Pasco said:
jmushi, asante sana kwa maoni yako, ninaposema sifagilii lavish spending, ninamaanisha kuna matumizi ya mabilioni na mabiliona yanakuwa spent na serikali yetu for nothing, or not accounted for. Hii ndio naita lavish spending.
Ok sawa,lavish spending ina maana "Matumizi ya serikali for nothing" ama "Not accounted for" Kwahiyo ku support matumizi hayo ndiyo unamaanisha kuwa "Accounted for?"
Pasco said:
Nimesema we deserve the best money can buy not the luxury. Mimi ni mtu wa Nyerere time, ile miezi 18 ya kujifunga mikanda ndio nilikuwa primary na foleni nimepanga mpaka zile za kupanga mawe nimeshiriki kupata kilo ya unga wa yanga!. Uniform tumevaa 'madurufu'. Kipindi hicho Nyerere alituaminisha personal car ni laxury, tv ni luxury etc. Nyerere ndie alitembelea benzi, mawaziri peogeot 504. Hivyo hata gari la kutembelea na tv kwa wakati huo ilikuwa lavish spending.
Once again,ndo maana nikasema unanichanganya,the best money can buy that is not "The luxury"..... Sio kwamba sijakuelewa na mifano yako ya kuhusiana na utawala wa mwalimu,lakini ninaposema "Unanichanganya" Ni kwamba you are exaclty right but in a definetly wrong way....Mifano ya miaka ya nyuma ya luxury za 504,tv nk eti kuonekana lavish spending sio mfano unaolingana na matumizi ya fedha za umma kuwalipa watumishi wake mishahara ama yenye kulingana ama hata kuzidi ile ya nchi kama USA.
Kuonekana kuwa ni Luxury,ni kwamba watu hawawezi ku afford,wananchi wa Tanzania kwa ujumla wao hawawezi ku afford matumizi hayo yanayoitwa "The best money can buy" eti na nyumba za viongozi zenye miaka mingi!
Mambo eti ya Nyerere alitembelea benzi mawaziri wake 504 hayana mantiki kwasababu hata benzi lenyewe si liliachwa na mkoloni?Mwache mzee wa watu apumzike,hata kama kuna aliyochemsha lakini nampa sifa kwenye uadilifu na heshma ya mali ya mtanzania....Huu upuuzi ndo ulimpa wazimu!
Narudia tena,hiyo mifano yako miwili haiendani kabisa,kwasababu kumbuka kuwa si kwamba mwalimu alishindwa kufanya hayo yote,ila kubwa moja ambalo hakusahau ni kwamba wananchi cannot afford all of that,kwasababu kama Taifa lazima tuwe na malengo,malengo ya masikini wa Tanzania si kuwatajarisha viongozi,hilo lieleweke.
Pasco said:
Leo gari tv, dish ni ordinary emenities sio laxury tena. Hivyo hiyo nyumba ya gavana, japo kwa sasa itaonekana lavish na laxury, imejengwa idumu miaka 100. Ile swimming pool ambayo leo inaonekana ni laxury, kwa wengine ni exericise ground for tension releave na relaxation, labda Balali angekuwa na swimming pool home na gym, asingekufa mapema vile, angekuwako on the dock na kutegua vitendawili kibao kikiwepo cha Kagoda.
Kwa vile hatuna detailed value for money ya hiyo nyumba na ina nini, then to me spending 1.4 billion kwa nyumba ya hadhi ya gavana itakayoishi for 100 years is not a big deal despite all our povert stinking nation kama hiyo ni fedha ya kununua only a single mobile phone ya Goldvish "Le million".
Kama kweli mnapiga mahesabu ya maisha ya nyumba ya gavana 100 yrs to come,je maisha ya wananchi yanapigiwa mahesabu gani?Mnasema mjenge nyumba ya gavana yenye life expectancy ya 100 yrs,lini wamesha piga mahesabu ya namna ya ku raise life expectancy ya mtanzania?Vipi kuhusu infrastructrures zenye kudumu kipindi hicho kama madaraja?Vipi kuhusu shughuli za uzalishaji nk?
Vipi kuhusu kizazi cha watanzania miaka mia ijayo?What are our priorities?
Pasco said:
Rev. Kishoka amekuwa objective kuhoji hivi hiyo nyumba ina nini?. ukishajua what it takes to swallow hiyo bilioni, then tunajustify lawama. J.Mushi huwezi amini, taasisi kama TACAIDS inatumia mara kumi ya kiwango kama hicho kwenye warsha, semina na makongamano kuhusu Ukimwi, huku waathirika wakiuliwa na retroviral kufuatia mlo mmoja kwa siku!.
Once again unachanganya,mifano isiyoendana,hao watu wa warsha za UKIMWI wanafanya hivo kwasababu ni pesa za misaada wao wanajipanga kuzikinga,na ndio maana kuna wakati ilikuwa dili kufungua NGO za UKIMWI hata mama Mkapa alifungua yake,ni kwamba wanajuwa wanazikinga,kama mashirika hayo ama nchi wafadhili wanatoa misaada hiyo kwa ajili ya wathirika wa UKIMWI na hayo ni mambo mawili tofauti kati ya njaa na ugonjwa....Na kwasababu TACAIDS wanafanya huo upumbavu basi na serikali iendeleze?
Pasco said:
Bilioni 1.4 is a lot of money in a small picture, but in a bigger picture, its nothing!. We are spending like hell for nothing, tunahaki ya kupiga kelele, ila pia sometime kelele zinazidi hata kama we are spending for something.
Mkuu nisikufiche ndio unazidi kama si kunichanganya basi naona sasa hata kujichanganya,hizo small and big picture ni zipi hizo unazozitumia kujustify matumizi kama hayo kwa niaba ya Taifa masikini?Eti unasema we're spending like hell for nothing na hapo hapo eti unadai tunaspend sijui the best money can buy?
The problem siyo eti kuspend tofauti na mafisadi kama wewe unavyoelekea kusema,the problem hapa ambayo naona tumepishana sana,ni kuwa we as a Nation,have nothing to spend as such....Na wewe unadai kuwa bado sisi ni washamba na kwamba eti tuwafundishe mafisadi namna ya kuzispendi pesa za watanzania kwanamna ambayo kuna "Kitu" kwamba it has not been spent for nothing,really?
Kwasababu kuna watu wenye mawazo kama yako na bado wataendele kuwepo,wenye kujua kula na vipofu,basi kulikomboa Taifa inaweza ikawa ni gharama ambayo bado hatuja i estimate wala kukaribia kufanya hivyo.
Tanzania haitaweza kubadilika kamwe bila mapinduzi,mark ma words.
Madai yako hapo hapo ni kwamba eti matumizi hayo siyo luxury ni ya kushangaza,mambo yote uliyoyaelezea mbona ni luxuries t?. Kwahivyo unatumia nguvu zako zote kutuaminisha sisi watanzania wa kawaida kuwa matumizi hayo si luxury ila kwasababu tuliishi chini ya ujamaa wa Nyerere(ambaye kwa mujibu wako aliwafanya mawaziri wake wapumbavu kwa kutembelea benzi na wao 504)Basi ndio mana tunashangazwa na hivi vijisenti na vitu vidogo vidogo,unasahau ile dhana kuwa chini ya mwalimu heshma ilikuwepo pale inapokuja kwenye mali za wananchi na rasilimali za Taifa?