Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Namshangaa sana huyu dogo kwa jeuri zake nyimbo zake TATU alizotoa imekuwa jeuri,majivuno na kiburi kwa wasanii wenzake,hali yakuwa nyimbo zenyewe kasaidiwa,ommy anasema yeye hawezi kufa maskini km NGWEA,Ommy alimponda sana mangwea kwa kusema hata msiba wake mambo mengi yalikuwa yanaendeshwa kwa michango ya kuunga unga tu,amesema yy hawezi kufa maskini.
Cha kujiuliza kwa huyu Ommy ambae ni msanii chipukizi sana,umejiamini nini kwa kauli za kumkashif marehemu km hvyo?walikuwepo wasanii wangapi waliovuma na sasa hawajulikani ht walipo??wangapi wamefilisika??
Namshangaa sana huyu dogo kwa jeuri zake nyimbo zake TATU alizotoa imekuwa jeuri,majivuno na kiburi kwa wasanii wenzake,hali yakuwa nyimbo zenyewe kasaidiwa,ommy anasema yeye hawezi kufa maskini km NGWEA,Ommy alimponda sana mangwea kwa kusema hata msiba wake mambo mengi yalikuwa yanaendeshwa kwa michango ya kuunga unga tu,amesema yy hawezi kufa maskini.
Cha kujiuliza kwa huyu Ommy ambae ni msanii chipukizi sana,umejiamini nini kwa kauli za kumkashif marehemu km hvyo?walikuwepo wasanii wangapi waliovuma na sasa hawajulikani ht walipo??wangapi wamefilisika??
hata mangwea hakuupenda umasikini wala hakupenda kufa
na hiyo yote alikuwa anafaiti ili aweze kutoka,
naye aangalie asikufuru waliotangulia kwani siku watakutana uso kwa uso.
amna omy alkemea wanaonyonya wasanii kama ruge na wewe ni mfuasi wa mnyonyaji ruge clouds wamemtumia sana ngwea kwa zaidi ya 6years ila hakuna ngwea alichovuna...omy dmpoz kaongea ukweli ni wasanii wachache wachanga na wazur kama omy dmpoz wenye uwezo wa kuwakemea wanyonyaji kama kna kusaga na ruge na sasa wanyon yaji wanaona wasanii wameamka kama nigeria,ghana,kenya na uganda mwsho wenu umekarbia nyie panya na redio zenu za wafu
Namshangaa sana huyu dogo kwa jeuri zake nyimbo zake TATU alizotoa imekuwa jeuri,majivuno na kiburi kwa wasanii wenzake,hali yakuwa nyimbo zenyewe kasaidiwa,ommy anasema yeye hawezi kufa maskini km NGWEA,Ommy alimponda sana mangwea kwa kusema hata msiba wake mambo mengi yalikuwa yanaendeshwa kwa michango ya kuunga unga tu,amesema yy hawezi kufa maskini.
Cha kujiuliza kwa huyu Ommy ambae ni msanii chipukizi sana,umejiamini nini kwa kauli za kumkashif marehemu km hvyo?walikuwepo wasanii wangapi waliovuma na sasa hawajulikani ht walipo??wangapi wamefilisika??
Namshangaa sana huyu dogo kwa jeuri zake nyimbo zake TATU alizotoa imekuwa jeuri,majivuno na kiburi kwa wasanii wenzake,hali yakuwa nyimbo zenyewe kasaidiwa,ommy anasema yeye hawezi kufa maskini km NGWEA,Ommy alimponda sana mangwea kwa kusema hata msiba wake mambo mengi yalikuwa yanaendeshwa kwa michango ya kuunga unga tu,amesema yy hawezi kufa maskini.
Cha kujiuliza kwa huyu Ommy ambae ni msanii chipukizi sana,umejiamini nini kwa kauli za kumkashif marehemu km hvyo?walikuwepo wasanii wangapi waliovuma na sasa hawajulikani ht walipo??wangapi wamefilisika??
