Ommy Dimpoz kabla hajatoka

Watu tunatoka mbali lakini ndio hivyo tunakuwa wepesi kusahau kumshukuru Mungu kwa yale aliyotutendea.


Kama yule chokoraa Wa Tandale anaedai Mbeya hakuna hotel ya hadhi yake....

Hao hawana tofauti na kima.
 
Jamaa nasikia alikua ni mfanyabiashara mzuri sana wa Dagaa wa Kigoma kwenye train sijui alikwenda kwenye mziki kufanya nini!
 
Hongera Ommy Dimpoz kwa kufika hapo ulipo,kuwa mnyenyekevu kwa Mungu na mpaka binadamu wenzio na usipende skendo kama.......
 
Hahahahaaaa,uwií mbavu zangu nimechekajeeee?duu kwel kila kitu na mda wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…