Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kabisa yaani !Sio mwenzao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaani !Sio mwenzao
Alilipa bei gani ?Wakili wa media tu huyu ananunua umaarufu.
Nchi yetu ina wasomi wengi ila wasomi wanaotendea haki taaluma zao ni wachache sana.
Peter Kibatala ni mmoja wao
Hii nchi ni yetu sote kama asali kila mtu anataka kulamba.
Kuna viongozi lukuki sana wapo serikalini na walikuwa upinzani na majority wanafanya vizuri sana
Sifa ya kuwa Jaji ni kuwa na shaada ya sheria na experience ya miaka isiyopungua kumi
Peter Kibatala anazo sifa zote hizo.
Jaji Augustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu huku ana kadi ya CCM,punde tu baada ya kustaafu akagombea urais akiwa na kadi active kabisa.imelipiwa tangu 1977.
Tunahitaji mchango wa huyu msomi kulijenga Taifa letu katika kona nyingine akiwa kama Jaji.
Ni ombi tu,
Usiwe unalewa mpemaKibatala hajawahi kushinda kesi yoyote, kila mtu anayemtetea lazima akutwe na kesi ya kujibu
Ungewaambia mawakili wa serikali nao wafanye mbwembwe Kama unadhani Ni kazi rahisiIvi mnadhani zile mbwembwe za kuuliza maswali ya mtego na maswali ya kumchosha mpinzani kabla ya swali la msingi ndio mnaona ni kigezo cha kuteuliwa kuwa jaji!!.
Umetoa ushauri mzuri sana.Nchi yetu ina wasomi wengi ila wasomi wanaotendea haki taaluma zao ni wachache sana.
Peter Kibatala ni mmoja wao
Hii nchi ni yetu sote kama asali kila mtu anataka kulamba.
Kuna viongozi lukuki sana wapo serikalini na walikuwa upinzani na majority wanafanya vizuri sana
Sifa ya kuwa Jaji ni kuwa na shaada ya sheria na experience ya miaka isiyopungua kumi
Peter Kibatala anazo sifa zote hizo.
Jaji Augustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu huku ana kadi ya CCM,punde tu baada ya kustaafu akagombea urais akiwa na kadi active kabisa.imelipiwa tangu 1977.
Tunahitaji mchango wa huyu msomi kulijenga Taifa letu katika kona nyingine akiwa kama Jaji.
Ni ombi tu,
Daah ushampa na jina?Sawa balozi saimon siro tumekuelewa.
Dah sema maisha sio kabisa
Kutoka IGP mpaka balozi
Mtu gani mwenye akili asiyejua umahiri na kazi iliyotukuka ya Adv Peter Kibatala?Ungewaambia mawakili wa serikali nao wafanye mbwembwe Kama unadhani Ni kazi rahisi
🤣🤣🤣Ndugu yangu usomi na uadilifu havina maana ktk Teuzi chini ya serikali za ccm Bali kigezo kikubwa Ni mteuliwa awe chawa Pro.wa ccm....
Sahihi 100%Kibatala hataweza hiyo kazi ya ujaji maana hatakubaliana kuelekezwa na watawala namna ya kuendesha kesi. Watu wenye uoga wa maisha na kupenda maisha ya mserereko ndio rahisi kukubali hizo nafasi.
Akina Kidando wao wamekwama wapi kuununua umaarufu?Wakili wa media tu huyu ananunua umaarufu.
Au lile jina alilowabatiza wafrika Rais TrumpSiku mahakama zikiwa huru, ndio utajua uwezo wa kina Kibatala. Sio hizo mahakama za kuchukua maelekezo kwa viongozi. Ule upuuzi unaoendelea kwenye mahakama zetu, ndio hupelekea wazungu kutuita manyani.
Sio tu wenye wateja bali wanaojielewa na kujiaminiMawakili wenye wateja wengi wakubwa. Hawapendi kazi ya ujaji most likely akaikataa
Kuna tofauti kubwa kati ya elimu na umahiri yaani competence.Kuna sifa gani za ziada alizonazo hadi kuwapita mawakili wenzake na kuitwa "wakili msomi"?
Tunao mawakili wangapi wenye elimu na vigezo kama vyake?
Au kuitetea Chadema na Mbowe ndio stashahada ya ziada?