Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 131
We should talk about POLICIES jamani la sivyo tutaanza umbeya hapa ambao hata wanaosema hatawajui na pengine hawataki tuwajue; lets talk about policies; policy ipi inaweza kututoa hapa tulipo kusonga mbele; naona watu hatujajifunza; Obama ameshinda kwa sababu ya sera; mpinzani wake alidhani ukimshambulia mtu utashinda; chukua tarime CCM ilienda na sera moja tu kifo cha wangwe; ndg zake wangwe wakanununuliwa; chadema ikajikita kuwaeleza watu ktk sera; mliona; naombeni sana tuanze kuongelea sera ipi itaweza kututoa baada ya hiyo CCM kushindwa; watu wanaweza hata ku-sugest changes ktk hiyo policy wanayoitaka ili mabadiliko yaje haraka; hope all of us have a dream that one day Tanzania will be ruled by a party that understands the need of the poor people; 2005 acute poor was 11.1M people; 2007 acute poor people were 12.7M; Think big; think how to get out of acute poorness we have though even america knows we have resources; we should have a dream na kuacha umbeya; ili taifa lisonge mbele
Who is Mbowe; this is useless talking to people just because he will not response to your prepared attack you have; otherwise this article is of no use; Think BIG; dont think small; This is not UDAKU my friend who talks about people; present a policy debate my friend otherwise you are forcing guys to think small; let us have a Big dream
Not emotional real; would you tell me the Kikwete being thought to being man of people; person who had no bussines; person who had no issue(mr clean), whom Tanzanian thought to get the Messiah;where are those; where are the New zeal they were being preached; but being cleanis not an issues if you are in dirted policies you can not get out; that why im real worried if the thread has a meaning for elite; who thought of real changes; policy changes; Mbowe may be simply very suitable provided he is in a party which has perfect policy by the people for the poeple; but there others; but are they in subsjected to the policy that can work? The presidents are not ruling they managingaccording to the available policies; I simply afraid 'UMBEYA' talking to poeple thats limiting the mind; He may be Mnyika; He may be Zitto; Slaa;Kamesera; Mwikwabe or any person provided the policies are not dirted as we have seen for the past 50 yrs almost not
Haijafa, inafanyiwa ukarabati mkubwa. Pamoja na Bilicanas, Mbowe anamiliki pia hoteli nyingine inaitwa Protea Aishi-iko Moshi. Sijui kama ana biashara nyingine zaidi ya hizo
GT you can do better than this .Hivi leo tunataka kuongelea Mbowe akiwa ni mmoja ya matatizo katika Nchi na maisha yetu ya kila siku ? Ama akiwa kama mmoja wa watendaji wetu serikali ambaye anatunyima maisha au tuna muongelea kwa kuwa mnataka tumuongelee ?
We discuss Chadema kwa ujumla wake na Mbowe na mambo uliyo yasema GT you seem to be missing the whole thing on him and Chadema .Rudini huko mliko mje msemee hapa hapa karibu baada ya kuona Mbowe ni nani katika maisha halisi ya Watanzania badala ya hivi kuanza mkiwa katika baridi na majumba ya wazungu .Ushauri wangu tu .
its also important to be
-competent ( which he is not)
-coherent ( which he is not)
- decisive ( which he is not)
kind regards
How about replacing Mbowe with ZITTO....that isnt a bad idea what do you think?
Come on, this man could the next president and you dont us to know anything about him and his policies?
What is it? fearing the unknown?