Ommy Dimpoz naunga mkono msimamo wako, ila tupo wazazi tunaohukumiwa tofauti na makosa yetu

umemaliza,case closed!
 
Itungwe sheria kama Ulaya ukimpa mwanamke mimba ni lzm uwajibike juu ya matunzo ya mimba hio na mtoto atakaezaliwa hadi atakapojitegemea. Hii itaepusha wahuni kutunga hovyo mimba na kutelekeza watoto waishie kupata tabu duniani.
Tatizo kwa hapa bongo wadada wengi wanaamua kushika mimba kwa makusudi, ili kupata support tu, lakini mwanamke akiamua kutozaa na wewe hata ufanye nini hakuzalii mtoto kamwe!

Ukiona ameshika mimba na kuzaa basi jua kwa mwanamke ni plan kabisaaa!
 
Yupo jamaa yangu mmoja yeye mpaka sasa hivi yupo njia panda kuhusu mtoto jamaa anasema alkutana na ex wake mwezi wa 12 mwaka jana kimasihara tu jamaa akamchapa kamoja ka ukumbusho lkn baada ya wik2 demu anampgia kumwambia jamaa ana mimba yake kitu kilichompa mashaka basi jamaa pamoja na mashaka akasubiri muda uongee. Make hakukataa moja kwa moja cha ajabu binti kajifngua mwez wa 8 tarehe za katikati hivyo jamaa kila akipiga hesabu ya miezi 9 ili kuzaliwa mtoto hesabu inamgomea mpaka muda huu kashindwa asimame wapi ahudumie mtoto au apige pasi ndefu sasa kama huyu huko mbeleni sijui ataonekanaje kama kweli ni wake
 
Umeongea point.
 
Furushi tu kama mafurushi mengine.
 
Dah!...poleni Sana..
 
Afanye DNA mapema. Awe na uhakika ikiwa mtoto si wake basi ajue hilo na ikiwa anaamua kumlea basi awe na uhakika kuwa analea mtoto ambaye si wake.
 
Nishawahi kusikia mwanamke kujifungua sio lazima itimie miezi 9 kamili inaweza kuwahi kidogo au kuchelewa kidogo ila inakua around miezi 9 ndo maana imezoeleka tu kusema miezi 9 sina uhakika lakini mimi sio specilaist wa mambo ya afya
 
Masuala kama haya mara nyingi kunakuaga na background ambayo watu wa nje hatuijui, yaani mtu aiache tu damu yake for no reason, it makes no sense
 
Inaelekea kama huyo uliyezaa naye ndio analazimisha uhusiano wako na mtoto. Mtoto hakuhitaji, na wewe pia humuhitaji.
 
Hajaonana na mtoto na mtoto hana mpango naye. Inaelekea hiyo mwanamke ndio alijaribu kuweka mawasiliano baina ya Baba na mtoto, Ila sio mtoto.
 
Fanya wajibika kwa kumtafuta huyo mtoto n uongee nae kuwa hukutambua uwepo wake,,,,,kupuuza kiss huitaji msaada wake n upumbavu ambao baba hatakiwi kuwa nao
 
Kiuhalisia umri wa kumuonuesha mtoto upendo ni kipindi anapokuwa mdogo, kama hukupata nafasi hiyo wala usihangaike naye maana hamtakuwa na connection yoyoye.
 
Afanye DNA mapema. Awe na uhakika ikiwa mtoto si wake basi ajue hilo na ikiwa anaamua kumlea basi awe na uhakika kuwa analea mtoto ambaye si wake.
DNA za hapa kwetu inaegemea kwa "maslahi ya mtoto" hivyo kupewa majibu positive hata kama ni negative ni kitu cha kawaida sana!

Ilifanyika marekebisho ya kanuni za vinasaba ili kupunguza wimbi la watoto kukosa baba, baada ya asilimia kubwa ya waliokwenda kupima vinasaba na kubainika kuwa si baba halali wa watoto!

Ukitaka kujua uhalali, basi chukua jamaa mwenye uwezo mzuri kuliko wewe, nenda pale kwa kujifanya mnagombea mtoto, kama mtoto sio wako na sio wa jamaa basi atapewa jamaa mwenye uwezo "kwa maslahi ya mtoto"

Mkienda wawili na bado ukapewa wewe, basi jua huyo ni mtoto wako!
 

Acha kujijaza ujinga

Watoto hawalishwi sumu huwa wanaanzia kulingana na mazingira wanayoyaona

Usitegemee mtoto ambaye hakufahamu hata robo akakupenda kirahisi

Hata kama haukai na mwanao Jitahidi walau umsalimie, umpelekee zawadi akikua automatic atakumbuka na ataamua mwenyewe regardless ameambiwa nini

Sasa mtoto hajawahi hata kuiona sura yako unategemea akupende[emoji706]
 

Anahesabu miezi 9 au wiki 36?

Mambo mengine ulizieni clinic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…