Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Haya tunawaachia wenyewe mnajuana. Sisi wanaume tunatafuta tu pesa hayo mambo yenu hatuwezi ingilia. Muwe mnaulizana wenyewe huko huko. Lakini pia nyie huwa hampendani kabisa.
 
Kakanyagwe wewe sasa maana una wivu kibao.
Peleka kisoda hicho naww upate dolali
Umeona eeeeh.... Wanaoneana wivu sana hawa viumbe. Sijui kwa nini. Nimeshangaa jamaa ukiangalia jina unaweza sema ni mwanaume ukija soma ndo unagundua.... Daaah Ndo basi tena. Mwanaume hawezi uliza ili swali labda awe naye anataka kuolewa. Mi nawachukia sana hawa matope tope. Ni useless kabisa kwenye jamii.
 
Ni motivational speaker alialikwa kwenye mahafali ya chuo kimoja akawa anawashauri watu wasikate tamaa wajitume ila ye hakusema anafanya kazi gani
 
Kila mara huja mada za kumuongelea Ommy na bata zake, mnaidhalilisha hii forum na wakurugenzi wake, inaonesha vijana wa JF ni mafukara kiasi cha kuchukizwa na kuumizwa na maisha ya kijana mwenzao anayepambana,

Shame!
 
Huyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani[emoji23][emoji23][emoji23].
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
Upunda hauwezi sio kazi za wanaume sample hiyo...nenda kisutu kwenye kesi zao uone ni watu wa type gani ndio punda...
 
Haya tunawaachia wenyewe mnajuana. Sisi wanaume tunatafuta tu pesa hayo mambo yenu hatuwezi ingilia. Muwe mnaulizana wenyewe huko huko. Lakini pia nyie huwa hampendani kabisa.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji2380] shoga wa jf kaibuka ulikuwa wapi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kila mara huja mada za kumuongelea Ommy na bata zake, mnaidhalilisha hii forum na wakurugenzi wake, inaonesha vijana wa JF ni mafukara kiasi cha kuchukizwa na kuumizwa na maisha ya kijana mwenzao anayepambana,

Shame!
Anapambn na nin embu Seema

[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Huna akli

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kila mara huja mada za kumuongelea Ommy na bata zake, mnaidhalilisha hii forum na wakurugenzi wake, inaonesha vijana wa JF ni mafukara kiasi cha kuchukizwa na kuumizwa na maisha ya kijana mwenzao anayepambana,

Shame!
Huyu nilidhani ni mwanaume niliposoma hii nikajua ndo wale wale. Ana wivu nimeshangaa wewe mwanamke umeonesha ukomavu mkubwa bila wivu but jamaa huyu topetope anaona wivu mwanaume kuwa na maisha mazuri. Inashangaza sana. Mumwite mkae naye chini mmwambie kama vipi akaolewe na mtu mwenye pesa. Sisi wanaume hatuwezi pata muda wa kujadili watu hivi. Mumseme mwenzenu aache kujadili maisha ya watu na kuwaonea wivu.
 
Mmmh watanzania kwa kufuatilia maisha ya watu hatujambo.
Na hii sifa huwa ni ya wanawake sana. Sisi wanaume hatuwezi pata muda huu. Mkae na huyu mwenzenu mwambieni aache tabia hizi ataolewa kimasikhara.
 
Hu
Ndio watanzania mlivyo wengi, mmejawa na wivu, vijiba vya roho na ushirikina na KUCHAFUANA HASA MNAPOONA MTU KAFANIKIWA. Yaani mbongo hata ndani ya ukoo wake akiona kuna ndugu kafanikiwa kielimu au kimaisha atachukia tu na kutengeneza maneno ya kumchafua.

Mnaonaje na nyie mkipambana mfanikiwe kuliko kumchafua mtu ambapo hampati faida yoyote ile.

Na huwa ninapokutana na tabia hizi za hovyo ndipo ninapoamini kuwa muingiliano wa makabila una faida na hasara zake, na hasara mojawapo ni kukutana na makabila yenye wivu wa kichawi badala ya wivu wa maendeleo.
Unakutana na kabila kazi kuchafua watu na kuchukia mwenzako akifanikiwa, kabila lenye tabia za FITINA tu. NA HATA KATIKA SIASA ZETU HILI LIPO AMBAPO KUNA MAKABILA KAZI NI FITINA, CHUKI NA ROHO MBAYA
Huyu mleta mada ni jinsia gani? Naona ana wivu sana kwa wenzie.
 
Umeona eeeeh.... Wanaoneana wivu sana hawa viumbe. Sijui kwa nini. Nimeshangaa jamaa ukiangalia jina unaweza sema ni mwanaume ukija soma ndo unagundua.... Daaah Ndo basi tena. Mwanaume hawezi uliza ili swali labda awe naye anataka kuolewa. Mi nawachukia sana hawa matope tope. Ni useless kabisa kwenye jamii.
Shoga anafanya nn kwenye Uzi wangu

Hawa watu mikosi kwenye.jamii

Moderator njoon muondoeni huyu shoga wa kimara suka

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom