Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,678
- 971
Gwajima ndo tatizo akiwa Bungeni walimuomba amfufue huyu mpendwa wetu, yeye Gwajima pamoja na mbwembwe zake huko nyuma za kufufua wasio kufa , akiwa Bungeni kuhusu swala la kumfufua mpendwa wetu umeuchuna tu.𤣠acheni matusi basi! Mwendazake atafufuka mkiendelea kumnanga