Ommy Dimpoz: Dhambi zote za Rais Samia apewe Tundu Lissu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu,

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz, amezua utani wa aina yake leo Januari 7, 2025, wakati wa ufunguzi wa hoteli mpya katika Kisiwa cha Bawe, Zanzibar.

Dimpoz, amesema itapendeza sana kama "dhambi zote za Rais Samia akipewa Tundu Lissu"

Your browser is not able to display this video.
 
Na za huyo Ommy Dimpoz zake tunampa nani? Anagawa dhambi utafikili kinyama ugomvi- maajabu ya Musa haya. Tunasoma toka kwa Kabendela kwamba mama alitokewa kwa pajama na mwendazake, sasa hizo zambi za kukaa kimya za mama nazo anamugawia Lissu au?
 
Uchawa tu, afu ata mas
uchawa tu afu madhabiki zako tutakurushia mawe siku ukipanda jukwaani usije ukauliza sababu....
 
Hii nchi naona waropokaji wanazidi kuongezeka
 
Omary kalipwa kwa kuimba hivyo au !?
Ila Samia na Lissu nadhani ni marafiki sana nakumbuka alivyoenda kumjulia hali pale Nairobi Ile ilijenga bond kubwa sana kwao nimalizie kwa kusema
Samia Oye! Oyeeeeeee!!!
 
Na za huyo Ommy Dimpoz zake tunampa nani? Anagawa dhambi utafikili kinyama ugomvi- maajabu ya Musa haya. Tunasoma toka kwa Kabendela kwamba mama alitokewa kwa pajama na mwendazake, sasa hizo zambi za kukaa kimya za mama nazo anamugawia Lissu au?
Inaelekea utiaji wa saidi ya kifo cha Hitler hata yule Aliyemrithi alikua anajua .
Litakua kilipangwa kwa ustadi mkubwa sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mungu akijalia Lisu akaingia madarakani kwenye ikulu ya Chamwino basi scortland yard itabidi waende kuchunguza baadhi ya matukio ya mauaji na utekaji kule Bangladeshi .
Kuna mambo mengi yamejificha nyuma ya pazia .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…