:amen::amen::amen:sush-screw until something happen
Where hav u been ma luv....heri ya mwaka mpya! Missed u bad!
HAYA SWALI LINARUDI KWAKO SASA BIGIRITA....:amen::amen::amen:
Wa kwako tu labda ndo hakufanyii mie wangu aahhh kwa sana tu.
Tena nimesahau na nyingine ya jioni
Anakwambia hii inatakiwa iwekwe kwenye kitu cha baridi lakini iwe jioni. Anakwambia akija tu mpe juice, soda, maji hata bia na wine haina madhara.
Bibie hapo unaamini dawa kuwe utunzaji wako tu jamaa akiingia tu jioni glass ya juice, sijui wine, bia maji nk.
Haha ha ha ha mganga mwenyewe bwana hakuna uganga
Habari yake limbwata bana! mi nadhani limbwata kama lipo lengo lake ni zuri kwamba mpenzi akupende wewe tu zaidi na zaidi. Lakini watumiaji wanalitumia vibaya likishakolea akishaona ndio limemkolea mpenzi anaanza kumpelekesha ndivyo sivyo akijua hatofanya lolote cause ashamdhibiti. Kama lipo litumiwe tu ila unatakiwa umpe mwenza wako uhuru wa kufanya atakavyo na yeye sio unampeleka peleka tu kama ndondocha
Kwa jinsi ambavyo nimeisikia, Limbwata ni seriously uchafu na ushirikina. Ninavyoamini mimi, ukimfanyia mtu limbwata, atakupenda sana lakini utakua umemnyima haki yake ya kupenda kwa hiari. Mapenzi ya limbwata ni mapenzi ya kulazimisha. Kama ulienae mnapendana sana, hakuna haja ya limbwata. peaneni Natural love manake mapenzi ni Natural.
smiles am awake! ohoo
sush-screw until something happen
si mpaka awepo hiyo jioni apate glasi ya juice, kila akitoka kazini mara kona bar, mara jj, mara baa mpya saa sita usiku unaamka kumpa juice kichwani ana ma voice of reason thubutu. Mimi naamini uchawi upo na limbwata ni uwanga tu tofauti we wawanga hadharani ukiwa umevaa nguo so limbwata lipo. kuhusu mapenzi huyo mke au mume ni lazima awe ni yule uliepangiwa na mungu ndio mtaishi kwa amani na milele lakini hawa wa kukurupukiana utafanya yote dena usemayo na bado atakutoka utabaki unashangaa tu.
si mpaka awepo hiyo jioni apate glasi ya juice, kila akitoka kazini mara kona bar, mara jj, mara baa mpya saa sita usiku unaamka kumpa juice kichwani ana ma voice of reason thubutu. Mimi naamini uchawi upo na limbwata ni uwanga tu tofauti we wawanga hadharani ukiwa umevaa nguo so limbwata lipo. kuhusu mapenzi huyo mke au mume ni lazima awe ni yule uliepangiwa na mungu ndio mtaishi kwa amani na milele lakini hawa wa kukurupukiana utafanya yote dena usemayo na bado atakutoka utabaki unashangaa tu.
haya bacha an assignment for yahabari lako bana mzee wa SUSH!!!!!!!!
Asante sana Mganga DA.........habari yake mganga!!!!
si mpaka awepo hiyo jioni apate glasi ya juice, kila akitoka kazini mara kona bar, mara jj, mara baa mpya saa sita usiku unaamka kumpa juice kichwani ana ma voice of reason thubutu. Mimi naamini uchawi upo na limbwata ni uwanga tu tofauti we wawanga hadharani ukiwa umevaa nguo so limbwata lipo. kuhusu mapenzi huyo mke au mume ni lazima awe ni yule uliepangiwa na mungu ndio mtaishi kwa amani na milele lakini hawa wa kukurupukiana utafanya yote dena usemayo na bado atakutoka utabaki unashangaa tu.
haya bacha an assignment for ya
patia mimi kirefu cha FUSH
Maty, mi limbwata naona kama ni uchoyo fulani hivi au ubinafsi hivi,
Naona kama ni hali fulani hivi ya kutojiamini kwa mpenzi ulienae!!!!!!!!
Wapenzi wa JF...............Happy New Year kwenu wote
Was just thinking about Limbwata............ Kina kaka/dada on the second thought..hv mwanamke/mwanaume wako akikuwekea Limbwata kuna ubaya gani??........... kwa sababu si huwa hiyo inafanya kwa kuwa anakupenda sana? Yaani Mumeo/Mkeo/Mpenzi akikulimbwata lengo lake si ni kuwa na wewe milele.....and that means anakupenda sana (Why asimwekee Juma/Halima, George/Rose au mwingine??)
Kuwekewa Limbwata kwa nini kusichukuliwe kama vile vingine ambavyo mnaviaprove mkifanyiwa mf. Mwanadada/Kaka anapokuwa mbunifu ili tu akuwini uvutiwe naye kila siku na kubaki nae??.....
On the second thought.
Hapa nazungumzia kwa wale wenye mapenzi huru (i.e. mume/mke halali, mpenzi ambaye unatarajia kuoa/olewa).
nipo nipo ma luv kwa kjj, soon ntarudi kwa road....nakumic kwa sana tu love yaani cna maelezo ya kutosha....sasa luv unajua ukianza kwenda cjui kwa mganga kutafuta hayo mapenzi ya ziada ina maana unataka kugandana na mtu tu hapo kwa hapo jamani, yaani 0 distance? kuna kupeana hewa walaahh ni nn kumpa adhabu mtoto wa mwenzio labda umezidisha dozi anabaki analia akikuwaza, akijikuna anakuwaza wewe, hana analofikiria kichwani zaidi ya wewe...adhabu kali sana hii...tupeane nafac jamani!
Kabisa dearest mtu ampae mwenzie limbwata ni mchawi tena mwanga vitu vingine ukisikia wanavyolishwa watu utachoka nakwambia, kuna mmoja mganga alimlala eti anaingiza dawa akitoka hapo akalale na mumewe kukaa kaa kidogo akajihisi mjamzito akipiga mahesabu mimba ya mganga ikabidi azae hivyo hivyo ikawa kitanda akizai haramu, wakinababa watoto wengine mleao ni wakina karumanzila ndio maana unakuta mtoto mwingine anatabia za ajabu ajabu baba na mama mkijiuliza hampati jibu mnaishia kusema mapenzi ya mungu
Funua Uone Sebene HalisiBigirita bila shaka ana jibu muafaka la hii kitu!