Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Huyu jamaa anapesa tu labda kadandia chain fulani, Upinde wapo wengi mbona hizo pesa hawana labda kama anauza na sembe
 
Maisha ni km vodole vyote viko kwa kiganja kimoja ila kaz utofaukiana

Huwez mjua mtu kisa unajua kaz yake.
 
Mbona kina delicious hawali bata kma yy? Huyu kijana ana kazi zake..mtakuja kusutwa...
 
Kw
Kwani ubwabwa unalipa sana hadi upate pesa za kuchezea?
Mbona akina delicious wamejaa hapo mjini na pwani yote na hawana kitu?
Acheni utoto.
Hao kina delicious wana date na kina nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kamuulize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iga ufe .... Mwenzako anatumia "tunu" kama upo tayari kutumia "tunu" kufanikiwa hongera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…