Ombi: Mzee Kikwete msaidie Dogo Aslay arejee kwenye gemu

Ombi: Mzee Kikwete msaidie Dogo Aslay arejee kwenye gemu

Vita ya WCB ilimshinda vanessa dogo aslay ni mdogo sana kwenye vita hyo sasa hvi wanamtafuta marioo maana anawasumbua sana WCB hawataki kuona msanii anafanya vizuri nje ya lebel yao.
Vanessa hakuwahi shindana na WCB, tafadhari usitake kuleta uongo wako hapa, na hapo unataka kusema alikua anashindana na zuchu, yaan chawa mnalazimisha sana mambo lol.
 
Vita ya WCB ilimshinda Vanessa dogo Aslay ni mdogo sana kwenye vita hyo sasa hvi wanamtafuta Marioo maana anawasumbua sana WCB hawataki kuona msanii anafanya vizuri nje ya lebel yao.
20220624_004347.jpg
 
Wakuu huyu dogo ndio alikuwa kinara wa Yamoto Band na kuushtua mji kwa ngoma baada ya ngoma kabla ya story za wambea wa mujini kusema kamali itammaliza maana anajua kuweka mzigo haswaa .

Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .

Kwa sasa hatoi ngoma amepotea kama upepo hawezi kudaidika arudi town tena na mangoma yake

Kwa kuwa mzee wetu Kikwete amesaidia wasanii hasa wa ukanda wa Pwani na pia yeye hupita humu JF tumuombe amsaidie hata sober house aende Kisha arejee asiwe kama kina Feruuzi, Twenty percent , Daz baba na Chid Benz wasanii wa Pwani ni majanga sana.


USSR
Hela zake mwenyewe kalia starehe sisi tumsaidie nini,labda kumtunzia mzazi mwenzake
 
Dogo UPUMBAVU wake umemponza,
Aliondoka kwa mkubwa fella akisema anadhulumiwa.

Huyo uyo mkubwa fella anawamanage wasanii wakubwa ambao mpk Sasa wako peak Sana na hatujaskia malalamiko hayo
Mf: diamond,chege,f.a, a.y n.k
 
Wakuu huyu dogo ndio alikuwa kinara wa Yamoto Band na kuushtua mji kwa ngoma baada ya ngoma kabla ya story za wambea wa mujini kusema kamali itammaliza maana anajua kuweka mzigo haswaa .

Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .

Kwa sasa hatoi ngoma amepotea kama upepo hawezi kudaidika arudi town tena na mangoma yake

Kwa kuwa mzee wetu Kikwete amesaidia wasanii hasa wa ukanda wa Pwani na pia yeye hupita humu JF tumuombe amsaidie hata sober house aende Kisha arejee asiwe kama kina Feruuzi, Twenty percent , Daz baba na Chid Benz wasanii wa Pwani ni majanga sana.


USSR
Watu waache kusaidia wagonjwa, walemavu nk wakaanze kusaidia wacheza kamari
 
Wabongo kujifanya mnawajua watu ndani nje... Kijana wa watu yupo mjini bize na biashara zake nyie mpo bize kumjadiri uongo. Mnapenda kufuatilia maisha ya wanaume ndio maana tuna wapumulia
Kwa nini hajatoboa pamoja na kuimba kote kule?
 
Back
Top Bottom