Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Iko hivi leo ngoja niwagusie kidgo kuhusu huyu jamaa, kifupi Ommy anatumika km wakala wa mason kwa hapa bongo hizi ni mbinu za kumuweka karibu na raisi wa wasafi ili ukifika wakati wa majamaa kufanya yao kw raisi inakuwa rahisi(si umeona hapa neno raisi na rahisi yanavyoendana) so Ommy kuwa kwenye hzo level ni kawaida kaeni mkao wa kula nakuketeeni makala kamili kuhusu huyu jamaa na hawa mason kuhusu huu mpango wao achaneni na mambo ya ubwabwa sijui kampuni ya mabango. Fiksi
🚮
 
Kula bata na kupiga picha maeneo flani ni vitu viwili tofauti. Kuna mwanangu mmoja, sometimes anazumba sana na Omary Nyembo. Yeye ana uraia wa EU lakini saa zote yuko Bongo. Ukiwa na passport ya UE unaweza kwenda popote Duniani bila shida. Jamaa ni mtu wa kulipuka pamba sana na ana swagga za kuua, halafu ni photogenic kwelikweli. Mchizi sio ana mkwanja sema huko Dunia ya Instagram na Tiktok wabongo wanamkoma. Yaani yale mapicha kama ya kwenye magazines, New York, Sydney sijui miji makubwa yote Europe. Sasa kuna watu wanafikiria jamaa ni boss kumbe ni style tu ya maisha.
 
Uzi wa kumsengenya mtu huu. Inawezekana kweli sio riziki lakini hatuoni hata sisi tumechagua tu dhambi ya usengenyaji? Tuache kuufurahia umaskini na kuwachukia waliofanikiwa kwasababu mwisho wake ni upuuzi mtupu. Mleta uzi na wote wanaokusapoti ni ujinga mnafanya.
 
Uzi wa kumsengenya mtu huu. Inawezekana kweli sio riziki lakini hatuoni hata sisi tumechagua tu dhambi ya usengenyaji? Tuache kuufurahia umaskini na kuwachukia waliofanikiwa kwasababu mwisho wake ni upuuzi mtupu. Mleta uzi na wote wanaokusapoti ni ujinga mnafanya.
Watanzania ni wambea wambea by nature mkuu!
 
Kula bata na kupiga picha maeneo flani ni vitu viwili tofauti. Kuna mwanangu mmoja, sometimes anazumba sana na Omary Nyembo. Yeye ana uraia wa EU lakini saa zote yuko Bongo. Ukiwa na passport ya UE unaweza kwenda popote Duniani bila shida. Jamaa ni mtu wa kulipuka pamba sana na ana swagga za kuua, halafu ni photogenic kwelikweli. Mchizi sio ana mkwanja sema huko Dunia ya Instagram na Tiktok wabongo wanamkoma. Yaani yale mapicha kama ya kwenye magazines, New York, Sydney sijui miji makubwa yote Europe. Sasa kuna watu wanafikiria jamaa ni boss kumbe ni style tu ya maisha.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Uzi wa kumsengenya mtu huu. Inawezekana kweli sio riziki lakini hatuoni hata sisi tumechagua tu dhambi ya usengenyaji? Tuache kuufurahia umaskini na kuwachukia waliofanikiwa kwasababu mwisho wake ni upuuzi mtupu. Mleta uzi na wote wanaokusapoti ni ujinga mnafanya.
[emoji706][emoji706]
 
Nasikia anaikalia
Unasikilizia wapi?

Sio kila utakalo lisikia hua ni la kweli,
Watu wengi wanaenda na beats tu,zamani ilikua kila aliyefanikiwa anaitwa Freemason,au ataambiwa anatumia uchawi,ila toka imekuja hiyo issue sijui kuikalia, ndio maana unaona siku hizi kila aliyefanikiwa anapewa hizo tuhuma!
 
Back
Top Bottom