grrrrrrrrrrrr!!! Mimi ningependa hiyo nyumba ipigwe mnada tuone kama itauzika kwa bei hiyo! si bado mpya?
We say the said expenditure was a pretext because available evidence indicates that, based on the annual rent of 113 million/- BoT had been paying for the governors accommodation in rented premises, the expenditure of 1.4 billion/- for the official residence represents a payback period of 12 years while also affording the bank an official residence befitting its CEOs status.
So it is based on this, then a 1.4bn hse for governor is justified!!!! Nadhani tukiletewa matumizi ya muungwana na safari zake inajustfy kumnunulia customized B747 the like of Airforce one...........
Nothing to addThis is shameful..!
He has just done his part, what else do you expect fom him?Mzee Mengi please do something otherwise we will never read your paper.
jengo la hadhi ya Gavana! you must be kidding me! Unafikiri kwa "hadhi" yake jengo hilo linatosha? Kuna vitu vingine twaweza kumpatia ili viandane na hadhi yake? Twaweza kumpa msafara wa magari, na mabodyguards, vipi kuhusu kumjengea nyumba nyingine kijijini kwao? Je watoto wake wana magari (maana hatuwezi kuwa na watoto wa gavana wanaopanda madaladala!), Je wajukuu zake wanasoma Tanzania shule za serikali au za binafsi?
araway said:laiti ningekuwa ni mimi gavana Ndulu ningehakikisha BOT inatoa walau vibilioni viwili kwa waathirika wa mafuriko kule kilosa na kwa kiasi hicho zaidi ya familia 400 wangepata makazi ya kudumu. huu ni upuuzi kwa nchi masikini kama yetu kutumia zaidi ya i.3billion kujenge nyumba kwa makazi ya familia moja huku mamia ya wananchi wakilala nje.
Acha matusi wewe, unahitaji kiasi gani ili uweze kugombea ubunge?Ndullu anajua kwa muda huu ndo wa kupiga mambo. Wajanga watakumbuka mambo ya Keenja wakati alipokabidhiwa kuliongoza kwa mpito Jiji la Dar, aliweka safi pale wananchi walipokuwa wakipigia kelele lakini ni katika kipindi hicho hicho Charles Keenja (MP) aliweza pia kujikusannya zile zilizomwezesha kugombea Ubungo wa Ubungo.
Maswali ya kujiuliza,
4 Je nyumba hizi zimejengwa kuwa kutumia malighafi na Rasilimali ambazo zinazalishwa Tanzania? Kama sivyo, ni kwa nini BOT ambayo inatakiwa kuchochea uzalishaji wa mali na kukuza uchumi wetu ilikubali mkandarasi alieagiza mbao kutoka Malaysia, huku tuna mbao nyingi kule Mufindi? Je udongo ulaya, misumari, fito, madirisha, samani, nyaya na hata udongo vilitoka nje ya nchi na hivyo kuongeza gharama za ujenzi?
Mzee Mwanakijiji, I don't justify lavish spending in whatever the reasons might be, lakini lazimas tufike mahali tuukubali ukweli kuwa we have to deserve the best that money can buy...
....Kwa mlio nje, Tanzania ya leo ioneni hivyo hivyo ilivyo, au isikieni tuu, lakini the reality hiyo spending ya bilions kwenye nyumba ya gavana, is nothing compared to billions and billions zinakuwa spend on good for nothing issues......
...Baada ya kele za Twin Tower, nilipata bahati ya kuiona hilo Jengo inside out, nothing of its kind in Tanzania in terms of technology and security. This does not justify the spending, lakini value for money ifanye kwanza ndipo tujue kick back ni ngapi watu waliopoket kushibisha matumbo yao, na sio kukimbilia mahakami kumtoa kafara Liyumba, kwa mashitaka ya full value as if nothing has been done..
...Kama speaker anakodiwa nyumba kwa milioni 10 kwa mwezi ili kuishi kwenye nyumba ya hadhi ya speker, hebu fanyeni utafiti, hilo hekalu lenye hadhi ya spika litagharimu kiasi gani?. Kama spika ana haki ya kuspend such an ammount to please his ego, jee gavana anastahili hadhi gani?
...Dar kuna kuanzia kulala nje kwenye pavement (homeless) vibanda vya maboksi, vibanda vya mbao, vijumna vya udogo, makuti, bati za madebe, nyumba za kawaida, majumba mpaka mahekalu ya kama peponi. Hivi huyu gavana wetu anastahili hadhi gani?