Namshangaa sana huyu dogo kwa jeuri zake nyimbo zake TATU alizotoa imekuwa jeuri,majivuno na kiburi kwa wasanii wenzake,hali yakuwa nyimbo zenyewe kasaidiwa,ommy anasema yeye hawezi kufa maskini km NGWEA,Ommy alimponda sana mangwea kwa kusema hata msiba wake mambo mengi yalikuwa yanaendeshwa kwa michango ya kuunga unga tu,amesema yy hawezi kufa maskini.
Cha kujiuliza kwa huyu Ommy ambae ni msanii chipukizi sana,umejiamini nini kwa kauli za kumkashif marehemu km hvyo?walikuwepo wasanii wangapi waliovuma na sasa hawajulikani ht walipo??wangapi wamefilisika??
Kwani kamshutumu Ngwair kufa masikini?
Ommy mbona kaongea kiswahili rahisu na huo ndio ukweli.
Wasanii wengi wa Tanzania wana majina makubwa lakini ni maskini tofauti na majina yao.
Ommy hilo linamkera na kalisema wazi sasa tatizo liko wapi?
Mr Nice alikua maarufu lakini hakua na kitu,labda sahivi kajifunza anafanya kazi kwa malengo,
marehemu mzee Kipara hali kadhalika.
Ray C alikua anapata show nyingi leo ana nini?
Sasa Ommy akionesha kukerwa na hili tunachukia,kwanini?
Au kwa vile aliesema ni msanii?
Wakati Sajuki anaumwa wasanii si walikiri wenyewe kua wana majina makubwa kuliko kipato.
Bora Ommy umeliona hilo
Huyu mtoto anajisikia mnooo...yani majivuno tu amejaaliwa...n wat if angekuwa na deal km Diamond..show kila kukicha...contract na makampuni...si tungetukanwa kabisa.??? Lets say akifa leo..huo utajiri anao..au ana ahadi na Mungu kuwa atakufa akishamiliki gorofa kadhaa posta na kkoo...shule hamna ni ulimbukeni...maskini akipata m...ta...ko hulia mbwata...
Mwanamuzik chipukizi Ommy Dimpozi,ameonyesha kuwa na kiwango cha juu sana cha dharau kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele ya haki."SITAKI NIKIFA YATOKEE KAMA YA NGWAIR,AMEKUFA AFRIKA KUSINI,HATA KUUSAFIRISHA MWILI KUULETA TANZANIA IMEBIDI MPAKA WATU WACHANGIE,ILE NI AIBU SANA",alisema Ommy kwa dharau.
Vile vile Ommy baada ya kushinda tuzo ya video bora ya mwaka Ommy alibwabwaja:"jamani tumechoka kuzika wasanii maskini wenye majina makubwa",kama vile haitoshi Ommy alizidi kusisitiza kuwa HATAKI KUFA MASKINI KAMA NGWAIR,je hii kauli ni nzuri kwa mtu aliyetangulia mbele ya haki???,
Wanajitoa ufahamu tu kwa chuki zao binafsiMsimpake Ommy Dimpoz ubaya, mnavyomchukulia sivyo alivyo. Huyu kaka ni mpole mstaarabu na hana shida na mtu. Alisema maneno hayo kwa nia njema tu ila mnayabadilisha ili kuweka maana mbaya.
Kwani kamshutumu Ngwair kufa masikini?
Ommy mbona kaongea kiswahili rahisu na huo ndio ukweli.
Wasanii wengi wa Tanzania wana majina makubwa lakini ni maskini tofauti na majina yao.
Ommy hilo linamkera na kalisema wazi sasa tatizo liko wapi?
Mr Nice alikua maarufu lakini hakua na kitu,labda sahivi kajifunza anafanya kazi kwa malengo,
marehemu mzee Kipara hali kadhalika.
Ray C alikua anapata show nyingi leo ana nini?
Sasa Ommy akionesha kukerwa na hili tunachukia,kwanini?
Au kwa vile aliesema ni msanii?
Wakati Sajuki anaumwa wasanii si walikiri wenyewe kua wana majina makubwa kuliko kipato.
Bora Ommy umeliona hilo