Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali sikivu ni ile inayosikiliza maombi ya wananchi wanyonge.Jamani huu uzi naonekana kama chizi ujue🤣🤣🤣
Hahahaaa unyonge Tz ni kisifa kikuuSerikali sikivu ni ile inayosikiliza maombi ya wananchi wanyonge.
Au nasema uongo ndugu zangu...
Umejibu kipumbavuMfano hauendani.
Nitolee upumbavu wako hapaUmejibu kipumbavu
Walionywa kuwa huu uwanja hauna tija, sasa angalia sidhani hata kama kuna abiria anayepanda bormabdier kwenda chato, no one is interested na chato imesahaulika mpaka tumekuja juionaSasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi, mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba Serikali ituruhusu kutumia uwanja wa ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo, inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.
View attachment 1798102
Hayati Magufuli enzi za uhai wake akiwa kwenye uwanja wa Ndege Chato
Kidumu CCM
#matege
Hata mkitaka kujamiiana usiku ni RUKSA.
Nasimama na wewe mtoa mada.
Huu ndio uzalendo wa kweli, kukausha mazao ni njia bora kabisa ya utunzaji mazao.
Hapa sio chato
Hivi wadau wa huko Chato ile VETA bado inaendea kujengwa?
Chato wanafata nini? Mwanza kuna uwanjaUwanja unatumika na ndege za ATCL zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi kushusha na kupakia abiria wanaotoka Dsm na wanaoelekea Dsm kupitia Mwanza
Tukiiangalia VETA ya Kigoma tutapata kujua ya Chato itakuwaje...
Ilikuwa iwe miongoni mwa VETA za mfano lakini lengo halijatimia hata sababu hazijulikani!!!Ya kigoma vp kwani mkuuu wangu
Kwani Delila,anasemaje kuhusu hili!?Lakini kuliko hifadhi ya Burigi-Chato ihamishie fisi na nyani pale, bora patumike kuanikia hayo mazao gredi wani.
Nikikumbuka jiwe alivyokuwa na ulinzi mkali najikuta naanza kuimba "uzio wa umeme mlinzi wa kimasai mbwa mkali tunguli na silaha za kisasa.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah ingekuwa kipindi like ungesakwa na lile Nissan jeupe usiku na mchana hadi upatikane wakupeleke Mikocheni ukaimbe nyimbo zote
Naona ataongea kwa vitendo. Hakuna kupeleka ndege Chato.Kwani Delila,anasemaje kuhusu hili!?