Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wazo lako ni zuri. Unaonaje ukaonyesha Mfano kwa kuanza wewe kuweka sura yako?Ombi langu kwenu.
Mnaonaje kama tukiamua kufahamiana kwa sura zetu?
Maana inawezekana tunaishi mtaa mmoja, tunasoma shule/chuo kimoja, tunapanda daladala moja, ni ndugu, ni marafiki na labda tupo ofisi moja
Nimekupenda mnoMimi navunja mwiko
Sio Kiranga uyo? [emoji12] [emoji1]Inawezekana kabisa.
Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.
Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.
Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.
Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
Jf noumerNimekupenda mno
Naona selfie zimeanza! Mambo ya insta na fbMimi navunja mwiko
Mimi navunja mwiko
wewe kweli beauty, hebu onesha na chura tuonee!Mimi navunja mwiko
Ntakutafuta tumefanana sanaMimi navunja mwiko