Ombi: Tutambuane kwa sura hapa MMU

Alikuwa n nyani ngabu huyo bro
 
Mi kuna jamaa mmoja tulikua tumekaa class nikaona anapost kitu jf, nikakomaa mpk nikasoma ID yake kwa siri, namfaham mpaka leo
 
Kuna mmoja nimemfuma jana tena mdada mzurii flani hivi machachari sana humu jf, alikua kwa shop kwangu kkoo kununua vitu, nkampiga chabo kiaina, kuna kitu alipost akiwa pale.
 
Alikukwa Mussolin
 
Ombi langu kwenu.

Mnaonaje kama tukiamua kufahamiana kwa sura zetu?

Maana inawezekana tunaishi mtaa mmoja, tunasoma shule/chuo kimoja, tunapanda daladala moja, ni ndugu, ni marafiki na labda tupo ofisi moja

Kwenye virtual world hakuna daladala wala kuishi mtaa mmoja, kuishi nchi moja hivyo unachopendekeza kiko kwenye physical world hivyo hakiwezekani. Baadae utataka kujua na personal matters za watu. Kwa kifupi virtual world inadumisha privacy.
 
Kuna mmoja nimemfuma jana tena mdada mzurii flani hivi machachari sana humu jf, alikua kwa shop kwangu kkoo kununua vitu, nkampiga chabo kiaina, kuna kitu alipost akiwa pale.
haaa wewe
 
Yaani member wa jf wanavyoficha hizo ID wanazotumia... Ngumu kujua.
 
Dah....labda tuweke picha za pap...au dush, maana ndiyo vya muhimu [emoji41]
 
Alikuwa ; watu8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…