Ombi: Tutambuane kwa sura hapa MMU

Ombi: Tutambuane kwa sura hapa MMU

Inawezekana kabisa.

Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.

Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.

Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.

Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
Alikuwa n nyani ngabu huyo bro
 
Mi kuna jamaa mmoja tulikua tumekaa class nikaona anapost kitu jf, nikakomaa mpk nikasoma ID yake kwa siri, namfaham mpaka leo
 
Kuna mmoja nimemfuma jana tena mdada mzurii flani hivi machachari sana humu jf, alikua kwa shop kwangu kkoo kununua vitu, nkampiga chabo kiaina, kuna kitu alipost akiwa pale.
 
1470024680867.jpg

Yangu hiyo
 
Inawezekana kabisa.

Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.

Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.

Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.

Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
Alikukwa Mussolin
 
Ombi langu kwenu.

Mnaonaje kama tukiamua kufahamiana kwa sura zetu?

Maana inawezekana tunaishi mtaa mmoja, tunasoma shule/chuo kimoja, tunapanda daladala moja, ni ndugu, ni marafiki na labda tupo ofisi moja

Kwenye virtual world hakuna daladala wala kuishi mtaa mmoja, kuishi nchi moja hivyo unachopendekeza kiko kwenye physical world hivyo hakiwezekani. Baadae utataka kujua na personal matters za watu. Kwa kifupi virtual world inadumisha privacy.
 
Kuna mmoja nimemfuma jana tena mdada mzurii flani hivi machachari sana humu jf, alikua kwa shop kwangu kkoo kununua vitu, nkampiga chabo kiaina, kuna kitu alipost akiwa pale.
haaa wewe
 
Inawezekana kabisa.

Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.

Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.

Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.

Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
Yaani member wa jf wanavyoficha hizo ID wanazotumia... Ngumu kujua.
 
Dah....labda tuweke picha za pap...au dush, maana ndiyo vya muhimu [emoji41]
 
Inawezekana kabisa.

Kuna siku nilikuwa Boogie Woogie nimekaa kwa nje halafu kwa ndani alikuwa kakaa mdingi mmoja hivi. na tablet yake.

Mimi nilikuwa nipo nasoma JF kwenye iPad yangu naye alikuwa anasoma JF kwenye kifaa chake.

Nikajaribu kula chabo kuona ni nani lakini sikufanikiwa. Alikuwa mjanja kweli.

Nikabaki na maswali tu sijui atakuwa nani huyo!
Alikuwa ; watu8
 
Back
Top Bottom