Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Tuna safari ndefu bossHahahahahaha hawa humu wanaotoq maoni ndio ma Great Thinkers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna safari ndefu bossHahahahahaha hawa humu wanaotoq maoni ndio ma Great Thinkers
Hahahahahaha..Kazi kweli kweliTuna safari ndefu boss
Ndio watanzania mlivyo wengi, mmejawa na wivu, vijiba vya roho na ushirikina na KUCHAFUANA HASA MNAPOONA MTU KAFANIKIWA. Yaani mbongo hata ndani ya ukoo wake akiona kuna ndugu kafanikiwa kielimu au kimaisha atachukia tu na kutengeneza maneno ya kumchafua.Nasikia anaikalia
Umeandika kwa kirefu kweli.Haya Sawa nimekuelewa mkuu☺️Ndio watanzania mlivyo wengi, mmejawa na wivu, vijiba vya roho na ushirikina na KUCHAFUANA HASA MNAPOONA MTU KAFANIKIWA. Yaani mbongo hata ndani ya ukoo wake akiona kuna ndugu kafanikiwa kielimu au kimaisha atachukia tu na kutengeneza maneno ya kumchafua.
Mnaonaje na nyie mkipambana mfanikiwe kuliko kumchafua mtu ambapo hampati faida yoyote ile.
Na huwa ninapokutana na tabia hizi za hovyo ndipo ninapoamini kuwa muingiliano wa makabila una faida na hasara zake, na hasara mojawapo ni kukutana na makabila yenye wivu wa kichawi badala ya wivu wa maendeleo.
Unakutana na kabila kazi kuchafua watu na kuchukia mwenzako akifanikiwa, kabila lenye tabia za FITINA tu. NA HATA KATIKA SIASA ZETU HILI LIPO AMBAPO KUNA MAKABILA KAZI NI FITINA, CHUKI NA ROHO MBAYA
Nimekusifia ile comment yakoUmeandika kwa kirefu kweli.Haya Sawa nimekuelewa mkuu☺️
Amiin 🤓Nimekusifia ile comment yako
TRA washughulike na maskini Ommy badala ya mapapa wanaotafuna kodi zetu?Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing manager content.
Kuna jamaa jamaa alisema Kuna kitu amekiweka rehani kwa Siri kubwa.
View attachment 2909009
TRA hawafanyi Kaz zao ipazwavyo na kwa nchi hi ukiwa muhujumu uchumi unapendwa na watakuja watu watanimbia nikatafute pesa niache wivu na kisonona
[emoji23][emoji23]We mbona unazikalia ila unaishia Uyole ukienda mbali Kiwira au Mwanjelwa?
[emoji706][emoji706]Hayo ni Maisha yake kaamua,
Sidhani km kuna haja kuongea maisha ya mtu ambaye ni mzima na maamuzi yake.
Muacheni
[emoji706][emoji706]Mkuu naona huu umbea umevuka mipaka. Mtu anawezaje kuanzisha uzi wa kumsengenya mtu na ukapata sapoti kubwa kutoka kwa wanaJF?
[emoji706]Njoo hapa salamander Mkuu, Omary karudi Toka juzi atakujibu maswali yako yote!!
[emoji706]Mbona nyie hatusemi mnavokula bata? .
Mnataka wote tuishi maisha ya hovyo.
Good very goodNdio faida YA kuwa maarufu..Na si anapenda showoff..watu wanafuatilia maisha yake .Ila hawaoni cha shoo yake wale nyimbo mpya au kuwa Na demu
Japo wengi wanasema anafanya kazi GSM...sijui kasomea nini??
Ila habari upande wake hazimsemi vizuri
X[emoji706][emoji706]chembe chembe za wivu ulizonazo ni sawa sawa na chembe chembe za mavi ninazoziona nikizagamua demu dogi staili....
utakufa vibaya ww
[emoji706][emoji706][emoji706]ukiona mtu anataka kujua chanzo cha kipato cha mwanaume basi mchunguze vizuri anakua ashapoteza reeeendeeeerrr zote hana tofauti na pipa