..Sina idadi ya askari polisi wanaokuwa duty every week-end mkulu anapokwenda Mlingotini, kila barabara inayoingia mainroad tangu Magogoni mpaka Mlingotini, wanawekwa askari two hours before. Mbona marais wa nchi za wenzetu hawafanyi hivyo. How much do we spend for nothing?
..Naelewa shida ya umasikini uliotopea kwa Watanzania, mashule yasiyo na waalimu, mahospitali yasiyo na dawa, wakulima wapinda migongo kwa jembe la mkono lisilo tija, wanafunzi wanaonyimwa mikopo kuendelea na elimu, matatizo ni mengi, lakini ndio iwe sababu Gavana asipate makazi bora sababu ya shida zetu?
...Hizo bilioni nadhani kama ziara moja tuu ya raisi nje ya nchi. Kama kweli viongozi wa nchi yetu wanauchungu na nchi hii, wangeshafanya wakipasacho kufanywa long ago. Tuungane kwa kauli moja, October tuseme Basi na nyumba ya gavana tutampa Mnyika!.
Maswali ya kujiuliza,
1. Kwa nini bado tuna utamaduni wa mashirika, taasisi na Serikali kujengea wafanyakazi nyumba? Kwa nini wasijihudumie wao wenyewe kwa kutumia mishahara yao?
2. Kwa nini Benki Kuu kama mdhibiti wa Uchumi wa Tanzania ilikubali kujengewa nyumba kwa gharama za juu kiasi hiki, ukizingatia kuwa sekta ya Ujenzi inajipangia bei zake kiholelea na hakuna udhibiti wa mfumuko wa bei za viwanja na malighafi (vifaa vya ujenzi) unaofanyiwa uratibu na Serikali?
3. Kama Benki kuu inaazimia kuwa bei hizi ni sawa (si kwa sababu ya bajeti) kutokana na hali halisi ya sekta ya ujenzi na nyumba Tanzania, je Uchumi wa Tanzania na safari ya Watanzania kuwezakujitegemea na kujijengea nyumba bora itafanikiwa vipi ikiwa kila siku kuna mfumuko wa bei za viwanja, hakuna sheria madhubuti za ardhi, na gharama za vifaa vya ujenzi na wajenzi ni kubwa kuliko sehemu nyingi duniani na ukipima uwiano wa umahiri wa Sarafu yetu?
4 Je nyumba hizi zimejengwa kuwa kutumia malighafi na Rasilimali ambazo zinazalishwa Tanzania? Kama sivyo, ni kwa nini BOT ambayo inatakiwa kuchochea uzalishaji wa mali na kukuza uchumi wetu ilikubali mkandarasi alieagiza mbao kutoka Malaysia, huku tuna mbao nyingi kule Mufindi? Je udongo ulaya, misumari, fito, madirisha, samani, nyaya na hata udongo vilitoka nje ya nchi na hivyo kuongeza gharama za ujenzi?
5. Je Benki Kuu pamoja na kuwa hizi pesa zilitengwa awali, je kulikuwa na ulazima wa kuingia gharama na kuzijenga nyumba hizi wakati huu ambao Uchumi si wa Tanzania tuu bali wa Dunia ni mbaya na hivyo matumizi haya yalifanyiwa maamuzi na kuidhinishwa bila kutumia busara? Je Ndulu na wenzake walikuwa wanakaa wapi kabla ya kuwa Gavana wa Benki?
Oh by the way, Tanzania's budget is in extra extra large red, and we still showe Ndullu with praises? I have not heard from his mouth or his policy aboutt frugality or kupunguza matumizi. All I hear is tumepata misaada and lete kama tulivyo tuzitumbue!
If our DEFICT is soaring, how can one dare to say Ndullu is doing an outstanding job?
Nliyaona hayo majengo, sakafu na kuta zote ni granite, hakuna tofali, wamemwaga zege ya foam tangu chini mpaka juu, wametumia japanese technology ya skyscrepers za kule kwa kutumia nondo za titanium ili hata likitokea tetemeko, jengo litaswing up to 45 degrees bila kubomoka. Wameweka fire resistant materials kwenye kila kuta ili moto ukitokea chumba kimoja, unaishia hapo hapo. Ndani wametumia light wood ili kupunguza uzito, hoja eti finishing ya cyprus yetu, haiwi smooth enough, na mbao ya Iringa ni too heavy and too expensive to process. Mambo mengine ni security issues kama bullet proof windows etc. etc.