotea kama upepo hawezi kudaidika arudi town tena na mangoma yake
Kwa kuwa mzee wetu Kikwete amesaidia wasanii hasa wa ukanda wa Pwani na pia yeye hupita humu JF tumuombe amsaidie hata sober house aende Kisha arejee asiwe kama kina Feruuzi, Twenty percent , Daz baba na Chid Benz wasanii wa Pwani ni majanga sana.
USSR
Kwa nini hajatoboa pamoja na kuimba kote kule?Wabongo kujifanya mnawajua watu ndani nje... Kijana wa watu yupo mjini bize na biashara zake nyie mpo bize kumjadiri uongo. Mnapenda kufuatilia maisha ya wanaume ndio maana tuna wapumulia
Si umpe tu kijana wa watu anakuota mwenzioo +++++[emoji28]Wee mbwehaa acha kunifatilia, mie sikutaki, khaaah kwani kukataliwa hujui? Nipotezeeeee mxxxieeeeeww
Kumbe jamaa anataka kuchezea topeWee mbwehaa acha kunifatilia, mie sikutaki, khaaah kwani kukataliwa hujui? Nipotezeeeee mxxxieeeeeww