Ommy dimpoz punguza starehe, unaboa...

Atakuwa ameendea kulia shisha ughaibuni si unaona jamaa jirani yake pale analipuliza shisha kwa kwenda mbele.
Kwenu si mmekataza shisha,anakunywa gahawa chungu anasuzia na shisha....
 
Jina lako haliendani na comment yako... I heart you bro... Safi... Leo anakula bata haituhusu, siku akipata matatizo yatatuhusu, time will tell
 
Alkila bata hazituhusu ila akipata matatizo yananituhusu
 
Kwani aliomba pesa kwako?
je wewe ni manager wake?
unadhani hizo pesa kakopa na anatakiwa arejeshe?
kama mtu ana nyumba gari na biashara inayomuinguzia kipato hizo pesa azifanyie nini? acha ujinga huwezi mpangia mtu kutumia pesa sake afu naona unasema kua kina Mondi na Kiba hawatoki toki nje kama yeye sasa unataka aje kwenu? au umetumwa!
 
Pesa ni zake na kazitafuta kwa nguvu zake mwenyewe halafu unataka kumpangia azitumieje. Acha ale bata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…