Nchi yetu ni ya Elites!Huyu Ndulu na swimming pool ndani is a joke !
Tanzania tumeliwa na hawa elites.I dont care about Mengi,Mbowe etc.
Mpaka leo tuambiwe hawa wamechukua ngapi toka mabenki yetu .
Ndulu ni classical exapmle ya elites.Kwenye hiyi kamati ya bunge,wote ni vilaza.
Huko Kigoma kwa Kabwe,wanafunzi wanakaa chini,Temeke hospital wajawazito wanalala chini.Sasa kama tutashindwa kutumia common sense,we are all doomed monkeys.
Tanzania tumeliwa na hawa elites.I dont care about Mengi,Mbowe etc.
Mpaka leo tuambiwe hawa wamechukua ngapi toka mabenki yetu .
Ndulu ni classical exapmle ya elites.Kwenye hiyi kamati ya bunge,wote ni vilaza.
Huko Kigoma kwa Kabwe,wanafunzi wanakaa chini,Temeke hospital wajawazito wanalala chini.Sasa kama tutashindwa kutumia common sense,we are all doomed monkeys.