Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Huyu jamaa anapesa tu labda kadandia chain fulani, Upinde wapo wengi mbona hizo pesa hawana labda kama anauza na sembe
 
Kw
Kwani ubwabwa unalipa sana hadi upate pesa za kuchezea?
Mbona akina delicious wamejaa hapo mjini na pwani yote na hawana kitu?
Acheni utoto.
Hao kina delicious wana date na kina nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
kamuulize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.

Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.

Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.

View attachment 2909009



TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
Iga ufe .... Mwenzako anatumia "tunu" kama upo tayari kutumia "tunu" kufanikiwa hongera.
 
Back
Top Bottom