Ommy Dimpozi anatoa wapi pesa za kula Bata Ulaya na Marekani

Kumbuka biashara ya madawa ya kulevya na dhahabu haramu zinabebeshwa ama wasanii ama wanasiasa maarufu wanaopita V.I.P.

changanya za kwako!
 
Kuna kipindi dudu baya alitajaga list ya watu wanaohusika na ushoga,ila hakumtaja huyu jamaa,sjui kwanini??pengine kweli sio shoga au pengine aliogopa kumtaja kwa kuwa anajua watu walio nyuma yake ni watu wakubwa sana kwenye hii nchi(muuza usingizi)??

Inawezekana bwana pozi kwa pozi sio gay ni rijali tu ila ana michongo na koneksheni town.
 
Huyu kama maisha anayaishi eti. Kama ni chakula ya wakubwa inamaana amewazidi hadi dada zake jamani[emoji23][emoji23][emoji23].
Hapa pa kuwa punda naweza nikaamini ila ubwabwa tu?? Hapana
Sure,nadhani huyu bwana ni mzamiru yassin
 
We jamaa mbeya sana wewe hahahahahahahah dah
 
Heri msemaji mfungwa yeye alijaribu kidogo, moto ulivyokuwa mkubwa akaacha, ila walau ana mtaji
Dah we mzee wewe,nani aanze kushika tako la albinus,yule chawa tu hana upuuzi huo yule
 
Waafrikaaa
 
Very positive comment wabongo wana negativity nyingi na wivu ooh mara anaikalia ooh mara punda kumbe wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…