Ombi: Tutambuane kwa sura hapa MMU

Ombi: Tutambuane kwa sura hapa MMU

Inawezekana kabisa.

Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.

Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.

Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.

Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
Itakuwa le mutuz,ooooops!![emoji87] kumbe le mutuz unamjua tulibeba nae box wote atlanta georgia
 
Inawezekana kabisa.

Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.

Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.

Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.

Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
yeye alikuwa anatumia "KIFAA" chake...wewe ulikuwa unatumia "IPAD" yako,tumekuelewa mkuu!
 
ATTACH]
 

Attachments

  • 1469332376519.jpg
    1469332376519.jpg
    43.3 KB · Views: 8
Back
Top Bottom