Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

Hahaha mleta uzi umejibiwa huku

Ova

Screenshot_20210527-124315_YouTube.jpg
 
😅 😅😅😅😅😅😅😅 daah uzi kweli unaonyesha, JF ni great thinkers!

Everyday is Saturday................................😎
 
Kwa mtu ambaye kwake usafiri wa ndege siyo kipaumbele,amezoea kusafiri kwa roli la mizigo hata kama hana furushi ni wazi atakuja na hoja dhaifu kama hii ambayo imekaa kitaarab zaidi.
Uwanja wa Chato unatumika kila wiki na ndege za Air Tanzania. Uwanja huo umetoa njia mbadala ya kusafiri kwa haraka si kwa wakazi wa Geita tu au Chato, bali kwa watu wote wanaoishi mikoa ya Kigoma Kagera na hata nchi jirani.
Tarehe zilizotajwa kwenye kiambatanisho nilichoweka hapo chini ni ushuhuda wa jinsi uwanja huo kupitia ATCL ulivyoniwezesha kufanya mambo yangu kwa ufanisi mkubwa kitu ambacho hakikuwahi kuwa rahisi siku za nyuma.
Nimeshuhudia watu kutoka Chato wakisafirisha mizigo na mazao ya Ziwani kwenda Dar es salaam ndege ilijaa kuliko kawaida. Baada ya miaka miwili ijayo wengi wataelimika tu..... Tujipe muda.

IMG_20210526_141624_436.jpg
 
Yaani na
Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi, mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba Serikali ituruhusu kutumia uwanja wa ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo, inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.

View attachment 1798102
Hayati Magufuli enzi za uhai wake akiwa kwenye uwanja wa Ndege Chato​

Kidumu CCM
#matege
Yaan na ww unajiona umeandika Uzi.Lowasa alisema elimu!Elimu!!Yaani unapoandika uzi ,utafikiri Chato sio sehemu ya Tanzania. Yaan kujengwa uwanja hapo ilikosewa sana.Kumbe ww ni mjinga ambaye wajinga wote wanakanyanga wanaenda kwa wajinga wengine.
 
Ukiachana na hilo,naomba kujuzwa fursa za kiuchumi zilizoko hapo Chato.Hivi karibuni nitahamishiwa huko kikazi.

Huku niliko nilikuwa najishughulisha sana na kilimo cha karanga,mahindi na ufuta. Sasa huko Chato mmetaja panalimwa mahindi,mpunga na mihogo kwa wingi.Je,ni kata zipi zinafanya vyema kwenye kilimo cha mazao hayo? Na je,ardhi inaweza kuniruhusu kuendeleza kilimo cha karanga na ufuta huko?
Kikwete kiwanja alichopewa kajenga?
 
Hoja yako imekubaliwa, mnaweza kuanika mazao, kujifunza kuendeshea baiskeli, fanyeni hivyo haraka kabla hayajageuzwa kuwa makao makuu ya mijusi
 
Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi, mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba Serikali ituruhusu kutumia uwanja wa ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo, inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.

View attachment 1798102
Hayati Magufuli enzi za uhai wake akiwa kwenye uwanja wa Ndege Chato​

Kidumu CCM
#matege
Kwani baba yako hana sehemu ya kuanikia huo mpunga,acheni madharau siku hizi mnabweka hovyo
 
Back
Top Bottom