Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Bila hivyo huu uwanja utaharibika kwa nyasi ambazo zitafanya ufa
 
Hawa ngedere tuliwaambia Chato itakuwa Gbadolite kama kwa Mobutu wakabisha!!!! Mataga yana mavi kichwani hayakuelewa sasa hiyoooooo!!!
FB_IMG_1620754571157.jpg
View attachment 1799733
FB_IMG_1620754540296.jpg
FB_IMG_1620754550960.jpg
 
Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi, mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba Serikali ituruhusu kutumia uwanja wa ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo, inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.

View attachment 1798102
Hayati Magufuli enzi za uhai wake akiwa kwenye uwanja wa Ndege Chato​

Kidumu CCM
#matege
Walionywa kuwa huu uwanja hauna tija, sasa angalia sidhani hata kama kuna abiria anayepanda bormabdier kwenda chato, no one is interested na chato imesahaulika mpaka tumekuja juiona
 
Uwanja unatumika na ndege za ATCL zinatua kila Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi kushusha na kupakia abiria wanaotoka Dsm na wanaoelekea Dsm kupitia Mwanza
Chato wanafata nini? Mwanza kuna uwanja
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah ingekuwa kipindi like ungesakwa na lile Nissan jeupe usiku na mchana hadi upatikane wakupeleke Mikocheni ukaimbe nyimbo zote
Nikikumbuka jiwe alivyokuwa na ulinzi mkali najikuta naanza kuimba "uzio wa umeme mlinzi wa kimasai mbwa mkali tunguli na silaha za kisasa.....

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hata majengo mengi pale chato hayana kazi wagawiwe wananchi wafugie kuku na mbuzoli tu......

Nchi imepitia wkt mgumu sn kuwa na kiongozi dikteta, mbinafsi, mwizi, mkabila na asiye na utu hata kidogo
 
Back
Top Bottom